Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

KITU AMBACHO HUKIJUWI WEWE KAFIRI NI HIVI, UISLAMU SIO DINI YA MAIGIZO YOTE HAYA YANAYOFANYWA KATIKA UISLAMU NI AMRI AU MAAGIZO KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU, MFUMO WA UISLAMU HAUKO KATIKA KUIGIZA.
Na ambacho hukijui wewe ni kwamba hii ni nchi ya mchanganyiko wa watu wa dini zote na hata wasio na dini, ni nchi secular na hivyo lazima uheshimu na kujali imani za wengine.
 
Hivi kuna watu wanapigq kelel kama wakanisani?

Unakuta ndani ya kanisa kuna spika 100, bado vinanda, gitaa.. ngoma, matarumbeta etc..

Tukija kwenye ndoa zao utaona matarumbeta njia nzima.. ila watu wamekaa kimya hakuna malalamiko.

Haya kuhubiri kwao ni kelele mpk mishipa ya mk*ndu inachachamaa, fatilia mawaidha ya kiislam na makelele ya mahubiri ya hawa wajaa laana.

Kila baada ya dk 5 wanaimba mnaita wenyewe MAPAMBIO na KUSIFU..

kitu kdg hata kama mchungaji kaongea pumba mnapiga makofi na vigelegele vya kinafki. Yote hayo makelele.

Ila Adhana tu ya dk 1 imekuw nongwa?
Unauhakikia adhan ni dkk1 we muisharamu,kuna waisharamu wenzako maspika hayao yaliyotengenezwa na makafiri wanayatumi kama sehemu ya kutolea mahubiri yenu ya kishetani.

Kwani waisharamu hamjajua muda wa kuswali mpaka mkumbushwe kila mara kama mazezeta.
 
Unauhakikia adhan ni dkk1 we muisharamu,kuna waisharamu wenzako maspika hayao yaliyotengenezwa na makafiri wanayatumi kama sehemu ya kutolea mahubiri yenu ya kishetani.

Kwani waisharamu hamjajua muda wa kuswali mpaka mkumbushwe kila mara kama mazezeta.
ENYI NINYI MLIO MAKAFIRI MNAPASWA KUTAMBUWA KWAMBA UISLAMU NI MFUMO, UISLAMU SIO DINI YA MAIGIZO.
 
Hii nchi ustaarabu ni zero kabisa.

(1)Unakuta sehemu za makazi mtu kajenga li bar lake full makelele
(2) Sehemu za makazi kuna kanisa wanakesha kwa makelele
(3) Sehemu za makazi kuna misikiti kila mara kila siku makelele ya adhana.

Kiasi cha ustaarabu ingekuwa ile siku ya kusali/kuswali (jpili) au ijumaa kwa waislamu hizo siku zikiwa na adhana kwa wingi au miziki kanisani sio mbaya lakini sio tu katikati ya wiki mtu anakesha kanisani kwa sauti kubwa au sio kila siku adhana.
 
Hakuna maigizo zaidi ya kusubir kuamshwa kwenda kusali..
Kwahiyo usipoamshwa huamki?
WAUMINI WA KIISLAMU TUNAONGOZWA NA MFUMO ULIOWEKWA NA MWENYEZI MUNGU NA SI VINGINEVYO, HII SIO DINI YA MAIGIZO. KWA HIYO NINYI MAKAFIRI, WASHIRIKINA, WANAFIKI, NA WAZANDIKI HAMPASWI KUTUPANGIA KIPI CHA KUFANYA.
 
Hahaha unalijua nini jini furuqum
Mimi namfahamu huyo Jini.
Ni Jini anayependa sana kuswali,
Ni kama Jini Sharifu anavyopenda sana kusoma Qurani hasa ule mtindo wa kuimbaimba kwa kuziba masikio.
Jini dume anaitwa Furuqum jike anaitwa Faruqum, hoa hawakosi Ibada na wanatumika sana katika mambo ya nguvu za kiroho.
 
Hii nchi ustaarabu ni zero kabisa.

(1)Unakuta sehemu za makazi mtu kajenga li bar lake full makelele
(2) Sehemu za makazi kuna kanisa wanakesha kwa makelele
(3) Sehemu za makazi kuna misikiti kila mara kila siku makelele ya adhana.

Kiasi cha ustaarabu ingekuwa ile siku ya kusali/kuswali (jpili) au ijumaa kwa waislamu hizo siku zikiwa na adhana kwa wingi au miziki kanisani sio mbaya lakini sio tu katikati ya wiki mtu anakesha kanisani kwa sauti kubwa au sio kila siku adhana.
Huna dini!!!!!
 
KITU AMBACHO HUKIJUWI WEWE KAFIRI NI HIVI, UISLAMU SIO DINI YA MAIGIZO YOTE HAYA YANAYOFANYWA KATIKA UISLAMU NI AMRI AU MAAGIZO KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU, MFUMO WA UISLAMU HAUKO KATIKA KUIGIZA.
Hakuna cha amri wala nini! Adhana inasababisha noise pollution. Full stop.
 
Back
Top Bottom