Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

Nipo jirani na msikiti,
Kuanzia saa 10 alfajiri,
Kuna shehe huyo amekuwa mtangazaji wa muda,
"Sasa hivi ni saa 10 dakika 20 ewe muislamu jiandae kuamka,
Swala swala,!
Na anaendelea kutaja muda mpaka inafika saa 11 alfajiri.."

Kwakweli hebu tunaomba msaada wenu,
Ni kweli hakuna namna ya kuamshana nyie tu bila kutukera sisi?

Au nchi hii yenu pekee yenu?
Kwani hamuwezi kutegesha alarm mkaamka wenyewe mpaka mpigiwe kelele za kuamshwa kutokea mbali?

Yaani tunatafuta pesa kwa shida,
Usingizi unakuja kwa shida,
Na asubuhi asubuh ukianza kupata usingizi mtamu unaamshwa kwa lazima

Nisameheni sana lakini mnakera walah wabilah!
HII HOJA YAKO HAINA MASHIKO KABISA, INA MAANA KATIKA MAKAFIRI WOTE NI KAFIRI WEWE TU AMBAYE UNAYEKWAZIKA NA ADHANA? ADHANA NDIO MFUMO WA KIISLAMU WA KUITANA KWA AJILI YA IBADA YA KUMUABUDU MWENYEZI MUNGU, NA UNAPASWA KUTAMBUWA KWAMBA UISLAMU SIO DINI YA MAIGIZO, UISLAMU NI MFUMO ULIOWEKWA NA MWENYEZI MUNGU, CHOCHOTE KINACHOFANYIKA KATIKA UISLAMU BASI UNAPASWA KUTAMBUWA KUWA HAKIKUPANGWA NA MTU, ISIPOKUWA KIMEPANGWA NA MUNGU. ILA SIWEZI KUKUSHANGAA KWA KUWA WEWE NI KAFIRI HUWEZI KUJUWA YALIYOMO NDANI YA ADHANA.
 
Wakati wa adhana ya alfajiri wala si wakati wa kupumzika kwa watu wengi wenye afya zao.Ni wakati wa kujitayarisha kwenda kazini.
Hapa jirani yangu waislamu wapo wengi na dini nyengine wapo.Tunaoswali alfajiri ni wachache.Lakini wengi wanazitumia adhana kuamka kuwahi makazini kwao.Na wengi wanatumia adhana kujihakikishia usalama wa kutoka wakihofia vibaka wakijua wakitoka watakutana na sisi tunaokwenda misikitini.
Sasa ubaya wa adhana uko wapi
Sina ubaya na adhana...
Ubaya upo kwa wale mashehe wanaotangaza muda dakika kwa dakika.. kuanzia saa 10 alfajiri,

Amkeni! Jiandaeni kuswali,
Amka! Amka!
Hivi sasa ni saa 10 dakika kumi,
Amkeni...

Hii ndio adhana?
 
Nipo jirani na msikiti,
Kuanzia saa 10 alfajiri,
Kuna shehe huyo amekuwa mtangazaji wa muda,
"Sasa hivi ni saa 10 dakika 20 ewe muislamu jiandae kuamka,
Swala swala,!
Na anaendelea kutaja muda mpaka inafika saa 11 alfajiri.."

Kwakweli hebu tunaomba msaada wenu,
Ni kweli hakuna namna ya kuamshana nyie tu bila kutukera sisi?

Au nchi hii yenu pekee yenu?
Kwani hamuwezi kutegesha alarm mkaamka wenyewe mpaka mpigiwe kelele za kuamshwa kutokea mbali?

Yaani tunatafuta pesa kwa shida,
Usingizi unakuja kwa shida,
Na asubuhi asubuh ukianza kupata usingizi mtamu unaamshwa kwa lazima

Nisameheni sana lakini mnakera walah wabilah!
Adhana ya asubuhi ni kama alarm.
Thank you Adhana kwa kuniamsha niwahi kazini.
 
HII HOJA YAKO HAINA MASHIKO KABISA, INA MAANA KATIKA MAKAFIRI WOTE NI KAFIRI WEWE TU AMBAYE UNAYEKWAZIKA NA ADHANA? ADHANA NDIO MFUMO WA KIISLAMU WA KUITANA KWA AJILI YA IBADA YA KUMUABUDU MWENYEZI MUNGU, NA UNAPASWA KUTAMBUWA KWAMBA UISLAMU SIO DINI YA MAIGIZO, UISLAMU NI MFUMO ULIOWEKWA NA MWENYEZI MUNGU, CHOCHOTE KINACHOFANYIKA KATIKA UISLAMU BASI UNAPASWA KUTAMBUWA KUWA HAKIKUPANGWA NA MTU, ISIPOKUWA KIMEPANGWA NA MUNGU. ILA SIWEZI KUKUSHANGAA KWA KUWA WEWE NI KAFIRI HUWEZI KUJUWA YALIYOMO NDANI YA ADHANA.
Kwahiyo Mungu ndio anapiga kelele alfajiri kuamsha watu waamke?
 
Nipo jirani na msikiti,
Kuanzia saa 10 alfajiri,
Kuna shehe huyo amekuwa mtangazaji wa muda,
"Sasa hivi ni saa 10 dakika 20 ewe muislamu jiandae kuamka,
Swala swala,!
Na anaendelea kutaja muda mpaka inafika saa 11 alfajiri.."

Kwakweli hebu tunaomba msaada wenu,
Ni kweli hakuna namna ya kuamshana nyie tu bila kutukera sisi?

Au nchi hii yenu pekee yenu?
Kwani hamuwezi kutegesha alarm mkaamka wenyewe mpaka mpigiwe kelele za kuamshwa kutokea mbali?

Yaani tunatafuta pesa kwa shida,
Usingizi unakuja kwa shida,
Na asubuhi asubuh ukianza kupata usingizi mtamu unaamshwa kwa lazima

Nisameheni sana lakini mnakera walah wabilah!
Ukishatoa malalamiko kimsingi hiyo ndio kero yenyewe,wakera sana hawa wahafidhina na dini yao ya shetani.
 
Nipo jirani na msikiti,
Kuanzia saa 10 alfajiri,
Kuna shehe huyo amekuwa mtangazaji wa muda,
"Sasa hivi ni saa 10 dakika 20 ewe muislamu jiandae kuamka,
Swala swala,!
Na anaendelea kutaja muda mpaka inafika saa 11 alfajiri.."

Kwakweli hebu tunaomba msaada wenu,
Ni kweli hakuna namna ya kuamshana nyie tu bila kutukera sisi?

Au nchi hii yenu pekee yenu?
Kwani hamuwezi kutegesha alarm mkaamka wenyewe mpaka mpigiwe kelele za kuamshwa kutokea mbali?

Yaani tunatafuta pesa kwa shida,
Usingizi unakuja kwa shida,
Na asubuhi asubuh ukianza kupata usingizi mtamu unaamshwa kwa lazima

Nisameheni sana lakini mnakera walah wabilah!
Kuna wimbo flani Marehem dr Remmy Ongara( R.I.P) alilamika sana na hii kitu , nafikili sijui ni ule wimbo wa Nyereee moja ya beti ya wimbo huo asema

(Siku izi atulali misikiti kila kona unaambiwa amuka amuka , unaniamusha unajua nimelalaje ,uhuni huwo) .Umenikumbusha mbali mkuu
 
Kwahiyo Mungu ndio anapiga kelele alfajiri kuamsha watu waamke?
ZILE SIO KELELE ISIPOKUWA ULE NI WITO, AMBAO HUTOLEWA KILA WAKATI WA SWALA KWA AJILI YA WAUMINI KWENDA KUABUDU, TAMBUA KWAMBA UISLAMU NI MFUMO HII SIO DINI YA MAIGIZO.
 
Makanisani wanasema hakikisheni kelele zenu hazitoki nje.

Huku kwingine ndo hivyo tena.

Nchi ngumu.
Unamaanisha makanisa haya yenye spika kama za Disco....
Unamaanisha makanisa yanayopiga kwaya usiku kucha.
Au unamaanisha makanisa ya ULAYA NA MAREKANI...
Kama unamaanisha makanisa ya Tanzania, huo ni uongo.
 
Ni vyema waislamu wakafuata mafundisho ya mtume kwenye kunadi Sala. Huu utaratibu wa kunadi Sala saa nzima haumo katika mafunzo ya dini.
Na pia maneno ya ziada katika kunadi sala hayamo katika mafunzo ya dini
 
Kuna wimbo flani Marehem dr Remmy Ongara( R.I.P) alilamika sana na hii kitu , nafikili sijui ni ule wimbo wa Nyereee moja ya beti ya wimbo huo asema

(Siku izi atulali misikiti kila kona unaambiwa amuka amuka , unaniamusha unajua nimelalaje ,uhuni huwo) .Umenikumbusha mbali mkuu
Kama unao uweke mkuu,
Yaani unalazimishwa kuamka
Mtu hajui umepataje usingizi
 
Ni vyema waislamu wakafuata mafundisho ya mtume kwenye kunadi Sala. Huu utaratibu wa kunadi Sala saa nzima haumo katika mafunzo ya dini.
Na pia maneno ya ziada katika kunadi sala hayamo katika mafunzo ya dini
Na hii ndio hoja yangu..

Adhana yenyewe mbona dakika sifuri tu imeisha...
Lakini kule kuamshwa mfulululizo na kutajiwa muda..
Ni kero bhana waache
 
Af sikusoma Jina LA mtoa maada ila Leo kalalamika kwenye Haki kweli waweke alarm halafu ya msikitini ilie nusu dakika tu inatosha
CHA KWANZA UNAPASWA KUTAMBUWA KUWA UISLAMU SIO DINI YA MAIGIZO, YOTE YANAYOFANYIKA KATIKA MFUMO WA KIISLAMU YAMEPANGWA NA MWENYEZI MUNGU, SASA KAFIRI KAMA WEWE HUPASWI KUTUPANGIA.
 
Kama unao uweke mkuu,
Yaani unalazimishwa kuamka
Mtu hajui umepataje usingizi
Ukienda you tube upo, nafikili ni ule wa Nyerere kama sikosei ambapo mle amlalamikia Nyerere kug'atuka madarakani bila kuwajulisha watanzania ili kumchagua wanaempenda, jaribu kutafuta you tube , wimbo wa Remmy Ongara wa Nyerere
 
Mfumo lazima usumbue wengine??
hakika mwanadamu yupo kwenye hasara, isipokuwa ni kwa wale watakaoamini. Sina haja ya kubishana na wewe huna hoja ya msingi, Hivi uwepo wa Misikiti imeanza leo katika makazi ya watu? Ninyi mmeamuwa kuwa washirikina endeleeni katika ushirikina.
 
Kama kuku ni alarm tosha kwanini mnatuamsha sasa wengine. Wekeni banda kila msikiti na majogoo mawili ili muwe mnaamshwa na hao kuku😊
Acha uvivu amka huko kumeshakucha! 😁
 
WASHUKURU SISI MAKAFIRI TUMEWATENGEZEA SPIKA ZA KUPAZIA SAUTI .LA SIVO WANGEPASUKA MAKOO KWA KUPAZA SAUTI UTAZANI MAJOGOO WANAO WIKA
jambo usilolijuwa litakusumbuwa sana enyi washirikina mliokufulu wkt ni sasa huko mliko sio njia sahihi.
 
Back
Top Bottom