Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

Juzi nilikuwa narudi kwangu mida ya saa12 jioni nimechoka kinyama nakaribia kwangu nakutana na matundubai yamepigwa njia-panda yaani hakuna namna ya kuweza kupita na gari kufika kwangu maana waliweka njia-panda ya njia nne. Aise nilitamani kulia, Sehemu ni uswahilini hakuna sehemu ya kupaki halafu naambiwa shughuli ni hadi alfajiri nilichoka sana.
Dhehebu pekee iliyostarabika ni Wakatoliki huwakuti na mamiziki mikubwa wala makelele yasiyo na sababu wala kuziba njia zinanzotumiwa na watu wengine.
Kwa hiyo hao walioweka mziki ndio wameamrishwa na dini sio ? kifungu gani ? nionyeshe
 
NinaKaa karibu na pub wanapiga mziki kucha ila haiwezi kuniathiri kabisa maana kila mtu ni eneo lake .

Hakuna ushahidi kwamba unakosa usingizi , ni wewe ndio unafuatilia ..
Umeanza kwa hoja nzuri lakini mwishoni dini imezidi uwezo wako wa kufikiria. Wote hatuwezi kuwa kama wewe Sheikh. Ukweli hizi kelele ziwe zinatoka kwenye makanisa ya misikiti zinakera sana hasa zinapokuwa mda wa mtu kupumzika.
 
vipi kuhusu yale makanisa asubuh na mapema wanaomba na kuabudu kuanzia saa 11 had saa 12 asubuh
Hao wajinga , mtu wanapiga mziki wa sabufa ...Mtu wanaenda bar kweny mziki ila adhana tu ndio inamkera.

Ukienda Aiport kuna matangazo kila mda bado wanasema eti inawakera yaani wabongo ni wajinga sana ....Mtu una usingizi mtu anapiga kelele zake huko upo ndani kwako eti usipate usingizi kama sio ujinga ni nn?
 
Hao wajinga , mtu wanapiga mziki wa sabufa ...Mtu wanaenda bar kweny mziki ila adhana tu ndio inamkera.

Ukienda Aiport kuna matangazo kila mda bado wanasema eti inawakera yaani wabongo ni wajinga sana ....Mtu una usingizi mtu anapiga kelele zake huko upo ndani kwako eti usipate usingizi kama sio ujinga ni nn?
ukiishi nyumba yenye vioo wala uwezi sikia haya mambo shida ipo kwetu wazee wa nyavuuuuuuuuuu
 
Umeanza kwa hoja nzuri lakini mwishoni dini imezidi uwezo wako wa kufikiria. Wote hatuwezi kuwa kama wewe Sheikh. Ukweli hizi kelele ziwe zinatoka kwenye makanisa ya misikiti zinakera sana hasa zinapokuwa mda wa mtu kupumzika.
Haiwezi kukera kwa vile upo ndani kwako ,haupo serious na usingizi , wtu wanakaa bar kweny mziki na kufanya mijadala unaongea nn wewe ?
Hizo sabuf zenu za ndani mbona hamsemi ? Ukiona unakerwa basi una tabia za kufautilia vitu visisvyo kuhusu .
 
Nipo jirani na msikiti,
Kuanzia saa 10 alfajiri,
Kuna shehe huyo amekuwa mtangazaji wa muda,
"Sasa hivi ni saa 10 dakika 20 ewe muislamu jiandae kuamka,
Swala swala,!
Na anaendelea kutaja muda mpaka inafika saa 11 alfajiri.."

Kwakweli hebu tunaomba msaada wenu,
Ni kweli hakuna namna ya kuamshana nyie tu bila kutukera sisi?

Au nchi hii yenu pekee yenu?
Kwani hamuwezi kutegesha alarm mkaamka wenyewe mpaka mpigiwe kelele za kuamshwa kutokea mbali?

Yaani tunatafuta pesa kwa shida,
Usingizi unakuja kwa shida,
Na asubuhi asubuh ukianza kupata usingizi mtamu unaamshwa kwa lazima

Nisameheni sana lakini mnakera walah wabilah!
Japo si kero kubwa kuliko kero za walevi na wapiga muziki hata hivyo hao wanaomsha watu kwa namna hizo ni jukumu la masheikh wenzake kumfahamisha vizuri.
Lakini kwenye adhana huwezi kutupangia kuwa tutumie alarm kwani adhana ni wito wa muda mfupi tena kwa sauti ya heshima sana.Na wito huu una maana nyingi kidini yetu ya Uislamu.
 
Hao wanaomsha watu kwa namna hizo ni jukumu la masheikh wenzake kumfahamisha vizuri.
Lakini kwenye adhana huwezi kutupangia kuwa tutumie alarm kwani adhana ni wito wa muda mfupi tena kwa sauti ya heshima sana.Na wito huu una maana nyingi kidini yetu ya Uislamu.
Hao jamaa utaumiza kichwa , unakuta limetoka bar kweny mziki eti adhana inamfanya asilale kama sio kufuatilia vitu vinavyomuhusu .
 
Juzi nilikuwa narudi kwangu mida ya saa12 jioni nimechoka kinyama nakaribia kwangu nakutana na matundubai yamepigwa njia-panda yaani hakuna namna ya kuweza kupita na gari kufika kwangu maana waliweka njia-panda ya njia nne. Aise nilitamani kulia, Sehemu ni uswahilini hakuna sehemu ya kupaki halafu naambiwa shughuli ni hadi alfajiri nilichoka sana.
Dhehebu pekee iliyostarabika ni Wakatoliki huwakuti na mamiziki mikubwa wala makelele yasiyo na sababu wala kuziba njia zinanzotumiwa na watu wengine.
Ulifanyaje
 
Kaa tayari wanakuja..!
Utaoga matusi kama yote, hawa watu na matusi ni sawa na chura na maji.
Anazungumzia Adhana maneno yasiyozidi Dak 2.
Wakati kuna watu wakiwasha midundo
Ni mwendo wa kushindana.
Jengo hili na lile nani anamdundo mkali zaidi,
Nani speaker zake zinachuja sauti vizuri.

Hakuna mtu wa kumtukana ninayo hakika,kwani mambo mengine ni kukaa kimya tu.
 
Nipo jirani na msikiti,
Kuanzia saa 10 alfajiri,
Kuna shehe huyo amekuwa mtangazaji wa muda,
"Sasa hivi ni saa 10 dakika 20 ewe muislamu jiandae kuamka,
Swala swala,!
Na anaendelea kutaja muda mpaka inafika saa 11 alfajiri.."

Kwakweli hebu tunaomba msaada wenu,
Ni kweli hakuna namna ya kuamshana nyie tu bila kutukera sisi?

Au nchi hii yenu pekee yenu?
Kwani hamuwezi kutegesha alarm mkaamka wenyewe mpaka mpigiwe kelele za kuamshwa kutokea mbali?

Yaani tunatafuta pesa kwa shida,
Usingizi unakuja kwa shida,
Na asubuhi asubuh ukianza kupata usingizi mtamu unaamshwa kwa lazima

Nisameheni sana lakini mnakera walah wabilah!
WASHUKURU SISI MAKAFIRI TUMEWATENGEZEA SPIKA ZA KUPAZIA SAUTI .LA SIVO WANGEPASUKA MAKOO KWA KUPAZA SAUTI UTAZANI MAJOGOO WANAO WIKA
 
Hivi kuna watu wanapigq kelel kama wakanisani?

Unakuta ndani ya kanisa kuna spika 100, bado vinanda, gitaa.. ngoma, matarumbeta etc..

Tukija kwenye ndoa zao utaona matarumbeta njia nzima.. ila watu wamekaa kimya hakuna malalamiko.

Haya kuhubiri kwao ni kelele mpk mishipa ya mk*ndu inachachamaa, fatilia mawaidha ya kiislam na makelele ya mahubiri ya hawa wajaa laana.

Kila baada ya dk 5 wanaimba mnaita wenyewe MAPAMBIO na KUSIFU..

kitu kdg hata kama mchungaji kaongea pumba mnapiga makofi na vigelegele vya kinafki. Yote hayo makelele.

Ila Adhana tu ya dk 1 imekuw nongwa?
 
Back
Top Bottom