Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Duh! Ndiyo naisikia leo hii!Hiyo speaker wanarekodi kama wauza dawa ya mende yeye muda huo anakuwa kalala kwa bi mdogo kelele mnapigiwa nyinyi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Ndiyo naisikia leo hii!Hiyo speaker wanarekodi kama wauza dawa ya mende yeye muda huo anakuwa kalala kwa bi mdogo kelele mnapigiwa nyinyi.
jambo ambalo huna ufahamu nalo hupaswi kulihoji.Swali la kujiuliza kwani bila ya kuamshwa hawawezi kumswalia mtume? Hii inakera sana
HAYO MAWAIZA YAKO PELEKA CCM SIO HAPAjambo usilolijuwa litakusumbuwa sana enyi washirikina mliokufulu wkt ni sasa huko mliko sio njia sahihi.
Una matatizo ya akili ambayo sio kila mtu anayo, binadamu wa kawaida huwa anapenda utulivu muda mwingi hasa usiku hadi asubuhi au akiwa usingizini.Wewe ndio unafuatilia hizo sauti , mimi hata uwashe mashine ya kusaga nalala chumba hicho hicho .
LAZIMA UKWELI USEMWE, UISLAMU SIO DINI YA MAIGIZO, UISLAMU NI MFUMO, CHOCHOTE KINAFANYIKA KATIKA UISLAMU BASI NINYI MAKAFIRI MNAPASWA KUTAMBUWA KUWA SIO MAIGIZO, ISIPOKUWA NI AMRI KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU.HAYO MAWAIZA YAKO PELEKA CCM SIO HAPA
BASI KAMTETEE MBUNGE MPINA SI UNATAKA UKWELILAZIMA UKWELI USEMWE, UISLAMU SIO DINI YA MAIGIZO, UISLAMU NI MFUMO, CHOCHOTE KINAFANYIKA KATIKA UISLAMU BASI NINYI MAKAFIRI MNAPASWA KUTAMBUWA KUWA SIO MAIGIZO, ISIPOKUWA NI AMRI KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU.
Utulivu upi unaoutaka wewe Kafiri? Unapaswa kutambuwa kwamba Dunia ni starehe yenye kudanganya, Dunia sio sehemu ya kutafuta utulivu.Una matatizo ya akili ambayo sio kila mtu anayo, binadamu wa kawaida huwa anapenda utulivu muda mwingi hasa usiku hadi asubuhi au akiwa usingizini.
Reasoning ya kijuha,Mimi ninachojua, mwisho kuamka ni saa 11 alfajiri na kulala ni saa 1 usiku.
Tumeharibu ratiba aliyoweka mwenyezi Mungu.
Kuku anapowika anakuarifu kuwa kumepambazuka amka ukafanye lile linalowezekana na sio kuendelea kulala. Kuku ni alarm thabiti tuliyowekewa na Mungu hata sisi enzi tunasoma ndio ilitujuza kuwa huu ndio muda sahihi wa kwenda shule.
Ndg yangu Kuna ulazima upi wa kuweka speaker? Mbona Misa ya waroma ni saa12 asbh na hakuna Cha adhana Wala nn? Na watu wanajua kuliko hata ninyi mnao amshana?jambo ambalo huna ufahamu nalo hupaswi kulihoji.
SIO MPINA TU HATA WEWE KAFIRI UKIWA NA HOJA ZENYE UKWELI NIKO RADHI KUKUTETEA.BASI KAMTETEE MBUNGE MPINA SI UNATAKA UKWELI
sawa wewe unayeambiwa kuna bikra huko na kujilipuaSIO MPINA TU HATA WEWE KAFIRI UKIWA NA HOJA ZENYE UKWELI NIKO RADHI KUKUTETEA.
NinaKaa karibu na pub wanapiga mziki kucha ila haiwezi kuniathiri kabisa maana kila mtu ni eneo lake .
Hakuna ushahidi kwamba unakosa usingizi , ni wewe ndio unafuatilia ..
Unategemea binadamu wote tunafanana Sheikh!! Mkubali tu hiyo adhana yenu inatengeneza noise pollution kwa wasio husika nayo.Wewe ndio unafuatilia hizo sauti , mimi hata uwashe mashine ya kusaga nalala chumba hicho hicho .
Hizo porojo zako wapelekee wafia dini wenzako, nchi hii inawahusu hata makafiri na kama wanataka utulivu hapa duniani ni haki yao, wewe endelea kusubiria bikira za peponi na mito ya pombe huko, usisumbue wengine walioamua kuvipata hapa hapa duniani.Utulivu upi unaoutaka wewe Kafiri? Unapaswa kutambuwa kwamba Dunia ni starehe yenye kudanganya, Dunia sio sehemu ya kutafuta utulivu.
KITU AMBACHO HUKIJUWI WEWE KAFIRI NI HIVI, UISLAMU SIO DINI YA MAIGIZO YOTE HAYA YANAYOFANYWA KATIKA UISLAMU NI AMRI AU MAAGIZO KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU, MFUMO WA UISLAMU HAUKO KATIKA KUIGIZA.Unategemea binadamu wote tunafanana Sheikh!! Mkubali tu hiyo adhana yenu inatengeneza noise pollution kwa wasio husika nayo.
Yaani no sawa tu na hizo kelele za kutoka kwenye hiyo Pub, kelele za wale wanaofanya maombi/mahubiri usiku kwa sauti kubwa ya vipaza sauti, nk.
Hizi zote ni kelele! Ni fujo kwa watu wengine wanaohitaji utulivu kwa wakati huo.
Sasa kuanzia leo fahamu hiki unachojua sio sahihi, ni ujuaji potofu.Mimi ninachojua, mwisho kuamka ni saa 11 alfajiri na kulala ni saa 1 usiku.
HIZI NDIO HOJA ZA MAKAFIRI WALIOKUFULU......................Hizo porojo zako wapelekee wafia dini wenzako, nchi hii inawahusu hata makafiri na kama wanataka utulivu hapa duniani ni haki yao, wewe endelea kusubiria bikira za peponi na mito ya pombe huko, usisumbue wengine walioamua kuvipata hapa hapa duniani.
Hata ibada/misa zao huwezi kukitana na makelele. Yaani ni full utulivu. Huwezi kumsikia Padre anatoa mahubiri kwa kubana pua au kukoroma kama chura.Juzi nilikuwa narudi kwangu mida ya saa12 jioni nimechoka kinyama nakaribia kwangu nakutana na matundubai yamepigwa njia-panda yaani hakuna namna ya kuweza kupita na gari kufika kwangu maana waliweka njia-panda ya njia nne. Aise nilitamani kulia, Sehemu ni uswahilini hakuna sehemu ya kupaki halafu naambiwa shughuli ni hadi alfajiri nilichoka sana.
Dhehebu pekee iliyostarabika ni Wakatoliki huwakuti na mamiziki mikubwa wala makelele yasiyo na sababu wala kuziba njia zinanzotumiwa na watu wengine.