Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli usemweMkuu wewe huogopi?
Unawajua hawa jamaa!!
Sasa hivi tu nyumba inafuka Moshi
Mwarabu hajawaambia waamshane saa 10 usiku. Waulize waliofika Dubai. Azana ni saa 12 kasoro robo alfajiri. Sijui hii ya saa 10 usiku ikoje. Sielewi nchi zingine za kiarabu wanaazini muda gani. Sas ikiwa ni kufuata muda wa azana wa Mecca mbona uingereza itaanza sa 3 au 4 usiku na marekani labda saa 7 ya usiku huko kwao? Ndio sababu ulaya wamekataza azana na kengele za kanisani usiku.dini nyingi tumeingizwa mkenge
tunafuata tu mkumbo
mwarabu akiwaambia watunchinje wanachinja tu
mtaliano akiwambia wanaume waoane wanaoana
Nonsense!!! Hata baiskeli huna unatupanga tu biiiich...Juzi nilikuwa narudi kwangu mida ya saa12 jioni nimechoka kinyama nakaribia kwangu nakutana na matundubai yamepigwa njia-panda yaani hakuna namna ya kuweza kupita na gari kufika kwangu maana waliweka njia-panda ya njia nne. Aise nilitamani kulia, Sehemu ni uswahilini hakuna sehemu ya kupaki halafu naambiwa shughuli ni hadi alfajiri nilichoka sana.
Dhehebu pekee iliyostarabika ni Wakatoliki huwakuti na mamiziki mikubwa wala makelele yasiyo na sababu wala kuziba njia zinanzotumiwa na watu wengine.
Thank you sirNonsense!!! Hata baiskeli huna unatupanga tu biiiich...
Yani wazibe njia Ili iweje...watch your rotten mouth!
Fanya ya kwako ya wengine waachiwe wao.Kwanini unaamka mapema..???
Usiwachoshe watu hama sehemu hiyo...Period
Ule ni ukumbusho ambaye anaupuuza au kuubeza ni kwa akili yake mbaya.Siku ya siku hatakuwa na jibu kwanini hakufanya ibada.ZILE SIO KELELE ISIPOKUWA ULE NI WITO, AMBAO HUTOLEWA KILA WAKATI WA SWALA KWA AJILI YA WAUMINI KWENDA KUABUDU, TAMBUA KWAMBA UISLAMU NI MFUMO HII SIO DINI YA MAIGIZO.
Makafiri mna taabu, mmebakia kuua walemavu wa ngozi ili mtoe kafara kwa miungu yenu mitatuNipo jirani na msikiti,
Kuanzia saa 10 alfajiri,
Kuna shehe huyo amekuwa mtangazaji wa muda,
"Sasa hivi ni saa 10 dakika 20 ewe muislamu jiandae kuamka,
Swala swala,!
Na anaendelea kutaja muda mpaka inafika saa 11 alfajiri.."
Kwakweli hebu tunaomba msaada wenu,
Ni kweli hakuna namna ya kuamshana nyie tu bila kutukera sisi?
Au nchi hii yenu pekee yenu?
Kwani hamuwezi kutegesha alarm mkaamka wenyewe mpaka mpigiwe kelele za kuamshwa kutokea mbali?
Yaani tunatafuta pesa kwa shida,
Usingizi unakuja kwa shida,
Na asubuhi asubuh ukianza kupata usingizi mtamu unaamshwa kwa lazima
Nisameheni sana lakini mnakera walah wabilah!
*****************************
Mojawapo ya comment bora ni hii number #51 kutoka kwa Etrugul bay
Nikiwa muislamu mwenye akili timamu na mawazo huru naweza sema kuna baadhi ya watoa adhana hawako sahihi kabisa
Adhana kama adhana ikitolewa kwa mara moja wala haina shida kabisa lkn shida inakuja kwa watoa adhana kuongea sana na kusahau kuna watu wengine wasio waislamu wamepumzika,,kitendo cha kila mda kusema saa ngapi kinaboa sana,,ukweli usiopingika wanao swali hata adhana moja tu inawatosha kabisa
Kuna ambao wanatoa nasaha basi bora iwe maneno machache lkn wengine wanaongea sana,,hivi kuna lipi jema unalofanya wakati jirani yako anahudhunika au kukosa raha kwa ibada yako wewe?
Tuache mihemko ya dini hapa,,kuna mahala waislamu inabidi tubadilike tufahamu kwamba kila kitu kinapendeza kikifanywa kwa kiasi,,,hata kama wengine wasio waislamu wanapiga makelele lakini haihalalishi nasi tupige kama wao
Tumesisitizwa sana kuwajali majirani,kuwajali ni pamoja na kutowakera mpaka wakatuona ni kero kwao
Narudia tena adhana ni ibada kubwa sana na itaendelea kuwepo mpaka mwisho wa dunia lakini tupunguze maongezi alfajir wakati wengine wamelala na kupumzika
Dini yakuua walemavu wa ngozi mna chuki sanaHiyo speaker wanarekodi kama wauza dawa ya mende yeye muda huo anakuwa kalala kwa bi mdogo kelele mnapigiwa nyinyi.
Nionyeshe kanisa moja ambalo kelele hazitoki nje,acheni chuki nyie waua walemavu wa ngoziMakanisani wanasema hakikisheni kelele zenu hazitoki nje.
Huku kwingine ndo hivyo tena.
Nchi ngumu.
Wakristo ni jamii wenye chuki mno,Kuna mfululizo wa kipaimara wanaweka miziki mtaani wala hakuna mtu mwenye time ndio kwanza watoto wanaenda kula .
Eti kelele naona kuna tatizo kwa mtoa mada , kila mtu anapiga kwake kwa lwangwa wake .
Hapa mtaani wanapiga mziki kucha maana kuna pub haswa ijumaa kuamkia jumaosi , na jumamosi usiku .Ukija kuniuliza walipiga ngoma gani wala sikumbuki maana sifuatilii kabisa 😀 😀 😀 .
Kama wakristo wapige au watu wa bara , mimi muislamu wala sina time ya kufuatilia maana ni starehe yao
Wewe sio muislam,toa ujinga wakoNikiwa muislamu mwenye akili timamu na mawazo huru naweza sema kuna baadhi ya watoa adhana hawako sahihi kabisa
Adhana kama adhana ikitolewa kwa mara moja wala haina shida kabisa lkn shida inakuja kwa watoa adhana kuongea sana na kusahau kuna watu wengine wasio waislamu wamepumzika,,kitendo cha kila mda kusema saa ngapi kinaboa sana,,ukweli usiopingika wanao swali hata adhana moja tu inawatosha kabisa
Kuna ambao wanatoa nasaha basi bora iwe maneno machache lkn wengine wanaongea sana,,hivi kuna lipi jema unalofanya wakati jirani yako anahudhunika au kukosa raha kwa ibada yako wewe?
Tuache mihemko ya dini hapa,,kuna mahala waislamu inabidi tubadilike tufahamu kwamba kila kitu kinapendeza kikifanywa kwa kiasi,,,hata kama wengine wasio waislamu wanapiga makelele lakini haihalalishi nasi tupige kama wao
Tumesisitizwa sana kuwajali majirani,kuwajali ni pamoja na kutowakera mpaka wakatuona ni kero kwao
Narudia tena adhana ni ibada kubwa sana na itaendelea kuwepo mpaka mwisho wa dunia lakini tupunguze maongezi alfajir wakati wengine wamelala na kupumzika
Sio adhana bali makalio yakoSina ubaya na adhana...
Ubaya upo kwa wale mashehe wanaotangaza muda dakika kwa dakika.. kuanzia saa 10 alfajiri,
Amkeni! Jiandaeni kuswali,
Amka! Amka!
Hivi sasa ni saa 10 dakika kumi,
Amkeni...
Hii ndio adhana?
SahihiNikiwa muislamu mwenye akili timamu na mawazo huru naweza sema kuna baadhi ya watoa adhana hawako sahihi kabisa
Adhana kama adhana ikitolewa kwa mara moja wala haina shida kabisa lkn shida inakuja kwa watoa adhana kuongea sana na kusahau kuna watu wengine wasio waislamu wamepumzika,,kitendo cha kila mda kusema saa ngapi kinaboa sana,,ukweli usiopingika wanao swali hata adhana moja tu inawatosha kabisa
Kuna ambao wanatoa nasaha basi bora iwe maneno machache lkn wengine wanaongea sana,,hivi kuna lipi jema unalofanya wakati jirani yako anahudhunika au kukosa raha kwa ibada yako wewe?
Tuache mihemko ya dini hapa,,kuna mahala waislamu inabidi tubadilike tufahamu kwamba kila kitu kinapendeza kikifanywa kwa kiasi,,,hata kama wengine wasio waislamu wanapiga makelele lakini haihalalishi nasi tupige kama wao
Tumesisitizwa sana kuwajali majirani,kuwajali ni pamoja na kutowakera mpaka wakatuona ni kero kwao
Narudia tena adhana ni ibada kubwa sana na itaendelea kuwepo mpaka mwisho wa dunia lakini tupunguze maongezi alfajir wakati wengine wamelala na kupumzika
Mambo ya ajabu sanaSina ubaya na adhana...
Ubaya upo kwa wale mashehe wanaotangaza muda dakika kwa dakika.. kuanzia saa 10 alfajiri,
Amkeni! Jiandaeni kuswali,
Amka! Amka!
Hivi sasa ni saa 10 dakika kumi,
Amkeni...
Hii ndio adhana?