Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Najua nimekukugusaMkuu usipate taabu anzisha Chama chako kisichoganga njaa.
kumbe wapinzani wa kweli ni Mimi na wewe tunaoguswa na hali hii ya maisha tuache kutegemea watuHali ni mbaya sana kwa wananchi wa kawaida.
Watu hawana hata uhakika wa kula.
Leo hii nafaka zimepaa. Wananchi wanakosa hata pesa ya kupeleka shule na kununua sare.
Maji mijini na vijijini yanapatikana kwa shida. CcM efeli.
Imefanikiwa kupandikiza mamluki ACT Wazalendo na CHADEMA.
Acha ujingakumbe wapinzani wa kweli ni Mimi na wewe tunaoguswa na hali hii ya maisha tuache kutegemea watu
mjinga amtegemeaye mwanadamuAcha ujinga
Umenena vyemaHali ni mbaya sana kwa wananchi wa kawaida.
Watu hawana hata uhakika wa kula.
Leo hii nafaka zimepaa. Wananchi wanakosa hata pesa ya kupeleka shule na kununua sare.
Maji mijini na vijijini yanapatikana kwa shida. CcM efeli.
Imefanikiwa kupandikiza mamluki ACT Wazalendo na CHADEMA.
ZITTO ndio mganga nhaa hilo hata KICHAA analijua kwani CHAMA cha UPINZANI TANZANIA ni KIMOJA TUHali ni mbaya sana kwa wananchi wa kawaida.
Watu hawana hata uhakika wa kula.
Leo hii nafaka zimepaa. Wananchi wanakosa hata pesa ya kupeleka shule na kununua sare.
Maji mijini na vijijini yanapatikana kwa shida. CcM efeli.
Imefanikiwa kupandikiza mamluki ACT Wazalendo na CHADEMA.
Pumbavu.Uzi tayari!View attachment 2508795
Umeandika ugoro mtupu ..anzisha na ww chama cha siasa mkuu .. acha kuanika ujinga wako mitandaoni mkuu .. anzisha uone utamu wa kuwa mpinzani ulivyoHali ni mbaya sana kwa wananchi wa kawaida.
Watu hawana hata uhakika wa kula.
Leo hii nafaka zimepaa. Wananchi wanakosa hata pesa ya kupeleka shule na kununua sare.
Maji mijini na vijijini yanapatikana kwa shida. CcM efeli.
Imefanikiwa kupandikiza mamluki ACT Wazalendo na CHADEMA.
Umenena vyema
Sasa kamanda kosa langu nini?Ingeshangaza kama usingejitokeza kwenye huu ugoro wewe mataga
Lissu anasema vyama vyengine vinatumika na ccm hivyo chama cha upinzani cha kweli ni chadema tu.Kwani Mbowe na zitto ndio viongozi wa upinzani pekee nchini?
Kuna vyama 17 vya upinzani nchini, na katiba inaruhusu kuundwa vingine zaidi
Sasa kamanda kosa langu nini?