Sio kweli kuwa ukifanya ngono na makahaba unajipatia nuksi. Kwanini mambo ya kufikirika yanatutia kiwewe sana?

Sio kweli kuwa ukifanya ngono na makahaba unajipatia nuksi. Kwanini mambo ya kufikirika yanatutia kiwewe sana?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Okey, kwa hio hao mafisadi wanaotuibia pesa miongo na miongo wanatajirika hadi watoto wao tena wanakuja kutuongoza sisi, wenyewe hawajipatii nuksi kutokana na uchungu wanaotusababishia ila sisi masikini tunaoenda kupumzisha mihemko yetu kwa buku tano tu ndio tujichukulie manuksi yote ya mwajuma eti.

Mara ya mwisho katika mkutano wa world economic forum katika mji wa davos, wale madalali wa kuwatafutia makahaba watu waliripoti ongezeko kubwa la uhitaji wa makahaba kutokana na muingiliano wa watu mashuhuri duniani. Haya basi niambie nuksi walizonazo hawa matajri wa dunia tangu wameanza kula hawa makahaba maana kila siku tunawaona forbes na wala hatusikii vitu vya ajabu vikiwaandamana.

Too much ufuska sex inakuletea magonjwa na kupunguzia pesa na pia kuvunja ndoa kama wife akijua unakula makahaba tofauti na hapo ni myths mnatuletea tu.

Matatizo, tabu na ukata vimekuwa vikali sana , sasa tunaaanza kutaapa tapa kujua nini chanzo cha haya yote, kwa hio kama ulikuwa unakula malaya uandhania ni kwa sababu hio kumbe tu uchumi mbovu na upepo kutokufikia.
 
Sisi waafrica wengi wetu ni wajinga tusamehe tu mkuu.
Hahah

Eti we fikiria mkuu, joseph stalin ameuuua watu namilioni ila akaja akafa tu kifo cha kawaida huku akienjoya maisha

Ila juma anaenda kimboka mara tano kwa mwezi shughuli zake za kiuchumi zinayumba kwa maana alijixhukulia manux ya makaba.

TOTAL HORSESHIT
 
Okey, kwa hio hao mafisadi wanaotuibia pesa miongo na miongo wanatajirika hadi watoto wao tena wanakuja kutuongoza sisi, wenyewe hawajipatii nuksi kutokana na uchungu wanaotusababishia ila sisi masikini tunaoenda kupumzisha mihemko yetu kwa buku tano tu ndio tujichukulie manuksi yote ya mwajuma eti.

Mara ya mwisho katika mkutano wa world economic forum katika mji wa davos, wale madalali wa kuwatafutia makahaba watu waliripoti ongezeko kubwa la uhitaji wa makahaba kutokana na muingiliano wa watu mashuhuri duniani. Haya basi niambie nuksi walizonazo hawa matajri wa dunia tangu wameanza kula hawa makahaba maana kila siku tunawaona forbes na wala hatusikii vitu vya ajabu vikiwaandamana.

Too much ufuska sex inakuletea magonjwa na kupunguzia pesa na pia kuvunja ndoa kama wife akijua unakula makahaba tofauti na hapo ni myths mnatuletea tu.

Matatizo, tabu na ukata vimekuwa vikali sana , sasa tunaaanza kutaapa tapa kujua nini chanzo cha haya yote, kwa hio kama ulikuwa unakula malaya uandhania ni kwa sababu hio kumbe tu uchumi mbovu na upepo kutokufikia.
Najua hayo maneno yote ni nyege tu zimekujaa,

Swahili:
Hivi hao matajiri unaowasifia kwa kufanya ufuska, unajua siri ya mafanikio yao? Unajua kiundani njia wanazotumia kupata pesa?
 
😆😆😆sio wote wenye nuksi mkuu kuna wengine wana bahati, ukitembea nao mambo yanakunyookea.
Pia si makahaba tu anaweza akawa girlfriend au mke na akawa na gundu au nyota njema
Na kila binadamu ana kinga ya asili, hizo transactions za kuexchange nuksi na bahati sio rahisi kivile, ndio maana unaweza kutembea na watu na usipatwe na kitu.
 
😆😆😆sio wote wenye nuksi mkuu kuna wengine wana bahati, ukitembea nao mambo yanakunyookea.
Pia si makahaba tu anaweza akawa girlfriend au mke na akawa na gundu au nyota njema
Na kila binadamu ana kinga ya asili, hizo transactions za kuexchange nuksi na bahati sio rahisi kivile, ndio maana unaweza kutembea na watu na usipatwe na kitu.
Hakuna cha bahati wala nuksi kutoka kwenye nyapu

Maisha ni matokeo ya majanga na barakaa za kila aina.
 
Back
Top Bottom