Sio kweli kuwa ukifanya ngono na makahaba unajipatia nuksi. Kwanini mambo ya kufikirika yanatutia kiwewe sana?

Sio kweli kuwa ukifanya ngono na makahaba unajipatia nuksi. Kwanini mambo ya kufikirika yanatutia kiwewe sana?

Jana nilikuwa kwenye ferry navuka toka sengerema kwenda mwanza sasa pale kamanga nikakuta kuna tukio kuna jamaa alidubukia kwenye ziwa na kuzama ila hajaibuka sasa ni siku ya nne, kuna jamaa akawa anasema angekuwa ni mkerewe eti wangempa taarifa mama yake ile siku amepewa taarifa asile chochote anze kuondoka mpaka alipozama mwanae kisha aanze kumuita ndo atakuja, ila akila kitu mwanaye atazama mazima.😲😲 Nikashangaa hivi vitu huwa wanajitungia au wanaamini kweli, huenda jamaa alichukuliwa na mamba akahamishwa mamba anamla kidogo kidogo😄😄
Haya ndio mazingaombwe yenyewe
 
Mimi nadhani hawa wanaosema hvi wanashndwa kusema kuwa ukahaba/uzinzi/uasherati unaleta God's disapproval ambayo matokeo unaweza usiyaone sasa......

This has nothing to do with financial prosperity...
 
Mimi nadhani hawa wanaosema hvi wanashndwa kusema kuwa ukahaba/uzinzi/uasherati unaleta God's disapproval ambayo matokeo unaweza usiyaone sasa......

This has nothing to do with financial prosperity...
How about a guy who steals public funds , does he get judged and disapproved separately from a womanizer
 
Tujiulize tuu, kama malaya ana nuksi au laana, kwann zisianze kumuathiri yeye mwenyewe kwanza?

Je ww unaenda kula malaya ndo huna nuksi na laana?

Anyway, zamani nilijua malaya ni watu wabaya sana 😎
 
Vijana wa kilokole ni wajinga sana , hao digidigi huwa hata siwasikilizi michango yao.
Nina mlokole hapa ofisini kwetu jamani anaogopa kila kitu anaita ni pepo limetumwa ,huwa namcheka some time namuonea huruma anatuogopa waislamu,wasanii wote anasema ni mapepo ila wamekuja kwa umbo la binaadamu .Mimi najiuliza huyu si ataumwa huyu?
 
Nina mlokole hapa ofisini kwetu jamani anaogopa kila kitu anaita ni pepo limetumwa ,huwa namcheka some time namuonea huruma anatuogopa waislamu,wasanii wote anasema ni mapepo ila wamekuja kwa umbo la binaadamu .Mimi najiuliza huyu si ataumwa huyu?
Huu ni ulimbukeni
 
Tajiri akiwa bize na ngono atafilisika, tajiri anaweza akawa na malaya wengi lakn mda wa kuwagonga Hana kwa sababu ya ubize.
Ngono ufanywa sana na watu masikini kwao kama faraja sababu ya upeo wao mdogo
 
Ngono si tendo la kimwili tu bali la kiroho pia kama anayo maradhi ya kiroho lazima mtashare wote ni kama kuchomeka flash kwenye computer yenye virus tu lzm uondoke na virus tu
 
Ngono si tendo la kimwili tu bali la kiroho pia kama anayo maradhi ya kiroho lazima mtashare wote ni kama kuchomeka flash kwenye computer yenye virus tu lzm uondoke na virus tu
Mkuu acha bange na visungura
 
Wale wadada wa bar(maids) na hao wanaojiuza wamekuwa wakomboz wakubwa sana kwa hasa vijana wanaojitafuta, wanafunzi wa vyuo pamoja na advance uboizini,,,, ! Kuna mtu hataki mahusiano ama uchumi haujakaa sawa, anatafuta bidada anamlipa anapata huduma anapita hivi ,,,,, ishu ya nuksi au bahati ni mihemuko tu na upuuz wetu binadam, nyapu ni nyapu tu,,,, cheza kistaarabu Ukimwi unaua
 
Back
Top Bottom