Sio kweli kuwa ukifanya ngono na makahaba unajipatia nuksi. Kwanini mambo ya kufikirika yanatutia kiwewe sana?

Sio kweli kuwa ukifanya ngono na makahaba unajipatia nuksi. Kwanini mambo ya kufikirika yanatutia kiwewe sana?

Ukimpa Mungu kipaumbele, naye anakupa kipaumbele, ukikosea atakuadhibu, ukipatia atakubariki,

Sasa tafakari ,kabla ya hizo laana wewe una uhusiano Gani na Mungu!??


Kuna walioipa Dunia kipaumbele,na wanaenjoy, ila unajua baada ya Bata na anasa za duniani ,na kuzikwa kwenye makaburi ya vioo Huwa wanaishia wapi!?? Siri ya kaburi,
 
Okey, kwa hio hao mafisadi wanaotuibia pesa miongo na miongo wanatajirika hadi watoto wao tena wanakuja kutuongoza sisi, wenyewe hawajipatii nuksi kutokana na uchungu wanaotusababishia ila sisi masikini tunaoenda kupumzisha mihemko yetu kwa buku tano tu ndio tujichukulie manuksi yote ya mwajuma eti.

Mara ya mwisho katika mkutano wa world economic forum katika mji wa davos, wale madalali wa kuwatafutia makahaba watu waliripoti ongezeko kubwa la uhitaji wa makahaba kutokana na muingiliano wa watu mashuhuri duniani. Haya basi niambie nuksi walizonazo hawa matajri wa dunia tangu wameanza kula hawa makahaba maana kila siku tunawaona forbes na wala hatusikii vitu vya ajabu vikiwaandamana.

Too much ufuska sex inakuletea magonjwa na kupunguzia pesa na pia kuvunja ndoa kama wife akijua unakula makahaba tofauti na hapo ni myths mnatuletea tu.

Matatizo, tabu na ukata vimekuwa vikali sana , sasa tunaaanza kutaapa tapa kujua nini chanzo cha haya yote, kwa hio kama ulikuwa unakula malaya uandhania ni kwa sababu hio kumbe tu uchumi mbovu na upepo kutokufikia.
Hii ni kama tu zamani walikuwa wanasema mwanamke asile mayai mtoto atakufa
 
Okey, kwa hio hao mafisadi wanaotuibia pesa miongo na miongo wanatajirika hadi watoto wao tena wanakuja kutuongoza sisi, wenyewe hawajipatii nuksi kutokana na uchungu wanaotusababishia ila sisi masikini tunaoenda kupumzisha mihemko yetu kwa buku tano tu ndio tujichukulie manuksi yote ya mwajuma eti.

Mara ya mwisho katika mkutano wa world economic forum katika mji wa davos, wale madalali wa kuwatafutia makahaba watu waliripoti ongezeko kubwa la uhitaji wa makahaba kutokana na muingiliano wa watu mashuhuri duniani. Haya basi niambie nuksi walizonazo hawa matajri wa dunia tangu wameanza kula hawa makahaba maana kila siku tunawaona forbes na wala hatusikii vitu vya ajabu vikiwaandamana.

Too much ufuska sex inakuletea magonjwa na kupunguzia pesa na pia kuvunja ndoa kama wife akijua unakula makahaba tofauti na hapo ni myths mnatuletea tu.

Matatizo, tabu na ukata vimekuwa vikali sana , sasa tunaaanza kutaapa tapa kujua nini chanzo cha haya yote, kwa hio kama ulikuwa unakula malaya uandhania ni kwa sababu hio kumbe tu uchumi mbovu na upepo kutokufikia.
Asante sana Mkuu kwa ufanunzi huu 😜
 
Okey, kwa hio hao mafisadi wanaotuibia pesa miongo na miongo wanatajirika hadi watoto wao tena wanakuja kutuongoza sisi, wenyewe hawajipatii nuksi kutokana na uchungu wanaotusababishia ila sisi masikini tunaoenda kupumzisha mihemko yetu kwa buku tano tu ndio tujichukulie manuksi yote ya mwajuma eti.

Mara ya mwisho katika mkutano wa world economic forum katika mji wa davos, wale madalali wa kuwatafutia makahaba watu waliripoti ongezeko kubwa la uhitaji wa makahaba kutokana na muingiliano wa watu mashuhuri duniani. Haya basi niambie nuksi walizonazo hawa matajri wa dunia tangu wameanza kula hawa makahaba maana kila siku tunawaona forbes na wala hatusikii vitu vya ajabu vikiwaandamana.

Too much ufuska sex inakuletea magonjwa na kupunguzia pesa na pia kuvunja ndoa kama wife akijua unakula makahaba tofauti na hapo ni myths mnatuletea tu.

Matatizo, tabu na ukata vimekuwa vikali sana , sasa tunaaanza kutaapa tapa kujua nini chanzo cha haya yote, kwa hio kama ulikuwa unakula malaya uandhania ni kwa sababu hio kumbe tu uchumi mbovu na upepo kutokufikia.
How do you feel kulala na kahaba? Kimsingi ni uchafu na chukizo
 
Sisi waafrica wengi wetu ni wajinga tusamehe tu mkuu.
Jana nilikuwa kwenye ferry navuka toka sengerema kwenda mwanza sasa pale kamanga nikakuta kuna tukio kuna jamaa alidubukia kwenye ziwa na kuzama ila hajaibuka sasa ni siku ya nne, kuna jamaa akawa anasema angekuwa ni mkerewe eti wangempa taarifa mama yake ile siku amepewa taarifa asile chochote anze kuondoka mpaka alipozama mwanae kisha aanze kumuita ndo atakuja, ila akila kitu mwanaye atazama mazima.😲😲 Nikashangaa hivi vitu huwa wanajitungia au wanaamini kweli, huenda jamaa alichukuliwa na mamba akahamishwa mamba anamla kidogo kidogo😄😄
 
Kama unaamini uchawi, uganga na ushirikina upo Africa na Ulaya haupo, basi hata hiyo mikosi ipo Africa.
Sasa mtu kashalogwa, kanenewa mabaya kwanini usipate mikosi.
Mitaani huku wachawi wanakutwa uchi asubuhi, kwanini usiamini mikosi kupitia ngono
 
Jana nilikuwa kwenye ferry navuka toka sengerema kwenda mwanza sasa pale kamanga nikakuta kuna tukio kuna jamaa alidubukia kwenye ziwa na kuzama ila hajaibuka sasa ni siku ya nne, kuna jamaa akawa anasema angekuwa ni mkerewe eti wangempa taarifa mama yake ile siku amepewa taarifa asile chochote anze kuondoka mpaka alipozama mwanae kisha aanze kumuita ndo atakuja, ila akila kitu mwanaye atazama mazima.😲😲 Nikashangaa hivi vitu huwa wanajitungia au wanaamini kweli, huenda jamaa alichukuliwa na mamba akahamishwa mamba anamla kidogo kidogo😄😄

Majibu mepesi, kwa maswali au hoja nzito
 
Back
Top Bottom