Sio lazima uende CHADEMA ili kuwa mpinzani, jipenyeze kwenye mifumo yao kama Magufuli halafu badili uliyokuwa unaona si sawa

Sio lazima uende CHADEMA ili kuwa mpinzani, jipenyeze kwenye mifumo yao kama Magufuli halafu badili uliyokuwa unaona si sawa

Kwa nature ya watanzania ni ngumu sana kufanikisha lengo lako la kubadili mambo unayoona si sawa kwenye serikali

Tofauti na Kenya ambapo wana umoja unaounganishwa na ukabila na factors zingine hivyo ukipinga ukiwa Kenya basi hauko peke yako.

Work smart , jiunge na Chama tawala , chezesha karata zako vizuri hadi ufike top.

Hapo utakuwa tayari una mtaji wa watu , nguvu na fedha , utaanza kubadili mfumo mzima waliokwisha kutengeneza CCM tangu Uhuru.
Ukiwa nje ya mfumo , Tofauti na ku risk maisha yako hakuna utakachobadili.

Magufuli kwa mfano naweza Sema ni mtu ambaye alipaswa kuwa upinzani lakini aka work smart na amebadili fikra na mitazamo ya watanzania wengi , amefungua akili za wengi ku pay attention kwenye serikali maana amefukua mouvu mengi sana achana na mabaya yake kwanza.

Mifumo iliyojengwa tangu uhuru huwezi kuiingilia kirahisi lazima utumie akili.
Mfano wa Magufuli sio sahihi hata kidogo. Hakukaa ndani ya CCM na hasa katika ubunge kwa miaka mingi kiasi kile ili apenyeze mabadiliko yoyote ndani ya mfumo. Alikuwa part and parcel ya mfumo wa CCM na alishiriki kupitisha uozo wote uliojiri tangu awe bungeni.

Pili, katika mfumo wa CCM tulio nao, ni Rais wa nchi pekee ndiye mwenye uwezo na/au kauli ya mwisho katika kufanya mabadiliko yoyote ndani ya serikali na nchini kwa ujumla. Wengine wote ni “wasindikizaji”.

Unaposhauri mtu ajiunge na CCM ili kuleta mageuzi akiwa “ndani ya mfumo” basi sisitiza pia ahakikishe anakuwa Rais wa JMT - kama alivyokuwa Magufuli. Nje ya uRais atarajie kuwa chawa wa Rais atakayekuwepo madarakani.

Halafu Magufuli hakuleta mabadiliko yoyote ya msingi katika mfumo. Mfumo wa utawala wa CCM ulibaki vile vile ulivyokuwa kabla na ndio uliomuwezesha SSH kudandia uRais kirahisi kweli kweli (kama kumsukuma mlevi vile!😅).

Alichofanya Magufuli ni “ujasiri na uthubutu” wa kuweka pembeni utwalala wa katiba na sheria na kutanguliza “uzalendo” ili kufanya mambo “makubwa” kwa maendeleo ya taifa. Mambo kama (hususan) miradi mikubwa ya kimkakati, kulinda rasilimali, na kupambana na mabeberu na vibaraka wao nchini. Ndivyo, wafuasi, waumini na wapenzi wa Magufuli wanavyomtambua. Ndiyo legacy yake.

Mleta mada jua kazi ya kuleta mageuzi katika nchi hii si ya kitoto. Kenya wamemwaga damu sana kufika hapo walipo na bado mapambano yanaendelea. Ndivyo ilivyo duniani kote. Hata USA wanapambana hadi leo kuhakikisha utawala wa katiba na sheria unakuwepo nchini. January 6 2021 pale Capitol hill, damu ilimwagika.
 
Kwa nature ya watanzania ni ngumu sana kufanikisha lengo lako la kubadili mambo unayoona si sawa kwenye serikali

Tofauti na Kenya ambapo wana umoja unaounganishwa na ukabila na factors zingine hivyo ukipinga ukiwa Kenya basi hauko peke yako.

Work smart , jiunge na Chama tawala , chezesha karata zako vizuri hadi ufike top.

Hapo utakuwa tayari una mtaji wa watu , nguvu na fedha , utaanza kubadili mfumo mzima waliokwisha kutengeneza CCM tangu Uhuru.
Ukiwa nje ya mfumo , Tofauti na ku risk maisha yako hakuna utakachobadili.

Magufuli kwa mfano naweza Sema ni mtu ambaye alipaswa kuwa upinzani lakini aka work smart na amebadili fikra na mitazamo ya watanzania wengi , amefungua akili za wengi ku pay attention kwenye serikali maana amefukua mouvu mengi sana achana na mabaya yake kwanza.

Mifumo iliyojengwa tangu uhuru huwezi kuiingilia kirahisi lazima utumie akili.
Chawa wa shetani Magufuli hawajifichi hata wakivaa ngozi ya kondoo!
 
Back
Top Bottom