DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Unauza nanii? Au?Mimi ni tajiri wa mahaba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauza nanii? Au?Mimi ni tajiri wa mahaba.
Hahah,Mimi ni tajiri wa mahaba.
Jomba mbona unanifuatilia sana? Acha ufalaUnauza nanii? Au?
Sema tukuungisheJomba mbona unanifuatilia sana? Acha ufala
Inaweza ikawa kweli wanatoka familia za kishua lakini ule ushua hawakutafuta wao wazazi ndo wameutafuta ishu inakuja kwenye kuendeleza huo ushua inabidi utoe appreciation kidogoHata Mo Dewji anapenda kuonekana amepambana sana. Hakuna MTU asiyependa kuona juhudi zake zinakuwa appreciated.
Mo Dewji ukimwambia Mali zake za urithi hapendi kabisa.
Kina Drake hawakutoka maisha magumu, lakini wanapenda kuonekana hivyo mpaka ana ngoma yake ya "Started from the Bottom, Now We are here"
Huwezi dumu na icho kitu takribani kwa Karne kadhaa mpaka kizazi Cha tano from you. Sijakataa unaweza ukabeti ukapata bilioniSio lazima bro. Unaweza kupata zali ukawa tajiri.
Smart work + few planned simple actions executed consistently everyday without divergence i.e you're objective to your proven planned of actions that in long run will put odds of your success to your favor / repeatable process executed tirelessly = successHard work + God or Ndumba = success no free boti
Weye nae una uelewa mdogo sana! Hata Prince Hurry kapitia wakati mgumu pale Bakhngham Palace! lkn leo atakwambia yuko vizuri huko Canada!! kwa jinsi ulivyo wewe huy hutamwamini kuwa alikuwa na shida pale!Kwenye ahadi za mwanaCCM kuna ila inayosema, fitina kwangu mwiko na nitakuwa mkweli daima. Nikiwa kama mwanaCCM mwenye kadi iliyolipiwa ada nakataa kabisa mambo ya kinafiki na kudanganyana.
Miaka ya hivi karibuni kumejitokeza watu wengi sana wahamasishaji wa mafanikio (Motivational Speakers) ambao naona wanachofanya ni jema sana na ni msaada kwa nchi. Ila pia kumejitokeza mambo mengi yenye ukakasi kwenye shughuli za hawa watu.
Wengi wao pia ni jobless wanaoongea kwa kukopi wahamasishaji wa marekani hali ambayo inakosa uhalisia kwa mazingira ya nchi yetu. Hali ya maisha, utamaduni na mfumo wa maisha ya Tanzania una tofauti kubwa na kule USA hivyo mhamasishaji wa USA hawezi kuwa sawa na wa Tanzania.
Sasa shida inakuja mhamasishaji anapokuja na maneno ya kina Kiyosaki, Ben Carson na kuwaambia vijana wa Nanjilinji. Mwisho wa siku inakuwa sio hamasa bali kuwavuruga zaidi vijana.
Kilichonisukuma zaidi hadi kuandika uzi ni hii tabia ya kila Motivational Speaker kudai alipitia maisha magumu sana hadi kufika alipofika.
Tena wanaokera zaidi ni wale ambao kiuhalisia bado wana maisha magumu na kujikweza. Nitatoa mifano michache ya watanzania maarufu ambao motivation zao zimejaa utata na kukosa uhalisia.
1. MAJIZO: Huyu bosi wa EFM huwa anadai alikuwa anakosa hata hela ya kula enzi akiwa DJ ila akapambana na kufungua redio. Nikipiga thamani ya uwekezaji wake pale EFM na muda aliotumia kutoka U-DJ hadi kuwa mmiliki wa redio kubwa nchini hesabu zinakuwa zinakataa. Na kama ingekuwa hivyo basi Aboubakar Sadik aliyekuwa nae Kwafujo DJs angekuwa nae kashafungua redio au kitega uchumi kikubwa.
2. FRED VUNJABEI: Huyu kijana nae analeta ukakasi sana. Anadai ELIMU tu alichopewa na baba yake ambaye pia ni mfanyabishara mwenye mafanikio kwa ngazi ya Iringa. Lakini katika hali ya kushangaza anatuambia kabla ya kuuza nguo alikuwa mwajiriwa kama mhasibu huku akianza biashara za kwenda China wakati akiwa mwajiriwa. Pia anatuambia alishawahi kuwa muuza magari na kusafiri nchi nyingi. Katika hali ya kushangaza zaidi anadai alikuwa na mtaji mdogo sana ikabidi amchangie rafiki yake aanze kwanza biashara ambaye baada ya kufanikiwa ndo akampa Fred 20m. Huyu kijana nae aachane na mambo ya kusema alipambana sana.
3. MABINTI MAARUFU WENGI; Hili group lina watu wengi ndo maana nimeona niwataje kama group. Wengi wao wanashinda hotel za kitalii wakila bata na kuudanganya umma kwamba wamepambana sana kufikia hapo.
Nashauri Motivational Speakers wakaiga mfano wa Sugu, Mzee Mtei, Marehemu Mengi na Ruge ambao stori zao zimejaa uhalisia na kweli wanahamasisha.
Majizo nae ni mpenda Upinde? (Rainbow)🤭🥱Hawa matajiri wa bongo kama fred, majizzo na wengine huwa hawanipi hamasa...kuna mkono au msaada wa mtu uliwabeba ndo wakafika hapo si hivhivi.
hasahasa majizzo nasikia ni wale jamaa wapenda rainbow
Huu nao ni ujinga wa kiwango cha lami!! well!! hao wazungu wamekula mali gani zenu/zako??...km ni Almas! hamjui thamani ya zenyewe hata cha kuzifanyia ni wao ndo wamewafundisha! km unajua nitajie fasta hapa!Wazungu wametula wametuibia Mali zetu,
Hatuongelei furaha unayomaanisha wewe. Tubaongelea msoto kuhusu kupata pesa. Elewa mada.Weye nae una uelewa mdogo sana! Hata Prince Hurry kapitia wakati mgumu pale Bakhngham Palace! lkn leo atakwambia yuko vizuri huko Canada!! kwa jinsi ulivyo wewe huy hutamwamini kuwa alikuwa na shida pale!
Baba yangu alikuwa na Ma Bus 200, lkn nilikuwa siana raha nayo!! japo hela ilikuwa si tatizo, kwangu mpaka pale nilipo soma sana ndo ilikuwa raha yangu! kwa hiyo usihukumu watu kwa jinsi ulivyo weye! Rudi drsasni!
Drs la saba C'' !! Narudia tena kwa faida ya watu wote km weye! Msoto wangu na Madaraka Nyerere! kuhusu kupata Pesa, ni tofauti sana na Msoto wako wewe Mwanakijiji wa Wilolesi ya Iringa vijijini kuhusu kupata pesa!!Hatuongelei furaha unayomaanisha wewe. Tubaongelea msoto kuhusu kupata pesa. Elewa mada.
Wewe ni mkaguzi wa elimu za watu hapa JF? Hakuna kitu umeandika zaidi ya pumba na majivuno. Kwasababu hapa JF hatujuani baki na mtazamo wako.Drs la saba C'' !! Narudia tena kwa faida ya watu wote km weye! Msoto wangu na Madaraka Nyerere! kuhusu kupata Pesa, ni tofauti sana na Msoto wako wewe Mwanakijiji wa Wilolesi ya Iringa vijijini kuhusu kupata pesa!!
kunilinganisha smaki/& Madaraka Nyerere! na wewe kuhusu pesa ni Makosa makubwa ya uelewa! ndo maana nikasema kwa msisitizo urudi drsani ukasome zaidi ili ufunguke kimaisha, na
bado nasisitiza utimize hayo km unajipenda lkn! .....na siku isiyo kuwa na tarehe utaja nishukuru! ....lkn inaonyesha Bado ni mzito kuelewa........lkn ndo mlivyo slow learner! na sie wataalam hatuchoki kuwakumbusha!
Kama vipi zipigwe humuhumuWewe ni mkaguzi wa elimu za watu hapa JF? Hakuna kitu umeandika zaidi ya pumba na majivuno. Kwasababu hapa JF hatujuani baki na mtazamo wako.