Sio Lissu wala Nyalandu mwenye uwezo wa kushindana na Magufuli 2020

Sio Lissu wala Nyalandu mwenye uwezo wa kushindana na Magufuli 2020

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
 
Weka uchaguzi huru, usitumie vyombo vya dola ukalazimisha ushindi, iwache tume ifanye uhuru wake, waachwe wananchi wasinyanyaswe na madc na wengien wanaoufanya uchaguzi ukaharibika halaf na upinzani atafutwe kijana tu agombee hawo uliowataja waachwe kwa majimbo yote ya nchi mzima uangalie hata 30% yakura zote magu wako hapati.
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na magu,
Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena
Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
kapokee buku7[emoji90] [emoji126] zwazwa mfiafisiem we.
mabwana zenyu wameshaona nyie nimazwazwa Hamfai ndo mana wanaimport vifaa kutoka CDM.
mtaishia kuolewa JF tu
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na magu,
Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena
Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Hivi kampeni za uraisi zishafunguliwa?
 
Weka uchaguzi huru, usitumie vyombo vya dola ukalazimisha ushindi, iwache tume ifanye uhuru wake, waachwe wananchi wasinyanyaswe na madc na wengien wanaoufanya uchaguzi ukaharibika halaf na upinzani atafutwe kijana tu agombee hawo uliowataja waachwe kwa majimbo yote ya nchi mzima uangalie hata 30% yakura zote magu wako hapati.
Mmejaa hofu hofu na mashaka ndio yamewatawala tume ipo huru na uchaguzi upo huru ila hamuuziki kwa wananchi!
 
kapokee buku7[emoji90] [emoji126] zwazwa mfiafisiem we.
mabwana zenyu wameshaona nyie nimazwazwa Hamfai ndo mana wanaimport vifaa kutoka CDM.
mtaishia kuolewa JF tu
Aksante Faraja kota!
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na magu,
Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena
Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Acha kujifanya kichaa kama bosi wako. Magufuli hata kura za maoni ndani ya ccm zikisimamiwa bila vitisho hawezi kutoboa.
 
Acha kujifanya kichaa kama bosi wako. Magufuli hata kura za maoni ndani ya ccm zikisimamiwa bila vitisho hawezi kutoboa.
Hilo unafikiri ila yeye ameshapita hata kabla ya kupigiwa kura!
 
Mmejaa hofu hofu na mashaka ndio yamewatawala tume ipo huru na uchaguzi upo huru ila hamuuziki kwa wananchi!
Ukijua time inavyopatikana utakuwa na aibu kuyazungumza haya,na si tume tu inaenda chini zaidi katika katiba.
 
Mmejaa hofu hofu na mashaka ndio yamewatawala tume ipo huru na uchaguzi upo huru ila hamuuziki kwa wananchi!

Bora umeanzisha uzi mpya. Saa hii watu tunawachora na hiyo tume ya uchaguzi inayopambania tumbo na kujipendekeza kwa rais.
 
Back
Top Bottom