ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Hivi unawezje kuvitumia vyombo vya dola kinyume na sheria, Hivi kauli za kiongzzi wako alisemaje juu ya wateule wake.
Mmejaa hofu hofu na mashaka ndio yamewatawala tume ipo huru na uchaguzi upo huru ila hamuuziki kwa wananchi!