kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #61
Nimetumwa!Mweeeeeee itakuwa hukuandika kwa hiyari yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetumwa!Mweeeeeee itakuwa hukuandika kwa hiyari yako
na mnaowanunua kwa lazima [emoji201] [emoji61] [emoji379]Mmejaa hofu hofu na mashaka ndio yamewatawala tume ipo huru na uchaguzi upo huru ila hamuuziki kwa wananchi!
fryOver[emoji12] [emoji12]Ni kweli mkuu! Mi simuoni wakumshinda Magufuli kwenye kinyanganyilo cha Urais, Hivi Lissu just imagine anasimama jukwaani anaongea nini kwa mfano tukamuelewa..! n Mi sion labda aseme alipigwa risasi dereva wake akazikwepa kama Jet-Lee ila yeye zikampata na ana kesi zaidi ya 50 kortini maana ndicho watakachosema labda!
Mwananchi gani atamchagua Lissu kisa kasema atajenga Fly Over akamuelewa? Yani aseme Magu najenga Fryover na Lissu wananchi wamuone Lissu ndiye atajenga? Imposible Watanzania si wajinga kiasi hicho.
Nimesikia Membe amesaini check huko ufipa kwa ajili ya kila kamanda apate bundle kwa kampeni maalum!
Kama wananunulika basi huko ufipa hakuaminiki tena kushika dola!na mnaowanunua kwa lazima [emoji201] [emoji61] [emoji379]
Kupitia chama gani!Subiri muda si mrefu kichaa atafurushwa na jasusi Membe
Mtasikia mengi mwaka huu.Nimesikia Membe amesaini check huko ufipa kwa ajili ya kila kamanda apate bundle kwa kampeni maalum!
JPM bila polisi ni mwepesi hata kwa Kingwendu!!Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.
Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.
Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.
Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.
Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Kupitia hicho chama chenu cha weziKupitia chama gani!
Una akili ndogo sana wewe,au la unatumika kupigana na hofu za wanao dhani wao ndo wanafaa kuongoza,Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.
Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.
Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
hahahahaSio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.
Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.
Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Baada ya kutuma huu ujumbe ulijiona ovyo eti?Bila polisi na tume ya uchafuzi kufanya dhuluma Magufuli hawezi kushinda hata akishindanishwa na Halima Mdee
.. [emoji90] [emoji90] [emoji83] nyammmbaffffff[emoji83] nyie mazwazwa jiwekichaa hawaamini ndomana anaimport from chama la wenye akili.Kama wananunulika basi huko ufipa hakuaminiki tena kushika dola!
Sisi tunawaza ilikoenda nchi yetu Tanzania wewe unawaza kushindana! Mungu tusaidie majinga haya tuyapeleke wapi?Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.
Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.
Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!