Sio Lissu wala Nyalandu mwenye uwezo wa kushindana na Magufuli 2020

Sio Lissu wala Nyalandu mwenye uwezo wa kushindana na Magufuli 2020

Ni kweli mkuu! Mi simuoni wakumshinda Magufuli kwenye kinyanganyilo cha Urais, Hivi Lissu just imagine anasimama jukwaani anaongea nini kwa mfano tukamuelewa..! n Mi sion labda aseme alipigwa risasi dereva wake akazikwepa kama Jet-Lee ila yeye zikampata na ana kesi zaidi ya 50 kortini maana ndicho watakachosema labda!

Mwananchi gani atamchagua Lissu kisa kasema atajenga Fly Over akamuelewa? Yani aseme Magu najenga Fryover na Lissu wananchi wamuone Lissu ndiye atajenga? Imposible Watanzania si wajinga kiasi hicho.
fryOver[emoji12] [emoji12]
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
JPM bila polisi ni mwepesi hata kwa Kingwendu!!
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!

KUMBE KAMPENI ZIMEANZA? KWANI ULIOWATAJA WAMESEMA WATAGOMBEA 2020?
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Una akili ndogo sana wewe,au la unatumika kupigana na hofu za wanao dhani wao ndo wanafaa kuongoza,
Yani lipumba?
 
h
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
hahahaha
ccm haijawahi kuwa dhaifu kama ilivyo sasa.tuliwaambia huyo mwenyekiti hajawahi kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi asigeweze kukiongoza chama.mkawa wabishi.sasa angalia chama kipo vipandevipande
 
Tundu Lissu anauwezo kuliko hata wa John pombe Magufuli.
 
Kama wananunulika basi huko ufipa hakuaminiki tena kushika dola!
.. [emoji90] [emoji90] [emoji83] nyammmbaffffff[emoji83] nyie mazwazwa jiwekichaa hawaamini ndomana anaimport from chama la wenye akili.
mtaishia kuolewa JF[emoji160]
 
mkuu kama kweli unakipara basi umetudharirisha sana sisi wenzio wenye vipara.....hivi unashndanaje na mtu ambae yeye akita kuongea muda wowote nawananchi anaweza nawenzie kawafungia nakuwakataza?
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Sisi tunawaza ilikoenda nchi yetu Tanzania wewe unawaza kushindana! Mungu tusaidie majinga haya tuyapeleke wapi?
 
Back
Top Bottom