Sio Lissu wala Nyalandu mwenye uwezo wa kushindana na Magufuli 2020

Sio Lissu wala Nyalandu mwenye uwezo wa kushindana na Magufuli 2020

Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Watakusimamisha wewe
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Kwenye free and fair election magufuri hata ukimsimamisha na chid Benz hatoboi
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji106]
 
Nimesikia Membe amesaini check huko ufipa kwa ajili ya kila kamanda apate bundle kwa kampeni maalum!
Membe ana laana ya serikali ya Libya,kuhusu zile dollar milioni ishirini,zilizopelekea yule balozi wa libya aliekufa katika mazingira yenye utata,baada ya kukomalia pesa ya nchi yake
 
Membe ana laana ya serikali ya Libya,kuhusu zile dollar milioni ishirini,zilizopelekea yule balozi wa libya aliekufa katika mazingira yenye utata,baada ya kukomalia pesa ya nchi yake
Kabisa mkuu wapo wenye kujitoa ufahamu!
 
Nimeshindwa kuelewa aliyeandika hi mada ni mtoto au mtu, Kama ni mtu mzima tuna Safari ndefu Sana Kama taifa katika kujikomboa kifikra
 
Mmejaa hofu hofu na mashaka ndio yamewatawala tume ipo huru na uchaguzi upo huru ila hamuuziki kwa wananchi!
Uchaguzi wa kumwambia mkurugenzi nimekupa power, gari, mshahara na posho halafu umtangaze mpinzani ?! Huo ndiyo uchaguzi huru ?! UNATANIA CIO ?!.

Kubalini tume huru na katiba ya wananchi muone cha moto

Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app
 
Sielewi kwa nini mnapenda kupoteza muda wenu. 2020 ni Magufuli wa ccm na hakuna mwingine. Timu yake ya ushindi ni wakuu wote wa mikoa na wilaya, ma-DED wote, mapolisi wote, vyombo vyote vya dola kama ilivyokuwa kwenye chaguzi ndogo. Nyie mtapigiwa kura nyingi na yeye atatangazwa mshindi hata chini ya mtutu wa bunduki. Kubalini tu hata kama haimezeki. Ndo ukweli!
Sasa unajivunia uchaguzi wa aina hiyo ?! Ni Uchaguzi au lazima ?!

Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Dkt.Membe je?
 
Back
Top Bottom