Sio mbaya kuiga ubunifu huu wa majirani ili kupunguza tatizo la ajira

Sio mbaya kuiga ubunifu huu wa majirani ili kupunguza tatizo la ajira

Wakenya wana mipango, wanajua ni wapi wanaenda na wapi wanataka kuwepo. Sisi tuna kila kitu na hatuna uelekeo. Akili za viongozi wetu ni kama za mazuzumagic.

Tuna madini ya chuma, hatuyaendelezi. Nchi zote zenye maendeleo makubwa, maendeleo yao yametokana na chuma na teknolojia. Sisi tunajudanganya na dhahabu na Tanzanite

kuna mahala kama siasa imeshindwa basi sisi raia tunaweza kuleta mabadiriko kwa kuwapa watu uelewa na kuelimika...jamii ikielimika na kujielewa basi hata mageuzi ya kisiasa huka kirahisi pia..
 
Back
Top Bottom