Sio mpenzi wangu lakini kaninunia sababu nimeshindwa kumkopesha pesa

Sio mpenzi wangu lakini kaninunia sababu nimeshindwa kumkopesha pesa

Mweeeh[emoji16], mie natafuta wa kunikopesha,nisipolipa anioe[emoji23][emoji23]

mzabzab
Tumesanuka siku hizi, kuna manzi mmoja hivyohivyo kanicheki usiku sana anaomba nimkopeshe ya kodi ya anapoishi asubuhi yake nikamtumia. Akiniahidi mwisho wa mwezi atanilipa

Miezi 4 alinizungusha huku ananitega nimlale tumalizane, nilikomaa naye aliilipa akamaliza deni ijapokuwa alikuwa analipa kwa installment

Ilipobaki 50k akajizungungusha sana nikamwendea polisi alipoona barua ya wito jioni yake naona muhamala kwenye simu yangu
 
Mbona kama vile unamtaka ...unalazimisha urafiki WA mwanamke na mwanaume? ....

Mwanamke kama sio demu wako au humtaki kimapenzi huwa mnawasiliana mnaongea nin [emoji23]?

Anashakuona wewe Ni mtoto ...
Kwahiyo wewe kila mwanamke lazima umtongoze ?

Kuna kipindi unaweza kosa connection za kazi za maana sababu ya kutongoza tongoza hovyo

Sio kila mwanamke ni wakutongoza, wengine waache wabaki marafiki tu wa kawaida.
 
Tumesanuka siku hizi, kuna manzi mmoja hivyohivyo kanicheki usiku sana anaomba nimkopeshe ya kodi ya anapoishi asubuhi yake nikamtumia. Akiniahidi mwisho wa mwezi atanilipa

Miezi 4 alinizungusha huku ananitega nimlale tumalizane, nilikomaa naye aliilipa akamaliza deni ijapokuwa alikuwa analipa kwa installment

Ilipobaki 50k akajizungungusha sana nikamwendea polisi alipoona barua ya wito jioni yake naona muhamala kwenye simu yangu
Mabazazi hatucheki na kima 👍🏾

*****!
 
Ukitenda mema, watalalamika. Ukitenda mabaya watalalamika tu.

Muhimu ni kufanya kile kilicho sahihi kwako. Jinsi atakavyoona na kujisikia, halikuhusu.
 
Kuna binti mmoja nilipata kujuana nae baada ya kukutana kwenye kazi ya muda ambayo tuliifanya kwa muda wa miezi 6.

Baada ya ile kazi kuisha kila mtu aliendelea na harakati zake zingine lakini bado tulikuwa tutawasiliana mara mojamoja.

Kuna siku alinitumia link ya group la ajira lakini nikamwambia kwasasa mimi nimeshapata sehemu ya kujishikiza na nikamtajia jina la kampuni.

Kwakua nilitoka kwenye msoto madeni nayo yalikua mengi, sasa ile mwisho wa mwezi ulivyofika tu akanambia nimuazime Tsh 50,000.

Nikamwambia kiukweli bajeti yangu haipo vizuri mana nimepata mshahara lakini karibu asilimia 65 nimelipa madeni ya watu, akaitikia sawa "hamna shida", lakini kiunyonge flani akiamini ninayo ila nimemnyima makusudi.

Baada ya kama siku tatu nikasema ngoja nijaribu kumjulia hali nione reaction yake, bwana weeeee kaisoma tu sms yangu Whatssap na imeonyesha blue tick lakini wala hajahangaika kuijibu hadi leo.

Sasa nikajiuliza kwanini hawa wenzetu hawaamini kwamba na sisi kuna muda tunakosa pesa, tena ukizingatia sio mpenzi wangu na sijawahi hata siku moja kumtamkia kwamba namtaka kimapenzi?

Mtu kama huyu hata ni ningemuazima kweli si angeingia mitini na hela yangu, maana pia wataalamu wa haya mambo wanakwambia mwanamke hakopeshwi.

Je, wewe mdau wa JF ulishawahi kutana na mtu wa namna hii?
Hao usikooeshe kabisaaa mie mpaka leo laki tatu yangu niliambulia bao mbili na gharama ya hotel rum juu yangu. Hawafai kabisa hawa viumbe sema basi tuu mbususu zao tamu
 
Kuna binti mmoja nilipata kujuana nae baada ya kukutana kwenye kazi ya muda ambayo tuliifanya kwa muda wa miezi 6.

Baada ya ile kazi kuisha kila mtu aliendelea na harakati zake zingine lakini bado tulikuwa tutawasiliana mara mojamoja.

Kuna siku alinitumia link ya group la ajira lakini nikamwambia kwasasa mimi nimeshapata sehemu ya kujishikiza na nikamtajia jina la kampuni.

Kwakua nilitoka kwenye msoto madeni nayo yalikua mengi, sasa ile mwisho wa mwezi ulivyofika tu akanambia nimuazime Tsh 50,000.

Nikamwambia kiukweli bajeti yangu haipo vizuri mana nimepata mshahara lakini karibu asilimia 65 nimelipa madeni ya watu, akaitikia sawa "hamna shida", lakini kiunyonge flani akiamini ninayo ila nimemnyima makusudi.

Baada ya kama siku tatu nikasema ngoja nijaribu kumjulia hali nione reaction yake, bwana weeeee kaisoma tu sms yangu Whatssap na imeonyesha blue tick lakini wala hajahangaika kuijibu hadi leo.

Sasa nikajiuliza kwanini hawa wenzetu hawaamini kwamba na sisi kuna muda tunakosa pesa, tena ukizingatia sio mpenzi wangu na sijawahi hata siku moja kumtamkia kwamba namtaka kimapenzi?

Mtu kama huyu hata ni ningemuazima kweli si angeingia mitini na hela yangu, maana pia wataalamu wa haya mambo wanakwambia mwanamke hakopeshwi.

Je, wewe mdau wa JF ulishawahi kutana na mtu wa namna hii?
Yaani txt moja ukaifungulia uzi mku
Hata lini nchi hii tutaacha kujali vitu vidogo hivi?

Mbona nchi ngumu sana hii?
 
Back
Top Bottom