Kwa hivyo unataka mwenzio alale mlango wazi kwa bahati ya mtu mwingine?Nilishawahi ng'atwa na paka tangu ninamiaka 6 na sikupata Antirabies vaccine mkuu na mpaka leo nipo.
Kuna waru watu wana ng'atwa na mbwa kila siku na hawachanji chanjo hawapati rabies na kuna wengine wanang'atwa na kuambukizwa kisha kufa. Sasa unashauri watu wasichanje kinga?Nilishawahi ng'atwa na paka tangu ninamiaka 6 na sikupata Antirabies vaccine mkuu na mpaka leo nipo.
Sio ndoto, ni tukio halisi. Baada ya kuperuzi JF nikampigia mke wangu, maana niko Mafinga nimekuja kufunga mzigo wa mbao kwa ajili ya ujenzi wa shule.
Nilipomaliza kuongea na simu, nimekuja kushtuliwa na maumivu makali sana kitu kimeng'ata uume wangu na kimeushikilia.
Uzuri switch iko hapahapa kitandani, nikakuta ni paka taa ilipowaka akaanza kuhangaika namna ya kutoka kwenye chandarua.
Najiuliza mlango na madirisha nilkuwa nimefunga, kaingiaje? Amewezaje kuingia kwenye net.
Nimejichunguza, siòni damu, ila nina maumivu. Nimemfungulia mlango aende zake. Nimefikia nyumbani kwa ndugu wa mke wangu, walinikatalia kabisa nisilale gesti
"Nina uhakika ndoa yako ina less than 5 years, you have a long way to go, mwabamke kumuelewa dogo ni ngumu sana, yaitaji mda, busara, na uvumilivu, achana na masifa ya kwenda na Horse kwa wakwe"Hii miiko ya Wazee wetu ilikuwa na maana, inaonekana kwanza wewe huna siri na privacy, kwa nini unaropoka ulienda kufunga mzigo wambao, sio hivyo tu, ila wa Kujenga shule, hizo details zote za nini?
Kwa nini hayo mambo ya kuongea na mke tena uweke public, kwa nini? Hii inaonyesha una uzaifu mkubwa sana wa kuropoka mambo yako, either kwa kutaka sifa au ni Hulka.
Kwa nini ukalale kwa wakwe? Na wajue ABC zako? Kulala kwa wakwe sio jambo jema sana, ila okay, unalala, kwa nini ukalale wakati mkeo hayupo? Ukiwa kwa wakwe nani mwenyeji wako?
Ukianza safari ya Biashara lazima uwe na nidhamu sana sana, na uache kuropoka, vita vya biashara ni vigumu, na usiwe na ukaribu sana na wakwe, utalishwa vitu vya ajabu uanze kulia lia hovyo, unachezewa michezo utakuja juta.
Unaweza kusema, mke tupo pamoja, bla bla bla, maana hela nikipata kapata yeye, kuwa utayaona, unaweza kuwa na mke, anakula kwenye biashara yako, halafu akaiharibu kishirikina kabisa.....
Mimi nashangaa sana watu wanasema ushoga sio mila zetu, mambo mengi sio mila, mke sio wa kushirikisha mambo yote, una mchenga chenga kwa akili, watu wengi wamepotea kwa sababu ya wake zao, wengine kufa kabisa.
Nina uhakika ndoa yako ina less than 5 years, you have a long way to go, mwabamke kumuelewa dogo ni ngumu sana, yaitaji mda, busara, na uvumilivu, achana na masifa ya kwenda na Horse kwa wakwe.
Kwa kifupi, wakwe hawana msaada kwako wowote, wewe ndo wa msaada kwako, nawakikuona una uwezo, hata kulogwa wewe utalogwa.
Uwe unaoga kabla ya kulala mkuu.Sio ndoto, ni tukio halisi. Baada ya kuperuzi JF nikampigia mke wangu, maana niko Mafinga nimekuja kufunga mzigo wa mbao kwa ajili ya ujenzi wa shule.
Nilipomaliza kuongea na simu, nimekuja kushtuliwa na maumivu makali sana kitu kimeng'ata uume wangu na kimeushikilia.
Uzuri switch iko hapahapa kitandani, nikakuta ni paka taa ilipowaka akaanza kuhangaika namna ya kutoka kwenye chandarua.
Najiuliza mlango na madirisha nilkuwa nimefunga, kaingiaje? Amewezaje kuingia kwenye net.
Nimejichunguza, siòni damu, ila nina maumivu. Nimemfungulia mlango aende zake. Nimefikia nyumbani kwa ndugu wa mke wangu, walinikatalia kabisa nisilale gesti
Kuna uwezekano alikuwepo ndani kabla hujafunga mlangoHata mimi nimeshangazwa na namna paka alivyoweza kuingia kwenye chumba ambacho mlango na madirisha yamefungwa.
Mimi huwa sivaì pyjamas, navuja sana jasho
Pole sanaNilishawahi ng'atwa na paka tangu ninamiaka 6 na sikupata Antirabies vaccine mkuu na mpaka leo nipo.
Hakukuwa na kitu ndaniKuna uwezekano alikuwepo ndani kabla hujafunga mlango
Uwe unaoga kabla ya kulala mkuu.
Samsingi inanukia kama panya usipooga.
Pole sana mkuu
Mamayeee
SawaWake za watu huko ni hatari sana, usijaribu kuchukua bila mwenyeji kukuelekeza.
Nomeagiza maji ya MwamposaKama paka amekata kabisa, niachie tu mkeo maana hautakuwa na matumizi nae.