Sio siri huyu Mzigua90 ananichanganya sana

Sio siri huyu Mzigua90 ananichanganya sana

Acha tuone akija Nimekuitia aje aseme mapema kama ni No watu wajue siyo tugande kwa kusubiria Mzigua90

Kwani na wewe uko foleni jamani? Sasa mbona tukionana huniombi shemeji? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Au tutalizungumza kesho pale kijiweni kwetu
 
Back
Top Bottom