Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Aaah wachachuaji tunasubiri kadi ya kamati, usituangushee plz,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda njifanyie birthday kuubwa kama wadada wa mjini ila kwa shemeji huyo HAPANA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah wachachuaji tunasubiri kadi ya kamati, usituangushee plz,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaniumiza sana kisaikolojia hujui tu. Anyways siku ukiwa tayari utani pm nimekaa palee nakusubiri mpenzi.Labda njifanyie birthday kuubwa kama wadada wa mjini ila kwa shemeji huyo HAPANA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani dear, kwann lakini?Labda njifanyie birthday kuubwa kama wadada wa mjini ila kwa shemeji huyo HAPANA
mchumbaaaa mamboo hujamboo?😀😀😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani dear, kwann lakini?
Sijambooo [emoji23][emoji23][emoji23]mchumbaaaa mamboo hujamboo?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
I love you so much mwaaaaaaaaSijambooo [emoji23][emoji23][emoji23]
Unaniumiza sana kisaikolojia hujui tu. Anyways siku ukiwa tayari utani pm nimekaa palee nakusubiri mpenzi.
hivi nishawahi kuja kukutongoza pm kweli?🤔🤔Sawa mwaya
hivi nishawahi kuja kukutongoza pm kweli?[emoji848][emoji848]
ngoja nitakuja kwamara nyingine nione tunafanyajeItakua maana CV umeshusha lazima na wewe ulipitaga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ngoja nitakuja kwamara nyingine nione tunafanyaje
Achana na wake za watuMimi ni mgeni humu, sijajua kama inaruhusiwa kutongoza ila kiukweli mimi huyu Mzigua90 ananichanganya sana. Najikuta natumia muda mwingi kumuwaza.
Hakyanani tena.
Ko umemkata?Labda njifanyie birthday kuubwa kama wadada wa mjini ila kwa shemeji huyo HAPANA
Chuga girl unachepuka ?Ninae kualana nae hata siku moja simtanii ujinga. Hata kujibu comment yake ni kwa nadra sana.
Tuma muamala kwa mashemeji tukupitishe