Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kwani mimi kakako nikikuita na kukuweka chini kuwa kuna mwamba amenituma si utanisikiliza rafiki?Au sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mimi kakako nikikuita na kukuweka chini kuwa kuna mwamba amenituma si utanisikiliza rafiki?Au sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Share location ya bar uliyopo nije nikuoneshe mambo makuu usiyoyajuaEmily hotel ndo wapi tena? Mimi najua restaurants na bar tu [emoji23]
Yani wifi acha tyuuu!! Kaka kila ninavyomsaidia domo zito afu muoga km kunguru 🤣🤣🤣🤣Mkorofi huyo Lamomy. Au kanichagua niwe wifi yake na anaona huna nia ndio maana anakupambania? [emoji23][emoji23]
Mambo si hayo…!! Uwe unachangamka bana ila ulivyoiomba sasa unaharibu 🤣🤣🤣🤣Sijui tufanye jambo pale Emily hotel ajue Sina shughul ndogo
🤣🤣🤣 imagineYani wifi acha tyuuu!! Kaka kila ninavyomsaidia domo zito afu muoga km kunguru 🤣🤣🤣🤣
Nishaona dalili za kukosa kuitwa aunt mimi!!
Kaka mzito kila nikimpigia pasi afunge anabutua mpira juu 😂😂😂
Mbinu za kivita hizo 😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huna akili hata moja
Anza jiraniKwahiyo unanishauri na Mimi nianze kutafuta sio?
Hiyo ya mwisho simfundishi tena 😂😂😂😂Sikukuu yote anashindwa mbinu.. Anataka kuhurumiwa jukwaani
🤣🤣🤣Mama yangu! Kumbe swaga zimekua updated ngoja nijaribu kuaplyMambo si hayo…!! Uwe unachangamka bana ila ulivyoiomba sasa unaharibu 🤣🤣🤣🤣
Wenzio hawataji hotel moja kwa moja wanaanza na “Mchumba tunaweza kupata dinner Rotana, ule upande wao wa restaurant wana misosi mizuri sana.” Halafu unasikilizia mtoto anasemaje!!
Ww hiyo moja kwa moja hotel mrembo atawaza mashuka na vitanda 🤣🤣🤣🤣
Haji ng’ooo
Kwani mimi kakako nikikuita na kukuweka chini kuwa kuna mwamba amenituma si utanisikiliza rafiki?
Share location ya bar uliyopo nije nikuoneshe mambo makuu usiyoyajua
Yani wifi acha tyuuu!! Kaka kila ninavyomsaidia domo zito afu muoga km kunguru [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nishaona dalili za kukosa kuitwa aunt mimi!!
Kaka mzito kila nikimpigia pasi afunge anabutua mpira juu [emoji23][emoji23][emoji23]
Uwe una update mitongozo app upate new version boya wee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mama yangu! Kumbe swaga zimekua updated ngoja nijaribu kuaply
Mambo si hayo…!! Uwe unachangamka bana ila ulivyoiomba sasa unaharibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wenzio hawataji hotel moja kwa moja wanaanza na “Mchumba tunaweza kupata dinner Rotana, ule upande wao wa restaurant wana misosi mizuri sana.” Halafu unasikilizia mtoto anasemaje!!
Ww hiyo moja kwa moja hotel mrembo atawaza mashuka na vitanda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haji ng’ooo
Huu natwanga maji kwenye kinu, muoga mno.Kashasema lakini ana jambo lake. Kwanza utamuharibia siku akitangaza nia kwenye jambo lake aonekane hayuko serious
Hajui kabisa kuhamasisha itakuwa kazoea sana wa kimboka 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora umemfundisha. Yani tukutane chumbani akikutana na kitu asichokitaka je? Aje aseme nilikula basi tu kufidia gharama zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upo?Heeeeh.. kweli vichekesho [emoji23][emoji23].
Unaposema kimbelembele unamaanisha nini