Sidhani kama matangazo yana impact yoyote. Wazee wa underground wanakula na kunawa mdomo kimya kimyaπ€£π€£Kweli Vijana wameamua π€
Wazee tujiandae kuvaa Kanzu kwenda kula biriyani la harusi yenu tu π
Kwani hakuna kijana humu anayeweza kumpenda mzigua na kumfungulia uziNAKAZIA
kaswitch account
Na Vijana wanakulana sana humuSidhani kama matangazo yana impact yoyote. Wazee wa underground wanakula na kunawa mdomo kimya kimyaπ€£π€£
Kumbe unafanyaga kimya kimya siku zote unatufichaSidhani kama matangazo yana impact yoyote. Wazee wa underground wanakula na kunawa mdomo kimya kimyaπ€£π€£
Itakuwa eeh mkuu!?π€£Na Vijana wanakulana sana humu
Nilipokuwa kijana, saivi nishazeeka nayaweza wapi haya mambo!Kumbe unafanyaga kimya kimya siku zote unatuficha
Huyu uandishi wake tu unaonyesha anajitekenya halafu anacheka mwenyeweKwani hakuna kijana humu anayeweza kumpenda mzigua na kumfungulia uzi
Hadi muamini ameswitch account
Nyie wazee wa siku hizi mpo speed sanaNilipokuwa kijana, saivi nishazeeka nayaweza wapi haya mambo!
Nitakuwa na ku quote halafu uwe unaunga dots πππItakuwa eeh mkuu!?π€£
Mabinti wa 2000 wanaongezeka kama vifaranga halafu Vijana wa kiume hawana maajabu msosi ni Eneji na Chipsi yai. Wacha Wazee waliokulia vijijini waje speed tuNyie wazee wa siku hizi mpo speed sana
Na hivi kuna option ya kuswitch account siku hizi, ngoja nichonge account ya kutongozea watoto wa 2000π€ͺNAKAZIA
kaswitch account
Acha uhuni wewe mzee π€£π€£π€£Na hivi kuna option ya kuswitch account siku hizi, ngoja nichonge account ya kutongozea watoto wa 2000π€ͺ
Hahaha.............halafu wakija kwenye Uzi husika Wana like na kuendelea kusoma comments π πSidhani kama matangazo yana impact yoyote. Wazee wa underground wanakula na kunawa mdomo kimya kimyaπ€£π€£