Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wazee tumekula chumvi mkuu, tuna uwezo wa kusoma na kupigia mstari....kimya kimya ina raha yake, umchape Demi then unasoma tu comments zake kimyakimya, halafu yeye anakuignore kiaina, huoni raha hiyo🤣🤣Hahaha.............halafu wakija kwenye Uzi husika Wana like na kuendelea kusoma comments 😅🙌
Unataka tukose vyote mama!?Nyie wazee wa siku hizi mpo speed sana
Vijana mmekuwa wanyimi, mnataka vyote mle nyie, watoto wa 2000 na mashangazi, tumewashtukia😎Acha uhuni wewe mzee 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Daah!
Endelea na issue nyingine ndugu yangu, utachanganyikiwa na wengi.
Taratibu mkuuUnataka tukose vyote mama!?
TunabonyezaKupata Vichekesho hivi tunaponyeza namba ngapi
Kimyakimya mkuu, na comments zako zote nakuwa nazisoma, manake ukilianzisha na mwingine nitajua tu, kwa jicho la mwewe🤣🤣Yeah kimya kimya ndo mpango😅
shibe ya mapilau hii vidole havina utulivu[emoji23][emoji23]Tunabonyeza
Ukikumbuka vile alivyokuwa ana kumegea uno la uzazi Kwa bed lazima umind kiainaSisi wazee tumekula chumvi mkuu, tuna uwezo wa kusoma na kupigia mstari....kimya kimya ina raha yake, umchape Demi then unasoma tu comments zake kimyakimya, halafu yeye anakuignore kiaina, huoni raha hiyo🤣🤣
Sawa mkuu, nisijefia kwa kinena!Taratibu mkuu