Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 775
- 1,150
Jamani huu Upweke unataka kuwa ugonjwa wa hatari kuliko hata Corona, dengue, ukimwi nk
Tujaribu kuangalia namna ya kuukabili,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani huu Upweke unataka kuwa ugonjwa wa hatari kuliko hata Corona, dengue, ukimwi nk
Tujaribu kuangalia namna ya kuukabili,
😂Nilikwambia ukajifanya unaona aibu wenzio wanambeba 😂😂😂😂
Kula maisha mzeee hujui uendako usikimbilie kifo, watoto wazur wanazaliwa kila siku na wengi beki hazikabi afu ww unataka kudanja?nimeghaili kufa... maisha matamu... but my friend stress is really a bad thing 😭😭😭.... nawashukuru sana wana JAMIIFORUMS walinipa mawazo na wengine walinipigia simu... wengine walinitafuta physically tukaongea...
jf ni jungu kuu lisilo isha ukoko...!
Manyanza dah mbona ume maliza maneno🤓😂Never ever dishi liliyoyumba lile aiseee hata kama atatanua for free sina kabisa hata hisia zake. Nilikuwa namshauri tu na kumbe hata muelekeo wenyewe hana
Aisee ndo maana wazee mna ongozwa kwenye list😆Sidhani kama matangazo yana impact yoyote. Wazee wa underground wanakula na kunawa mdomo kimya kimya🤣🤣
Siku shauri😆, Zulu man ambia kijana ukweli😂One day yes. Namm nitaConfess kwa Crush wangu
Zee Simba la mazee😆😂, kumbe competition ni kubwa Humu🤣Ukikumbuka vile alivyokuwa ana kumegea uno la uzazi Kwa bed lazima umind kiaina
Na kama alikuwa na kile kisauti cha kulilia, hapo lazima mwenye Mali ujitokeze ku-clear the air
Wazee tunapata shida Mkuu 😜
Ndo hao Breki bumpu tu au sio 🤓Kula maisha mzeee hujui uendako usikimbilie kifo, watoto wazur wanazaliwa kila siku na wengi beki hazikabi afu ww unataka kudanja?
Kuna list mkuu?🤪Aisee ndo maana wazee mna ongozwa kwenye list😆
Tufurahie Eid mzee😆, binafsi arsenal kadrooKuna list mkuu?🤪
Kula maisha mzeee hujui uendako usikimbilie kifo, watoto wazur wanazaliwa kila siku na wengi beki hazikabi afu ww unataka kudanja?
We all have problems lakini tumeamua ku stay wisely huku maumivu yapo moyoni. Hakuna Mtu asiye na furaha asilimia zote Mkuu. Enjoy tu haya maisha as long as ni mzima mengine ni majaliwa ya Allahyap... I'm in recovery mode... kipindi kile nilikuwa kwenye flight mode ✈️ au offline mode 🤣🤣🤣
We all have problems lakini tumeamua ku stay wisely huku maumivu yapo moyoni. Hakuna Mtu asiye na furaha asilimia zote Mkuu. Enjoy tu haya maisha as long as ni mzima mengine ni majaliwa ya Allah
Kawaida hiyo Mkuu kila siku huwa na mambo yake usiiwazie sana kesho wakati leo haujamalizakweli kabisa but... bahati mbaya kwa wengine hatuna wa kutusaidia kabisa yani ukikwama ndio kabisaaa...!