Sio siri huyu Mzigua90 ananichanganya sana

Sio siri huyu Mzigua90 ananichanganya sana

nimeghaili kufa... maisha matamu... but my friend stress is really a bad thing 😭😭😭.... nawashukuru sana wana JAMIIFORUMS walinipa mawazo na wengine walinipigia simu... wengine walinitafuta physically tukaongea...

jf ni jungu kuu lisilo isha ukoko...!
Kula maisha mzeee hujui uendako usikimbilie kifo, watoto wazur wanazaliwa kila siku na wengi beki hazikabi afu ww unataka kudanja?
 
yap... I'm in recovery mode... kipindi kile nilikuwa kwenye flight mode ✈️ au offline mode 🤣🤣🤣​
We all have problems lakini tumeamua ku stay wisely huku maumivu yapo moyoni. Hakuna Mtu asiye na furaha asilimia zote Mkuu. Enjoy tu haya maisha as long as ni mzima mengine ni majaliwa ya Allah
 
We all have problems lakini tumeamua ku stay wisely huku maumivu yapo moyoni. Hakuna Mtu asiye na furaha asilimia zote Mkuu. Enjoy tu haya maisha as long as ni mzima mengine ni majaliwa ya Allah
kweli kabisa but... bahati mbaya kwa wengine hatuna wa kutusaidia kabisa yani ukikwama ndio kabisaaa...!​
 
IMG-20240410-WA0005.jpg
 
Back
Top Bottom