Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Alrighty then…..somebody shooting their shot at 7 Thee Goddis….
Kapaisha juu kama penalty ya Dodoma Jiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alrighty then…..somebody shooting their shot at 7 Thee Goddis….
Dish lime rotate 😅😅😅Never ever dishi liliyoyumba lile aiseee hata kama atatanua for free sina kabisa hata hisia zake. Nilikuwa namshauri tu na kumbe hata muelekeo wenyewe hana
Kanaonekana kazuri zuri.Komaa.
Ndio tukuulize wewe sasa 😆Ili iweje sasa??
Jaribu uone kama huuzi mashamba kijijini mkuu.
Ilikuwa tunachangamsha kijiwe tuZee Simba la mazee😆😂, kumbe competition ni kubwa Humu🤣
Haya mzigua90 gonga futa hilo limejilta wenyewe
Mzigua90 kapotea sana labda majukumu ya ndoa yanamzidia[emoji1787]
Hawajui inatakiwa Vijana wanaokuja na mihemko wawe na hekaheka za Mtu humu jukwaani. Wewe ni Shangazi kabisa sema huyu Vichekesho kukurupuka tu.
Huyo ni chombo ya fundi ……[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kijana huyo ni shangazi yako
we Ume toa hints ya mafioe ya wazee, ngoja waje wazame site kutafuta nakala halisi😂Ilikuwa tunachangamsha kijiwe tu
Wazee wote humu hatuna mambo hayo 🤗
Kaka yangu karemba hadi wenzie wamewahi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anaiomba live ili ukimshushua asaidike kubembelezewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na kwann anaiomba sikukuu, huyu bahili wa kununua abaya
Ndio tukuulize wewe sasa [emoji38]
At their own risk 😅we Ume toa hints ya mafioe ya wazee, ngoja waje wazame site kutafuta nakala halisi😂