X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
una mwita wa nini sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una mwita wa nini sasa
Hahahaha mkuu wewe sasa ndio una akili, unatembelea zile kumbukumbu tu, ukisoma makomenti yake wewe unasmile tu!🤣Ukikumbuka vile alivyokuwa ana kumegea uno la uzazi Kwa bed lazima umind kiaina
Na kama alikuwa na kile kisauti cha kulilia, hapo lazima mwenye Mali ujitokeze ku-clear the air
Wazee tunapata shida Mkuu 😜
Eid Mubarak Ndugu yangu...Daah!
Endelea na issue nyingine ndugu yangu, utachanganyikiwa na wengi.
Hatari Mzee mwenzangu 🤗Hahahaha mkuu wewe sasa ndio una akili, unatembelea zile kumbukumbu tu, ukisoma makomenti yake wewe unasmile tu!🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣umenichekesha sana mzee mwenzangu(mzee wa mchongo)Hatari Mzee mwenzangu 🤗
Nakumbuka mwaka 47, unapokuwa umekaribia mlango wa nyumbani kwako baada ya kutoka Kazini, lazima ujiimbishe nyimbo za akina Mbaraka Mwinshehe ili kama kuna mtu alikuwa anakusaidia majukumu Kwa Mama Chanja basi apate upenyo wa kukimbia 😜
Jaribu uone kama huuzi mashamba kijijini mkuu.Huu utakuwa mkwala huu
Ha haaa basi ukiwa na mimi utapata shida maana naweza taniana na mtu ukadhani tunakulana kumbe hamna chochoteKimyakimya mkuu, na comments zako zote nakuwa nazisoma, manake ukilianzisha na mwingine nitajua tu, kwa jicho la mwewe🤣🤣
Kwamba ukitaniana kawaida nitajua, ukikianzisha nitajua tu kuwa kina kitu, mapenzi hayajifichi hata kidogo. Hapo ni concentration tu inahitajika.Ha haaa basi ukiwa na mimi utapata shida maana naweza taniana na mtu ukadhani tunakulana kumbe hamna chochote
Unasema.....☹️☹️Ww umepona si juzi tu ulikuwa unatupa ndoano kwa da Mau au unafikiri tumesahau 😂😂😂😂
Haya mzigua90 gonga futa hilo limejilta wenyeweMimi ni mgeni humu, sijajua kama inaruhusiwa kutongoza ila kiukweli mimi huyu Mzigua90 ananichanganya sana. Najikuta natumia muda mwingi kumuwaza.
Hakyanani tena.
Ninae kualana nae hata siku moja simtanii ujinga. Hata kujibu comment yake ni kwa nadra sana.Kwamba ukitaniana kawaida nitajua, ukikianzisha nitajua tu kuwa kina kitu, mapenzi hayajifichi hata kidogo. Hapo ni concentration tu inahitajika.
Vijana wa sasa wanaiba hadi wanakutwa na mchuzi 😅🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣umenichekesha sana mzee mwenzangu(mzee wa mchongo)
Zile zilikuwa zama za kale zama zeru, siku hizi wanafumania, hawa vijana wa hovyo kabisa.
Alimtaka mwajey wako huyo babu 😂😂😂Unasema.....☹️☹️
Akija yy anaelewauna mwita wa nini sasa
ANayetaka kujiua huwa hatangazi!Akija yy anaelewa
Nje ya mada, hv ile plan yako ya kutaka kujiua iliishia wapi?
Akija yy anaelewa
Nje ya mada, hv ile plan yako ya kutaka kujiua iliishia wapi?
Ahahahaaaa nicheke kidogo,wanasheria jinsia ke mnatuhumiwa huku.Wewe pia nilikupenda ila avatar yako inaonesha hauko romantic, uko kama mwanasheria vile.