Sio siri tena, Gamondi ameshafukuzwa sijui Yanga wanaficha nini?

Sio siri tena, Gamondi ameshafukuzwa sijui Yanga wanaficha nini?

20241115_105012.jpg
 
Kutoka vyanzo vya ndani kabisa vya waliopo Yanga, Gamondi ameshapewa mkono wa kwaheri.

Sijui kwanini Yanga hawataki kutangaza?
Unampaje mkono wa kwa heri na bado akaendelea kukinoa kikosi chako? Hersi hawezi kuwa failure wa kiasi hicho kwenye maswala ya management. Gamondi mwenyewe atakuwa mjinga wa kutupwa
 
Unampaje mkono wa kwa heri na bado akaendelea kukinoa kikosi chako? Hersi hawezi kuwa failure wa kiasi hicho kwenye maswala ya management. Gamondi mwenyewe atakuwa mjinga wa kutupwa
Wenye akili huko utopwinyo ni wawili tu
 
Back
Top Bottom