Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Gamondi zee la kutabasamu.
Unaonekana wapi?Duuh ila mchango wake unaonekana
Stori ni TETESI, swali unalojiuliza siyo TETESI, WHEA ENDE WHEA..!!???Kutoka vyanzo vya ndani kabisa vya waliopo Yanga, Gamondi ameshapewa mkono wa kwaheri.
Sijui kwanini Yanga hawataki kutangaza?
Unampaje mkono wa kwa heri na bado akaendelea kukinoa kikosi chako? Hersi hawezi kuwa failure wa kiasi hicho kwenye maswala ya management. Gamondi mwenyewe atakuwa mjinga wa kutupwaKutoka vyanzo vya ndani kabisa vya waliopo Yanga, Gamondi ameshapewa mkono wa kwaheri.
Sijui kwanini Yanga hawataki kutangaza?
Atabisha na kusema atapandikiziwa mbegu na kupata mtoto.Mficha uchi hazai
Wenye akili huko utopwinyo ni wawili tuUnampaje mkono wa kwa heri na bado akaendelea kukinoa kikosi chako? Hersi hawezi kuwa failure wa kiasi hicho kwenye maswala ya management. Gamondi mwenyewe atakuwa mjinga wa kutupwa
Atapandikiziwa kupitia nini kama siyo uchi!?..kama ndivyo,bado atakua mficha uchi!?Atabisha na kusema atapandikiziwa mbegu na kupata mtoto.