unashangaa watu kuficha mambo yao wewe umeficha ID...kweli vichwa vingine ni mzigo kwa shingoKutoka vyanzo vya ndani kabisa vya waliopo Yanga, Gamondi ameshapewa mkono wa kwaheri.
Sijui kwanini Yanga hawataki kutangaza?
Ila kwa upande mwingine wapo sahihi, Gamondi anatabia ya jeuri na dharau na misimamo ya ovyo. Hakuna kitu huwa sikipendi kama kumpanga Azizi Ki anayeruka ruka uwanja hana faida yoyote zaidi ya kupoteza mipira huku mpambanaji Pacome akiwa benchi. Sijui anakomaa na mtu wakati kila mtu kaona ka floppy msimu huu.Akina injinia wanatafuta kichaka? Gamond amewakosea nini? Au upigaji as well?
Kutoka chanzo changu cha karibu, ambacho kiko karibu kabisa na Uongozi wa Yanga, nawataarifu kuwa Master Gamond ataongezewa mkataba wa mwaka mmoja. Ni muda wowote ndani ya mwezi huu.Kutoka vyanzo vya ndani kabisa vya waliopo Yanga, Gamondi ameshapewa mkono wa kwaheri.
Sijui kwanini Yanga hawataki kutangaza?
π€ͺUnampaje mkono wa kwa heri na bado akaendelea kukinoa kikosi chako? Hersi hawezi kuwa failure wa kiasi hicho kwenye maswala ya management. Gamondi mwenyewe atakuwa mjinga wa kutupwa
Siyo kweli hΓ kuna asiyefichΓ uchi na bado Wanazaa. Wewe mwenyewe uchi wako unaticha hatuuoni.Mficha uchi hazai
Kama ni kweli wamezingua yaani kufungwa mara mbili imefuta kila kizuri kilichofanywa na Gamondi, mpira wa bongo wa kipuuzi kabisa umejaa hisia na mihemko mingi.
Mi ndio maana nawashangaa sana wanaompa credit Eng. Hersi kuwa ni kiongozi mahiri wakati kwenye administration yake tunaona kuna loopholes nyingi zinazo reveal kuwa he's not good enough to fit.Akina injinia wanatafuta kichaka? Gamond amewakosea nini? Au upigaji as well?
Mkuu, Hili igizo halijaisha tu?
Nyie bakini na Mangungu wenu huko shirikisho, Hersi achaneni naye kabisa πππ Huo mvurugano uliopo Yanga umeuleta wewe au waandishi mataahira wenzenu kina shaffih dauda π mnahangaika sana kuforce kuilegeza Yanga kwa propaganda uchwara!Mi ndio maana nawashangaa sana wanaompa credit Eng. Hersi kuwa ni kiongozi mahiri wakati kwenye administration yake tunaona kuna loopholes nyingi zinazo reveal kuwa he's not good enough to fit.
Lundo la cases za madai kutoka FIFA ambazo 90% zimetokana na kuwavunjia wachezaji mikataba kiholela pasipo kuwalipa stahiki zao.
Tena mostly ya hao wachezaji zilikuwa ni zile sajili za mihemko zenye shabaha moja tu ya kumkomoa mtani wake.
Kupoteza mechi mbili mfululizo tayari uongozi ume lose focus kila mtu kapagawa hakuna anayeamini kuwa wachezaji sio sehemu inayopaswa kuwajibishwa au kulaumiwa kufuatia kupoteza hizo mechi.
Badala yake wamefanya diagnosis wakaona tatizo ni uwanja, lakini wakamjumuisha na kocha kuwa yeye pia naye ni sehemu ya tatizo ya kufungwa mechi mbili.
Sasa angalia inavyoenda kuwa....miezi mitano iliyopita Hersi alinukuliwa kuwa wanamuongezea mkataba kocha wenye maslahi yaliyoboreshwa ili kumfanya azidi kusalia hapo Jangwani.
View attachment 3152818
Maana yake kama hii tetesi ni ya kweli, Yanga watalazimika kutoa pesa nyingi ili kuvunja mkataba na wakati huo huo ukumbuke Victor Osimhen tayari kashinda kesi na hukumu imetolewa kuwa Club haitoruhusiwa kufanya usajili mpaka bwana Osimhen alipwe.