Sio siri tena, Gamondi ameshafukuzwa sijui Yanga wanaficha nini?

Sawa
 
Unampaje mkono wa kwa heri na bado akaendelea kukinoa kikosi chako? Hersi hawezi kuwa failure wa kiasi hicho kwenye maswala ya management. Gamondi mwenyewe atakuwa mjinga wa kutupwa
Utopolo tayali wametoa taarifa rasmi huko haya kiko wapi sasa πŸ˜€πŸ˜€
 
Em rudia maneno yako Tena.
Kiko wapi???
Unampaje mkono wa kwa heri na bado akaendelea kukinoa kikosi chako? Hersi hawezi kuwa failure wa kiasi hicho kwenye maswala ya management. Gamondi mwenyewe atakuwa mjinga wa kutupwa
 
TAARIFA KWA UMMA
Jamqn nche ya topic mwaka juz sijui kuna mwamba alikua a anzisha threads za simba ikicheza alikuwa anawezea hadi raha anatupa updates sijui alikua nani je yupo wapi siku hz jaman muombeni hata sku moja alete zile taarifa zake miaka kama 4 hv ameacha baada ya simba kua haielewwki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…