Sio ustaarabu, heshima wala uungwana kufanya mapenzi ofisini au ndani ya gari

Sio ustaarabu, heshima wala uungwana kufanya mapenzi ofisini au ndani ya gari

nyie wafia dini mnatabu sana aliekuambia kuna laana ni nani..? hivi hilo si ndo tendo mliloambiwa mfanye muujaze ulimwengu!!. double standard zimewajaa tu!.
nyie ndo mnatukana alivyoviumba mungu wenu,we kama unamikosi yako komaa nayo, sidhani kama kuna umaana wowote kuhusisha hili tendo na laana we sema tu watu wawe na ustaarabu.
 
Ni kukaribisha laana na mikosi kwenye gari, bajaji au ofisi yako au ya mwenzako..

Acha kabisaa tabia hiyo chafu, ingawa wewe unaona tamu. Gari au bajaji yenyewe umeazima na hiyo ofisi umaajiriwa tu, usikaribishe na kupakaza mikosi kwenye ofisi na gari ya watu tafadhali muungwana.

Ni vizuri kutafuta muda na mahali tulivu pa kushiriki faragha hiyo muhimu na ya heshima sana miongni mwa mahitaji mahususi sana ya kibinadamu kibayolojia kwa uhuru na amani.

Hicho ni kitulizo murua muafaka cha moyo na akili, mnakunjanaje ofisini au kwenye gari chap chap, haraka haraka kama kuku lakini?

Hii aibu na fedheha ya kukuta chupa za vilevi, vipisi vya sigara na baadhi ya nguo za ndani zilizozagaa pasipostahili ofisini, kwenye bajaji au ndani ya gari ni dharau gani lakini?

Ni muhimu sana tukalipa heshima na thamani inayostahili tendo hili la pekee na muhimu sana la faragha kulingana na utamu wake jamani.

Tuepuke kulifanya kimasihara..
Asanti 🐒
Mheshimiwa uko wapi......🫦
 
Punguzeni kuwaza ngono, asbh yoooote hiii badala ulete vitu vyenye mantiki tayari unawaza uzinzi uzinzi tuuuuu. Waafrika kuna pahala fyuzi zimepelea!
actually,
maandiko kama haya Lazima yaambatane na ghadhabu na mihemko kwa wenye tatizo la upungufu wa nguvu za kijinsia...

kwasababu hakuko sawa wewe, unadhani na wengine wanapitia changamoto hiyo,

hata hivyo tatizo hilo linatibika na kupona kabisa na kurejesha uwezo wako wa kufanya na kuwaza mambo ya ngono kwa zaidi ya 90% kila siku kutoka 20% ulizonazo sasa kama marijali wengine 🐒

usife moyo muungwana 🐒
 
hapa nahisi unataka kuniaminisha ngono kwa njia yoyote ile, sehemu yoyote ile ni laana sasa
No,
sehemu nyingine sijui na sifahamu, ispokua nilizozibainisha kwenye hoja pekee, kwamba mnaweza mkafanya ngono nyie na mkatoka salama ila wengine wakachota mabalaa na mikosi kwa uchafu mlofanya nyie pasipostahili kwa kukalia na kujipaka najisi mlizomwaga kwa makusudi au bahati mbaya mahali pale 🐒
 
No,
sehemu nyingine sijui na sifahamu, ispokua nilizozibainisha kwenye hoja pekee, kwamba mnaweza mkafanya ngono nyie na mkatoka salama ila wengine wakachota mabalaa na mikosi kwa uchafu mlofanya nyie pasipostahili kwa kukalia na kujipaka najisi mlizomwaga kwa makusudi au bahati mbaya mahali pale 🐒
Hili tendo halihitaji mipango na kujiandaa kama unakwenda vitani popote ni kambi tu ,ndio maana vijana mnaowaita wahuni wanachapia sana ndoa za watu.
 
Tendo la ndoa ni tukio la kiroho japo linafanyika kimwili, hivyo hata matokeo yake huanzia rohoni kabla ya kudhihirika mwilini.

Kuna baadhi ukizini nao matokeo yake hudhihirika mapema na wengine huchelewa kutegemeana na kiwango cha nguvu hasi za kiroho alichonacho mhusika.
nguvu ya najisi inayomwagika ofisini ama kwenye gari kwakato wa tendo kwa kujua au kutokujua inaweza kua laana na mikosi kwa atakae jipaka au kugusa kwa kujua ama kutokujua 🐒

hujawahi kuskia,
mathalani mnasafiri kisha usafiri ukapata hitilifu mwanzoni kabisa mwa safari, wajuvi wa mambo huanza kuguna kwa kusema yawezekana au huenda miongoni mwa wasafiri kuna mtu ametoka kujamiiana na hajaoga ?🐒

kwamba huyo ndie tatizo?
 
Hili tendo halihitaji mipango na kujiandaa kama unakwenda vitani popote ni kambi tu ,ndio maana vijana mnaowaita wahuni wanachapia sana ndoa za watu.
nadhani unashuhudia mwenyewe laana ya mahangaiko katika kutafuta mafanikio inavyowatafuna hivi sasa,

ule uchafu au najisi inakufanya uvae sura ya mkosi kila mahali unakataliwa mathalani katika kazi, biashara n.k🐒
 
Ni kukaribisha laana na mikosi kwenye gari, bajaji au ofisi yako au ya mwenzako..

Acha kabisaa tabia hiyo chafu, ingawa wewe unaona tamu. Gari au bajaji yenyewe umeazima na hiyo ofisi umaajiriwa tu, usikaribishe na kupakaza mikosi kwenye ofisi na gari ya watu tafadhali muungwana.

Ni vizuri kutafuta muda na mahali tulivu pa kushiriki faragha hiyo muhimu na ya heshima sana miongni mwa mahitaji mahususi sana ya kibinadamu kibayolojia kwa uhuru na amani.

Hicho ni kitulizo murua muafaka cha moyo na akili, mnakunjanaje ofisini au kwenye gari chap chap, haraka haraka kama kuku lakini?

Hii aibu na fedheha ya kukuta chupa za vilevi, vipisi vya sigara na baadhi ya nguo za ndani zilizozagaa pasipostahili ofisini, kwenye bajaji au ndani ya gari ni dharau gani lakini?

Ni muhimu sana tukalipa heshima na thamani inayostahili tendo hili la pekee na muhimu sana la faragha kulingana na utamu wake jamani.

Tuepuke kulifanya kimasihara..
Asanti 🐒
Mapenzi hayana heshima mkuu angalia maraisi aananyonyana ndim na mkewe huoo nje mbele ya halaiki
 
Back
Top Bottom