Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni muhimu sana tendo lile la maana sana la faragha, tukalipatia heshima, hadhi na thamani kulingana na utamu wake, kwenye kutuliza mwili, akili na mioyo yetu, kwa kulipatia nafasi na uhuru unaostahili 🐒Sijawahi kufanya ngono kwa gari wala bajaji lakini nauliza kwenye nyumba tunakofanyia hiyo lasna haiji? Au ni maalum kwa ofisi na chombo cha usafiri?
Haya ndii maneno.ni muhimu sana tendo lile la maana sana la faragha, tukalipatia heshima, hadhi na thamani kulingana na utamu wake, kwenye kutuliza mwili, akili na mioyo yetu, kwa kulipatia nafasi na uhuru unaostahili 🐒
Kisayansi, binadamu tupo kundi moja na ng'ombe. Mamalia..!!Umekuwa mnyama
Sokwe familyKisayansi, binadamu tupo kundi moja na ng'ombe. Mamalia..!!
Afu huyu bongodili tele anashangaa kama sisi ni wanyama..!! Kuna mnyama mwenzetu paka, kwa mauno huyo hajambo. Tuna kicheche sijui nyegele ananyandua hadi mashimo ya ardhini.Sokwe family
Hata kijiwe ni ofisihuna ofisi au gari ee🐒
Imani ya CHAMA hairuhusu hayo mambo kufanyika sehemu zisizosahihiHuko ulaya nasikia watu Wana gegedana sehemu yoyote ile wanayoona inafaa, ata mbele za watu ni fresh sana
Tusipangiane mkuuNi kukaribisha laana na mikosi kwenye gari, bajaji au ofisi yako au ya mwenzako..
Acha kabisaa tabia hiyo chafu, ingawa wewe unaona tamu. Gari au bajaji yenyewe umeazima na hiyo ofisi umaajiriwa tu, usikaribishe na kupakaza mikosi kwenye ofisi na gari ya watu tafadhali muungwana.
Ni vizuri kutafuta muda na mahali tulivu pa kushiriki faragha hiyo muhimu na ya heshima sana miongni mwa mahitaji mahususi sana ya kibinadamu kibayolojia kwa uhuru na amani.
Hicho ni kitulizo murua muafaka cha moyo na akili, mnakunjanaje ofisini au kwenye gari chap chap, haraka haraka kama kuku lakini?
Hii aibu na fedheha ya kukuta chupa za vilevi, vipisi vya sigara na baadhi ya nguo za ndani zilizozagaa pasipostahili ofisini, kwenye bajaji au ndani ya gari ni dharau gani lakini?
Ni muhimu sana tukalipa heshima na thamani inayostahili tendo hili la pekee na muhimu sana la faragha kulingana na utamu wake jamani.
Tuepuke kulifanya kimasihara..
Asanti 🐒
siwez kujivunga wala kuzuia ujana wangu kuutumia uzeeni,Mbunge haya ndio mambo utayajadili bungeni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi ni mwendo wa kujivutavuta tu maofisini ili wafanyakazi watoke baada ya muda kuisha,kinachofuata mtu anaonamishwa au anakalishwa meaning,anapigwa bao moja... huyo anasepa kuipeleka kwa mumewe wa ndoa.
Mama alisisitiza kuwe na siri za ofisini,hatakama hawara kaja.
zingatia zaidi maeneo yaliyobaishwa kwa uchache kwenye hoja ya msingi,Sisi wa kichakani na kwenye majumba mabovu au yasioisha, hii haituhusuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]