Sio ustaarabu, heshima wala uungwana kufanya mapenzi ofisini au ndani ya gari

Sio ustaarabu, heshima wala uungwana kufanya mapenzi ofisini au ndani ya gari

nadhani unashuhudia mwenyewe laana ya mahangaiko katika kutafuta mafanikio inavyowatafuna hivi sasa,

ule uchafu au najisi inakufanya uvae sura ya mkosi kila mahali unakataliwa mathalani katika kazi, biashara n.k🐒
Sio kwel mafanikio hayana mahusiano na ngono ,hizi ni imani tu.
 
Unazijua ny€ge ww...au unaongea...watu wanafanya chooni sembuse hizo sehem...
chooni kule ambako ndio kambi ya uchafu,laana na mapooza?🤣

kule ambako yanapatikana majini mahaba kama yote?

actually wengi wenye mapepo ya ngono wameyapatia chooni aidha wakati wa kujamiiana huko au kwa kuchezea nyeti zao chooni, then majini yakavutiwa na mishedede au mbususu za wahusika, na leo hii ni watumwa wa nyeto na kusagana hawawezi tena wala kutaka kuacha nyeto na kusagana coz kuna mapepo na majini ndani yao yanayo wahamasisha hali hiyo mara kwa mara 🐒
 
Sio kwel mafanikio hayana mahusiano na ngono ,hizi ni imani tu.
amini usiamini, wapiga nyeto, wasagaji, wafanya ngono kwenye magari na ofisini wana mahangaiko ya kutia huruma kwenye maisha yao..

wanapitia fedheha binafsi kwa maumivu makali sana, na hawezi kumuhadithia mtu kwasabb ni aibu 🐒
 
amini usiamini, wapiga nyeto, wasagaji, wafanya ngono kwenye magari na ofisini wana mahangaiko ya kutia huruma kwenye maisha yao..

wanapitia fedheha binafsi kwa maumivu makali sana, na hawezi kumuhadithia mtu kwasabb ni aibu 🐒
Havina uthibitisho wowote hii nchi sababu ya umaskini ni viongozi wasio kua na maono zaidi ya matumbo yao makubwa kama viroba
 
No,
sehemu nyingine sijui na sifahamu, ispokua nilizozibainisha kwenye hoja pekee, kwamba mnaweza mkafanya ngono nyie na mkatoka salama ila wengine wakachota mabalaa na mikosi kwa uchafu mlofanya nyie pasipostahili kwa kukalia na kujipaka najisi mlizomwaga kwa makusudi au bahati mbaya mahali pale 🐒
Kukalia na kujipaka najisi ni kwa hizo ulizotaja? Vipi mahotelini? Kwenye vyumba na vitanda vya melini? Sehemu ni nyingi tuu.. na huo ni mtazamo wako ambao hauna uthibitisho
 
Havina uthibitisho wowote hii nchi sababu ya umaskini ni viongozi wasio kua na maono zaidi ya matumbo yao makubwa kama viroba
uthibitisho ni maisha ya mahangaiko na mateso huku walio jiepusha na uchafu huo wakitusua maisha kiulaini huku wengine wakijiuliza mimi nakosea wapi?

kumbe jamaa kasahau uchafu na laana anazofanya au kuchota kwenye magari na maofisi ya watu walipokua wakifanya ngono kitambo 🐒
 
uthibitisho ni maisha ya mahangaiko na mateso huku walio jiepusha na uchafu huo wakitusua maisha kiulaini huku wengine wakijiuliza mimi nakosea wapi?

kumbe jamaa kasahau uchafu na laana anazofanya au kuchota kwenye magari na maofisi ya watu walipokua wakifanya ngono kitambo 🐒
Nikikuambia sio kweli nina maanisha mkuu ,Africa kuna viji mambo vya ajabu sana tunavyojishikiza navyo ,ukija kwenye nchi za wenzetu unaona mambo ni tofauti sana, nakuambia sio kweli naweza piga ngono kwenye gari akaja akazaliwa kiongozi mwenye maono kuliko nyie wa ndio mzee.
 
Kukalia na kujipaka najisi ni kwa hizo ulizotaja? Vipi mahotelini? Kwenye vyumba na vitanda vya melini? Sehemu ni nyingi tuu.. na huo ni mtazamo wako ambao hauna uthibitisho
zingatia hoja,
kwenye gari ofisini au kwenye bajaji unaweza kukuta packeti za kondomu? au unaweza kufanya ngono kisha kondomu ulotumia ukaiweka kwenye sehemu ya kuwekea uchafu nyuma ya kiti au pembeni ya mlango right?

chupi unaweza ukaivisha kwenye siti ya dereva si ndio?

kwenda kufanya ngono hotelini au mahali pengine mahususi kwa mipango, uhuru na nafasi ni kulipa heshima, hadhi, thamani, umuhimu na maana zaidi kulingana na utamu wake...

hebu soma vizuri hoja uelewa gentleman 🐒
 
Baada ya kutoa kyojo ndo mtu anagundua kumbe yupo kwenye gari/Ofisini. Mwanzoni unaona uko sehem flani hivi private ambayo hata kwa tochi huwezi onekana
Mh! Basi huwa unapoteza kabisa fahamu zote hata hizo kidogo ulizonazo katika kufanya hilo zoezi.

Kumbe ndiyo maana utakuta kwenye umaliziaji, wengine wanafumba macho na kukunja sura, wengine wametoa macho unconrollable, ulimi nje na wanatoa udenda wa kitaahira mdomoni, akili zote kutoa!

Ingawa mapenzi ya rough kwa wengine ni raha, lakini kabla ya tendo lazima utangulize akili mbele.
 
ile laana ya mume ikampata hadi mkewe Hilary Clinton kwenye urais, aise!🐒

nadhani unakumbuka misukosuko aloipata Clinton mwenyewe akiwa ofisini.
gentleman,
huwezi fanikiwa laana ya ngono ikikuingia hata kwa kuambukizwa tu 🐒
 
Nikikuambia sio kweli nina maanisha mkuu ,Africa kuna viji mambo vya ajabu sana tunavyojishikiza navyo ,ukija kwenye nchi za wenzetu unaona mambo ni tofauti sana, nakuambia sio kweli naweza piga ngono kwenye gari akaja akazaliwa kiongozi mwenye maono kuliko nyie wa ndio mzee.
hili jambo sio la Africa gentleman,
ni mustakabali binafsi wa maisha ya mtu moja moja tu na mikosi yake 🐒
 
Mjukuu kabla wazazi wako hawajazaliwa hivi vitu vipo, hivi umewahi sikia skendo ya Ex America President Clinton na Monica Zelewsky?
laana ile ilimpa misukosuko sana mume na ikamuandama pia mkewe Clinton na akakosa uongozi kwa kushindwa na kiongozi dhaifu sana asie aminika mstaafu Rais Donald Trump🐒

laana ya ngono ikikuingia huwezi toboa 🐒
 
zingatia hoja,
kwenye gari ofisini au kwenye bajaji unaweza kukuta packeti za kondomu? au unaweza kufanya ngono kisha kondomu ulotumia ukaiweka kwenye sehemu ya kuwekea uchafu nyuma ya kiti au pembeni ya mlango right?

chupi unaweza ukaivisha kwenye siti ya dereva si ndio?

kwenda kufanya ngono hotelini au mahali pengine mahususi kwa mipango, uhuru na nafasi ni kulipa heshima, hadhi, thamani, umuhimu na maana zaidi kulingana na utamu wake...

hebu soma vizuri hoja uelewa gentleman 🐒
Kila mtu unamuadress gentleman JF kuna jinsia ya KE pia
 
Hebu wacheni hizo mawazo,,,,,wazungu ndio wenye mafanikio zaidi kwa hiii dunia na ndio mambo zao hizo,,,,,😠😠😠
ndio maana vichwa vyao vikichemka anaweza chomoa bastola na kuwachapa risasi wasio na hatia, ni matokeo ya laana ya kufanya ngono kiholela 🐒
 
Kila mtu unamuadress gentleman JF kuna jinsia ya KE pia
pole sana na samahani muungwana, IDs zingine zina majina ya ke kumbe ni me,

imenichanganya kidogo lakini pia saa zingine kughafilika kibinadamu tu 🐒
 
Back
Top Bottom