Sio ustaarabu, heshima wala uungwana kufanya mapenzi ofisini au ndani ya gari

nyie wafia dini mnatabu sana aliekuambia kuna laana ni nani..? hivi hilo si ndo tendo mliloambiwa mfanye muujaze ulimwengu!!. double standard zimewajaa tu!.
nyie ndo mnatukana alivyoviumba mungu wenu,we kama unamikosi yako komaa nayo, sidhani kama kuna umaana wowote kuhusisha hili tendo na laana we sema tu watu wawe na ustaarabu.
 
Mheshimiwa uko wapi......🫦
 
Punguzeni kuwaza ngono, asbh yoooote hiii badala ulete vitu vyenye mantiki tayari unawaza uzinzi uzinzi tuuuuu. Waafrika kuna pahala fyuzi zimepelea!
actually,
maandiko kama haya Lazima yaambatane na ghadhabu na mihemko kwa wenye tatizo la upungufu wa nguvu za kijinsia...

kwasababu hakuko sawa wewe, unadhani na wengine wanapitia changamoto hiyo,

hata hivyo tatizo hilo linatibika na kupona kabisa na kurejesha uwezo wako wa kufanya na kuwaza mambo ya ngono kwa zaidi ya 90% kila siku kutoka 20% ulizonazo sasa kama marijali wengine πŸ’

usife moyo muungwana πŸ’
 
hapa nahisi unataka kuniaminisha ngono kwa njia yoyote ile, sehemu yoyote ile ni laana sasa
No,
sehemu nyingine sijui na sifahamu, ispokua nilizozibainisha kwenye hoja pekee, kwamba mnaweza mkafanya ngono nyie na mkatoka salama ila wengine wakachota mabalaa na mikosi kwa uchafu mlofanya nyie pasipostahili kwa kukalia na kujipaka najisi mlizomwaga kwa makusudi au bahati mbaya mahali pale πŸ’
 
Hili tendo halihitaji mipango na kujiandaa kama unakwenda vitani popote ni kambi tu ,ndio maana vijana mnaowaita wahuni wanachapia sana ndoa za watu.
 
nguvu ya najisi inayomwagika ofisini ama kwenye gari kwakato wa tendo kwa kujua au kutokujua inaweza kua laana na mikosi kwa atakae jipaka au kugusa kwa kujua ama kutokujua πŸ’

hujawahi kuskia,
mathalani mnasafiri kisha usafiri ukapata hitilifu mwanzoni kabisa mwa safari, wajuvi wa mambo huanza kuguna kwa kusema yawezekana au huenda miongoni mwa wasafiri kuna mtu ametoka kujamiiana na hajaoga ?πŸ’

kwamba huyo ndie tatizo?
 
Hili tendo halihitaji mipango na kujiandaa kama unakwenda vitani popote ni kambi tu ,ndio maana vijana mnaowaita wahuni wanachapia sana ndoa za watu.
nadhani unashuhudia mwenyewe laana ya mahangaiko katika kutafuta mafanikio inavyowatafuna hivi sasa,

ule uchafu au najisi inakufanya uvae sura ya mkosi kila mahali unakataliwa mathalani katika kazi, biashara n.kπŸ’
 
Mapenzi hayana heshima mkuu angalia maraisi aananyonyana ndim na mkewe huoo nje mbele ya halaiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…