raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
As i drain tha nigga jugular vein and maintain to leave blood stains so dont complain just chill.........🎤🎤🎤🎤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo nimekutana nazo katika harakati zangu kwenye mitandao 😂Wewe umemaliza la saba 2013,umezijuaje hizi😂😂
FAT JO learn back
Bonus hii,bila ngoma hii huu uzi ni batili
View: https://youtu.be/ajmI1P3r1w4?si=wkngDL-O0-19VRYZ
Malagend tunalijua hili jiwe,henzi hizo club bilicanas hatar sanaNi jiwe zuri ahsante kitambo hiyo..
Watoto watakwambia Card B.Mimi kwa upande wangu Eve E ndo the best rapper wangu wa kike wa wakati wote halafu anafuatiwa mbali na foxy brown na lil kim.
What's all niggas want, let me low your mind, whose that girl....
Enzi hizo ni ruff ryders first lady
The art of story tellingDaaaaaah hii story huwa naipenda saana kuisikiliza
Umewasahau Lost boys na jiwe lao la Renee..Malagend tunalijua hili jiwe,henzi hizo club bilicanas hatar sana