Sio wajibu wako kumbadilisha mwanamke

Sio wajibu wako kumbadilisha mwanamke

Km hapa mkuu nipo ntapigaa nisepee baada ya kufikaa mshindo.

Ila hamna Cha Bure ujue mkuu cku hz imekuwa huduma km kununua luku ya umeme
Muelekeo wa mahusiano yako utatokana na uamuzi wako pale mwanzo kabisa unapochagua mwanamke wa kuwa nae, ukiamua kuwa na parasite woman ujue kuna consequences zake.
 
Always thinking......
Always creating......
Always growing..
Always evolving...
You'r on a mission to master you
Life becomes challenging when you realize it's YOU that's standing in the way of you reaching your HIGHEST SELF.
In the end.... It will always be.!
 
Iwe kiuchumi, kitabia au kimaadili sio wajibu wako kumbadilisha mwanamke, huo ni wajibu wa wazazi wake. Kama unataka mke msomi, mwenye tabia nzuri au anaejiweza kiuchumi, basi tafuta mwanamke ambae tayari wazazi wameshamuwezesha kuwa na ivyo vigezo.

Mwanaume pambana tafuta hela tengeneza furaha yako kwenye mambo mengine, kama unapenda bata na masela kila wikiendi, wekeza furaha yako uko.

Wakati tunaoishi ukileta mapenzi ya Shakur Khan utakufa kwa magonjwa ya moyo, hawa wenzetu hawajui wanataka nini tena.

Kama utaendelea kuona mwanamke ndio furaha yako na ni wajibu wako kumbadilisha au kumuwezesha basi nakuonea huruma sana.

Ana maadili mabovu, ana tabia mbaya achana nae, wewe piga sepa. Hafanyi hayo kwa bahati mbaya, anaelewa na anajua madhara yake.

Hajasoma, yupo broke, wewe piga sepa. Acha kihele hele cha kujifanya shujaa kwenye maisha yake. Mchumba hasomeshwi, mchumba hafunguliwi biashara, it will end in tears my brother.

It always ends unfairly for a nice guy.

I love you, i love my brother.
True comrade
 
usitafute usawa na mwanamke onyesha kua uko juu wewe mlipe muda wake
Does t mean kuonyesha yuko inaenda sambamba na huyo Me, kuona alimpa favor mwanamke kuwa naye
Kuwaelewesha simp ni ngumu sana
Wanawake wengi hatuna faida nao, zaidi ya sense ya huyu ni mwanamke wangu, zaidi hata hyo sio kweli ni vile tu it's your turn ku have hiyo 🐈🐈🐈.

Kile wanachosema eti! Wajibu wa mwanaume sijui kiongozi, awe ana provide blah blah na wao wajibu ni ku support,sijui nini na nini! Hakipo hakuna hata moja wapo Kuishi kimbinu 🤣🤣, inawezekanaje Problem creator akawa ndie mleta amani?

Check ! Bar huko, wamejaa wanaume wengi wanakimbia vita na kelele za home ( Harafu wao wanaona wanaifanya kazi ya mke 🤣).

Unajua wanaume wenye purpose, wanaoshinda challenge zao wenyewe wanawake hujipeleka kwao kirahisi kabisa? Na husikiii hao wanaume wakiimba hizi nyimbo et, mfanyie mwanamke au kile ili akue wako.

Wanawake sio watumwa ni kama Dragons, wanaamua wao where to stay, who to serve and obey na nani wa align naye. If so, Efforts zako ni negligible, haina impact, huwezi ku win moyo wa binadamu anaamua yeye! Ndo maana hata MUNGU mwenyewe anasema andalio la moyo ni la mwanadamu, bali jawabu la Ulimi ni la MUNGU. Jesus was nice, powerful na bado binadamu wakampotezea hata leo wanampinga.

Point to note ni: Huyo mwanamke umekuta alishakuwa na wanaume kadhaaa, na wakamuacha, unadhani hao wote wanaudhaifu wewe ndo Super na unique to keep her?? Try, wew sio wa kwanza ,wala wa mwisho it's just your turn. Wanaishi kwa hisia zao na maamuz yao yapo kwa hisia, siku ikitokea hisia zikisema Ex wake aliyekuw ana mcheat was real man kuliko wewe ,NICE SYNDROME DUDE 🤣 jipange! Muulize Kaka.

Fata purpose yako.
 
Iwe kiuchumi, kitabia au kimaadili sio wajibu wako kumbadilisha mwanamke, huo ni wajibu wa wazazi wake. Kama unataka mke msomi, mwenye tabia nzuri au anaejiweza kiuchumi, basi tafuta mwanamke ambae tayari wazazi wameshamuwezesha kuwa na ivyo vigezo.

Mwanaume pambana tafuta hela tengeneza furaha yako kwenye mambo mengine, kama unapenda bata na masela kila wikiendi, wekeza furaha yako uko.

Wakati tunaoishi ukileta mapenzi ya Shakur Khan utakufa kwa magonjwa ya moyo, hawa wenzetu hawajui wanataka nini tena.

Kama utaendelea kuona mwanamke ndio furaha yako na ni wajibu wako kumbadilisha au kumuwezesha basi nakuonea huruma sana.

Ana maadili mabovu, ana tabia mbaya achana nae, wewe piga sepa. Hafanyi hayo kwa bahati mbaya, anaelewa na anajua madhara yake.

Hajasoma, yupo broke, wewe piga sepa. Acha kihele hele cha kujifanya shujaa kwenye maisha yake. Mchumba hasomeshwi, mchumba hafunguliwi biashara, it will end in tears my brother.

It always ends unfairly for a nice guy.

I love you, i love my brother.
Lakini tusiache kuwagongelea misumali bila huruma, kama wanataka huruma waende kwa baba zao.
 
Iwe kiuchumi, kitabia au kimaadili sio wajibu wako kumbadilisha mwanamke, huo ni wajibu wa wazazi wake. Kama unataka mke msomi, mwenye tabia nzuri au anaejiweza kiuchumi, basi tafuta mwanamke ambae tayari wazazi wameshamuwezesha kuwa na ivyo vigezo.

Mwanaume pambana tafuta hela tengeneza furaha yako kwenye mambo mengine, kama unapenda bata na masela kila wikiendi, wekeza furaha yako uko.

Wakati tunaoishi ukileta mapenzi ya Shakur Khan utakufa kwa magonjwa ya moyo, hawa wenzetu hawajui wanataka nini tena.

Kama utaendelea kuona mwanamke ndio furaha yako na ni wajibu wako kumbadilisha au kumuwezesha basi nakuonea huruma sana.

Ana maadili mabovu, ana tabia mbaya achana nae, wewe piga sepa. Hafanyi hayo kwa bahati mbaya, anaelewa na anajua madhara yake.

Hajasoma, yupo broke, wewe piga sepa. Acha kihele hele cha kujifanya shujaa kwenye maisha yake. Mchumba hasomeshwi, mchumba hafunguliwi biashara, it will end in tears my brother.

It always ends unfairly for a nice guy.

I love you, i love my brother.
Mwanaume unaingiliaje mambo ya wanawake
 
Iwe kiuchumi, kitabia au kimaadili sio wajibu wako kumbadilisha mwanamke, huo ni wajibu wa wazazi wake. Kama unataka mke msomi, mwenye tabia nzuri au anaejiweza kiuchumi, basi tafuta mwanamke ambae tayari wazazi wameshamuwezesha kuwa na ivyo vigezo.

Mwanaume pambana tafuta hela tengeneza furaha yako kwenye mambo mengine, kama unapenda bata na masela kila wikiendi, wekeza furaha yako uko.

Wakati tunaoishi ukileta mapenzi ya Shakur Khan utakufa kwa magonjwa ya moyo, hawa wenzetu hawajui wanataka nini tena.

Kama utaendelea kuona mwanamke ndio furaha yako na ni wajibu wako kumbadilisha au kumuwezesha basi nakuonea huruma sana.

Ana maadili mabovu, ana tabia mbaya achana nae, wewe piga sepa. Hafanyi hayo kwa bahati mbaya, anaelewa na anajua madhara yake.

Hajasoma, yupo broke, wewe piga sepa. Acha kihele hele cha kujifanya shujaa kwenye maisha yake. Mchumba hasomeshwi, mchumba hafunguliwi biashara, it will end in tears my brother.

It always ends unfairly for a nice guy.

I love you, i love my brother.
Hoja imepita bila kupingwa
 
Back
Top Bottom