happyxxx
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 604
- 1,970
Kumchamba diamond nafikiri 🤣🤣🤣Level ipi amefika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumchamba diamond nafikiri 🤣🤣🤣Level ipi amefika?
Tandahimba bado wanakubali mnoNa ikifanyika atakula za uso mpaka ashangae...raia zishamkataa kitambo
HahahahaShe do , she do , she dowaaaa, kondegang for everybody, ...
Maono, mipango utekelezaji na management ni vitu muhimu sanaMzee wa kuahirisha matukio
Kaanza Konde Mgahawa sijui uliishia wapi, mwaka juzi baada ya kuzindua Afro East Mlimani City, akasema mwezi wa tano 2020 atafanya show taifa siku ikafika kimya, akaja tena na idea ya kufanya show siku tatu mfululizo mwezi wa 11, 2020 huku akipewa support na EFM siku ikafika kimya, akaja tena Konde in da club mikoa 19 akafanya show moja baadae akadai anaumwa daktari kamshauri apumzike.
Na hii show yake aliyo iandaa AFRO Carnival Tabata shule 3rd March 2022 sioni dalili ya kufanyika mwisho wa siku atapiga kimya.
Raia wa nchi gan unawazungumzia mbona sisi hapa bongo tunamkubal sanaa??Na ikifanyika atakula za uso mpaka ashangae...raia zishamkataa kitambo
Hapo kwenye management hapo ni muhim sana maana ndio kuna tengeneza consistence ya jambo ulilokua naq maono nalo ukaliwekea mipango kisha ukalitekeleza lisiishie njianiMaono, mipango utekelezaji na management ni vitu muhimu sana
🤣🤣🤣🤣🤣Kumchamba diamond nafikiri 🤣🤣🤣
Koh koh kohMzee wa kuahirisha matukio
Kaanza Konde Mgahawa sijui uliishia wapi, mwaka juzi baada ya kuzindua Afro East Mlimani City, akasema mwezi wa tano 2020 atafanya show taifa siku ikafika kimya, akaja tena na idea ya kufanya show siku tatu mfululizo mwezi wa 11, 2020 huku akipewa support na EFM siku ikafika kimya, akaja tena Konde in da club mikoa 19 akafanya show moja baadae akadai anaumwa daktari kamshauri apumzike.
Na hii show yake aliyo iandaa AFRO Carnival Tabata shule 3rd March 2022 sioni dalili ya kufanyika mwisho wa siku atapiga kimya.
Hv kumbe alisahaulika kwenye ubunge, uRc, uDc wa michongo n.k?Huyu dogo bure Sana na mbaya said hashaurik
Ndo maana unaona jembenijembe
Yupo to kimya dogo bangi zinamzid
Nimeshafika Cask ni kama useme Zuchu ameijaza Juliana pub au Kitambaa cheupe au Kidimbwi. Pale kunajaa bila kuwa na msanii yoyote na hata kina Barnaba wanafanya show na kunajaza sanaTembo jumamosi aliiijaza Cask na Rock City mall kwa kiingilio cha 30K kwa 10k [emoji91][emoji91]
Satan wishez sasa akihairisha wew utafaidika nini ??Mzee wa kuahirisha matukio
Kaanza Konde Mgahawa sijui uliishia wapi, mwaka juzi baada ya kuzindua Afro East Mlimani City, akasema mwezi wa tano 2020 atafanya show taifa siku ikafika kimya, akaja tena na idea ya kufanya show siku tatu mfululizo mwezi wa 11, 2020 huku akipewa support na EFM siku ikafika kimya, akaja tena Konde in da club mikoa 19 akafanya show moja baadae akadai anaumwa daktari kamshauri apumzike.
Na hii show yake aliyo iandaa AFRO Carnival Tabata shule 3rd March 2022 sioni dalili ya kufanyika mwisho wa siku atapiga kimya.
Kumbe unaenda viwanja , nipitie sku moja basNimeshafika Cask ni kama useme Zuchu ameijaza Juliana pub au Kitambaa cheupe au Kidimbwi. Pale kunajaa bila kuwa na msanii yoyote na hata kina Barnaba wanafanya show na kunajaza sana