Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa inaongelewa Show imefanyika au haikufanyika?Jamaa anapoteza mashabiki kwasababu ya sifa zake zakijinga,kiburi naona kashasahau alipotoka,afu anapenda kuiga sana yan hana ubunifu hata chembe album yake nzuri ni ile aliyokua Wasafi tu kashapotea mazima sasa sijui anaimba nini havielewek
akili za kijinga kwahiyo album mbovu kisa hayupo WCB?Jamaa anapoteza mashabiki kwasababu ya sifa zake zakijinga,kiburi naona kashasahau alipotoka,afu anapenda kuiga sana yan hana ubunifu hata chembe album yake nzuri ni ile aliyokua Wasafi tu kashapotea mazima sasa sijui anaimba nini havielewek
ana chuki binafsi huyoHapa inaongelewa Show imefanyika au haikufanyika?
ndugu una chuki sana.Jamaa anapoteza mashabiki kwasababu ya sifa zake zakijinga,kiburi naona kashasahau alipotoka,afu anapenda kuiga sana yan hana ubunifu hata chembe album yake nzuri ni ile aliyokua Wasafi tu kashapotea mazima sasa sijui anaimba nini havielewek
Views za youtube zinalipa sana dingi ukizingatia kila video anayotoa lazima itoboe 2M kwenda mbeleMaisha n siri kali,pesa za kuendesha maisha na kutoa mavideo anazipata wapi,wakat show hafanyi
Show imefanyika watu nyimi mi ndio naamka siku ya pili sijalala,tatizo uke uwanja una vumbi na parking ndogo,next time ailete tabata liwiti opposite na kitambaa cheupe,uwanja mkubwa una nyasi na parking ya kutoshaHapa inaongelewa Show imefanyika au haikufanyika?
Kwa summary palinoga? Na leo ipo?Show imefanyika watu nyimi mi ndio naamka siku ya pili sijalala,tatizo uke uwanja una vumbi na parking ndogo,next time ailete tabata liwiti opposite na kitambaa cheupe,uwanja mkubwa una nyasi na parking ya kutosha
Palinoga sna leo nasikia hakunaKwa summary palinoga? Na leo ipo?
Nimeona YouTube video ya Balaa MC wa Singeli ana wimbo ana watetea bodaboda aisee wanachota michanga wanamwaga juu, hahaa pale vumbi lile hapana aisee. Lazima uvae mask.Palinoga sna leo nasikia hakuna
Ushauri mzuri Sana huuShow imefanyika watu nyimi mi ndio naamka siku ya pili sijalala,tatizo uke uwanja una vumbi na parking ndogo,next time ailete tabata liwiti opposite na kitambaa cheupe,uwanja mkubwa una nyasi na parking ya kutosha
Unajua wasela wa buguruni na vungunguti wanavuka mto msimbazi kwa miguu tu wameshafika eneo la tukioNimeona YouTube video ya Balaa MC wa Singeli ana wimbo ana watetea bodaboda aisee wanachota michanga wanamwaga juu, hahaa pale vumbi lile hapana aisee. Lazima uvae mask.
Angeomba eneo la wazi lenye nyasi.
Yaah Tabata Liwiti pakubwa ila sometimes Tanesco wanawekaga mistimu yao.Show imefanyika watu nyimi mi ndio naamka siku ya pili sijalala,tatizo uke uwanja una vumbi na parking ndogo,next time ailete tabata liwiti opposite na kitambaa cheupe,uwanja mkubwa una nyasi na parking ya kutosha
Waliweza kucontrol kweli raia wa nje? Najaribu kujenga picha pale dahUnajua wasela wa buguruni na vungunguti wanavuka mto msimbazi kwa miguu tu wameshafika eneo la tukio
Pale kucontrol kazi tena hasa kwa wasela mavi wa Buguruni,Matumbi na Vingunguti.Waliweza kucontrol kweli raia wa nje? Najaribu kujenga picha pale dah
Kwani alipokua wasafi katoa album ??? We jama unatapakia ujuw unalo tapikaJamaa anapoteza mashabiki kwasababu ya sifa zake zakijinga,kiburi naona kashasahau alipotoka,afu anapenda kuiga sana yan hana ubunifu hata chembe album yake nzuri ni ile aliyokua Wasafi tu kashapotea mazima sasa sijui anaimba nini havielewek