Sioni haja ya kusomesha watoto boarding kama kuna shule nzuri za Day maeneo tunayoishi na mzazi / mlezi una muda wa kumfuatilia mtoto

Sioni haja ya kusomesha watoto boarding kama kuna shule nzuri za Day maeneo tunayoishi na mzazi / mlezi una muda wa kumfuatilia mtoto

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Kwanza kabisa kama ulisoma boarding, ni kipi ulichomzidi mwenzako aliesoma day na mkafaulu wote mpaka mkahitimu chuo ?

Kwa hali ya sasa kuna maeneo yana shule kibao za day na zinafaulisha, Je tuendelee na ule utaratibu wa kupeleka watoto boarding kama zamani ?

Binafsi nakumbuka nilisoma boarding lakini yale ambayo wazazi walitaka kuniepusha niliyakuta ni zaidi huko boarding na hakuna mlezi wa uhakika wa kukupa dira na mbaya zaidi wanafunzi wana umri mdogo. kwa hali ya ilivyo sasa kiutandawazi tunasikia mambo mengi zaidi yakiendelea huko boarding, watoto wanaweza wakawa wanaleta matokeo mazuri lakini kimaadili wamemomonyoka.

Kwa mtazamo wangu naona mzazi / mlezi ukiwa eneo lenye shule za day nzuri na una muda wa kumfuatilia mtoto ni heri asome tu day, hata akipata division 2 inatosha, tuition zipo kibao, materials ni nyingi sana kama zamani,

Uzuri wa day ni kuweza kufuatilia muenendo wa mtoto kila siku akianza tabia za hovyo ni rahisi kugundua na kumrekebisha, chakula salama cha nyumbani hakuna kuwekewa mafuta ya taa, tuition, n.k.

Boarding inafaa zaidi kwa wale ambao wanaishi maeneo yasiyo na shule nzuri za day, wazazi / walezi wapo bize na shughuli zao mfano wanashinda dukani, n.k.
 
Kwa hali ya sasa kuna maeneo yana shule kibao za day na zinafaulisha, Je tuendelee na ule utaratibu wa kupeleka watoto boarding kama zamani ?

Binafsi nakumbuka nilisoma boarding lakini yale ambayo wazazi walitaka kuniepusha niliyakuta ni zaidi huko boarding kuanzia kuvuta bangi, wavulana kulala kitanda kimoja, makundi, n.k. na hakuna mlezi wa uhakika, Matron / Patron wana shughuli zao hawawezi kusimamia wanafunzi wengi kwa mpigo.

Ni kweli boarding kuna uwezekano wa kufaulu zaidi lakini upande wa pili wa maisha ya mtoto vipi ?

Kwa mtazamo wangu naona nipo eneo lenye shule za day kibao hadi za Provate, mtoto akipata division 2 inatosha, tuition zipo kibao, materials ni nyingi sana kama zamani,

Uzuri wa day ni kuweza kufuatilia muenendo wa mtoto kila siku, chakula salama cha nyumbani hakuna kuwekewa mafuta ya taa, n.k.

Nionavyo boarding inafaa zaidi kwa wale ambao wanaishi maeneo yasiyo na shule nzuri za day, wazazi / walezi wapo bize na shughuli zao mfano wanashinda dukani, n.k.
Ni wazazi wajinga tu ndio huwapeleka watoto boarding matokeo yake wanakua wakubwa mizigo hawawezi kujitegema........ushaona IST ada ya mwaka FEZA na Marian unasoma form 1 hadi chuo,ila wanakaa day,.........wahindi na waarabu kinachowafanya wawafunze vizuri watoto wao,kila tabia njema na mienendo ya biashara ni watoto wao kuka da hadi chuo kikuuu.........mitoto mingi inayoongoza kujiuza chuo na kubugia mapombe na mashisha ni wanaokaa hostel=boarding
learn or Perish
 
💯💯💯 correct mi hata shule ikiwa mbali bado atasafiri na kurejea jioni
Nimeona maisha ya Mzumbe boys kilakala girls na Sasa Pugu boys kifupi si mazuri
 
Ni wazazi wajinga tu ndio huwapeleka watoto boarding matokeo yake wanakua wakubwa mizigo hawawezi kujitegema........ushaona IST ada ya mwaka FEZA na Marian unasoma form 1 hadi chuo,ila wanakaa day,.........wahindi na waarabu kinachowafanya wawafunze vizuri watoto wao,kila tabia njema na mienendo ya biashara ni watoto wao kuka da hadi chuo kikuuu.........mitoto mingi inayoongoza kujiuza chuo na kubugia mapombe na mashisha ni wanaokaa hostel=boarding
learn or Perish
Nchi za ulaya na Marekani kumsomesha mtoto boarding huonekana kama mzazi hamjali mtoto
 
Tunanyanyasika, tunateseka maisha ya boarding, chakula shida tunahangaika 🎶🎶
 
Kwa nyakati za sasa day school angalau salama zaidi ya boarding school. Nilisoma la kwanza hadi chuo natokea nyumbani. Wakati mwingine changamoto za familia, malezi, na nature ya mtoto hupelekea wazazi kupeleka mtoto shule za boarding ingawa ni hatari sana.
 
💯💯💯 correct mi hata shule ikiwa mbali bado atasafiri na kurejea jioni
Nimeona maisha ya Mzumbe boys kilakala girls na Sasa Pugu boys kifupi si mazuri
Kilakala kunanini kwani?
 
Back
Top Bottom