Sioni haja ya kwenda chuo

Sioni haja ya kwenda chuo

uache ujuaji dogo. Eti sio mbongo halafu auto correct ina maneno ya kibongo! Hujui hata preferences huwa zinafanya vp kazi.
Siku njema
Sasa we unafikiri hakua anawasiliana na wabongo! Emb acha kujifanya mtaalam wa tech! Kingine focus kwenye mada sio hizo auto corrections ambazo ni kazi ya AI🤣
 
Umesoma chuo ili swali sikutegemea kutoka kwako
Kitendo cha elimu ya chuo kupanua uelewa wako tayari imekulipa!
Kazi ipo kwako wewe kugeuza uelewa ulioupata kua Fuedhaaaaa..!!
Kati ya sehemu zinazofifisha uelewa ni chuo.
 
Sasa we unafikiri hakua anawasiliana na wabongo! Emb acha kujifanya mtaalam wa tech! Kingine focus kwenye mada sio hizo auto corrections ambazo ni kazi ya AI🤣
nani amekuambia auto correction ni kAzi ya AI? Wewe unasema sio mbongo halafu tena unasema alikuwa akiwasiliana na wabongo? Unaulizwa alikiwa anatumia lugha gani hujibu!
 
nani amekuambia auto correction ni kAzi ya AI? Wewe unasema sio mbongo halafu tena unasema alikuwa akiwasiliana na wabongo? Unaulizwa alikiwa anatumia lugha gani hujibu!
Why are you focusing on shitty stuff? Haya wewe ukijua itakusaidia nini. Emb kama huna cha kuchangia pita hivi... na kingine umeona ni mis spell neno la kiswahili tena. Acha kutetea point ambayo haina evidence.

Hujui maana ya AI na hujui Technology so pita kama haukuwepo.
 
Why are you focusing on shitty stuff? Haya wewe ukijua itakusaidia nini. Emb kama huna cha kuchangia pita hivi... na kingine umeona ni mis spell neno la kiswahili tena. Acha kutetea point ambayo haina evidence.

Hujui maana ya AI na hujui Technology so pita kama haukuwepo.
wewe ndio huna unachojua eti auto correct ni AI.
bora baba yako angeweka bili ya tende msikiti wa mtoro kuliko pesa aliyopoteza
 
wewe ndio huna unachojua eti auto correct ni AI.
bora baba yako angeweka bili ya tende msikiti wa mtoro kuliko pesa aliyopoteza
Define AI?
Kama unataka mabishano kweli, kama huwezi na usi Google nitajua tu. Kama huwezi usiendeleze majibizano maana sitajibu.
 
Define AI?
Kama unataka mabishano kweli, kama huwezi na usi Google nitajua tu. Kama huwezi usiendeleze majibizano maana sitajibu.
nani kakuambia nipo hapa kwa ajili ya kubishana? Halafu unajiita msomi !
auTo correct ni kusahihisha sawa na lugha husika na kwenye cookies na preferences inasave maneno unayotumia mara kwa mara.
Kwahyo auto correct ilikusahihisha ila sababu mpumbavu weww hujui wapi L NA R zinakaa ukaipinga.
Una akili kweli?
 
nani kakuambia nipo hapa kwa ajili ya kubishana? Halafu unajiita msomi !
auTo correct ni kusahihisha sawa na lugha husika na kwenye cookies na preferences inasave maneno unayotumia mara kwa mara.
Kwahyo auto correct ilikusahihisha ila sababu mpumbavu weww hujui wapi L NA R zinakaa ukaipinga.
Una akili kweli?
So stupid answer! Nimekuambia udefine AI unaleta mambo ya cookies na preferences ambazo hata hazi make any correlation na swali nilo kuuliza. Wewe ume base kwenye kitu ambacho nimekifafanua apo awali, stop wasting your time kajenge taifa.

Haya umeona nimerudia makosa kwenye kutumia L na R? Kama umeona ndo ntakubali sijui lugha na kama hakuna, there's no need to waste time talking about this.
 
Ajira ngumu,

Kupoteza muda,

Kupoteza pesa ambayo kiuhalisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara.

Kuingia madeni yasio ya lazima, (mikopo)

Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na kisayansi.

Walio na vyeti mtaani hawahesabiki.

High school is a necessity, but collage is a choice.~Kanye West
elimu ni muhimu sana ila shida ni mentality zetu.

Watanzania asilimia kubwa tunasoma kama njia ya kufanikiwa kimaisha (kupata ajira) na si kujikomboa kifikra na kuifanya elimu iwe part ya maisha yetu the result ni kumaliza kusoma na kutafuta ajira, kwa hapa elimu haiwezi kuwa na faida sana na ni kupoteza muda na ndo maana asilimia kubwa ya wahitimu hawajui kazi wanazotakiwa kufanya baada ya kumaliza vyuo.
 
Back
Top Bottom