Sioni haja ya kwenda chuo

Sioni haja ya kwenda chuo

Hata mambo ya psychology ambayo hayana soko?

Mimi naishi umo saikolojia
Ndo maana nilisisitiza kuhusu kada nyingi kukosa soko.

Kuhusu psychology lazima iwe na soko due to the rise of depression, anxiety and mental issues because of life struggles. Sijui mengi kuhusu kazi zenu, ila najua world wide kuna ongezeko la matatizo ya kisaikolojia.

Sikubahatika kupenda masomo hayo, ila baada ya kupitia mengi nime kuja kudive sana kwenye such things. Najua umuhimu wake hasa kwenye ustawi wa afya na maendeleo yangu. Mental health is a priority
 
Tatizo elimu zetu zinatufundisha kukariri notes, na si kutenda, ndio maana tunaona ajira zinakuwa ngumu, kwa sababu ni elimu tuliyopata haitusaidii kutengeneza kitu na kuuza.
Sio hivyo tu unaweza kuwa vizuri ukaelewa na kujua mambo ila ukaja kugundua elimu uliyoipata iko outdated. Point yako inamashiko pia mkuu watu wanaenda vyouni kutafta vyeti tu.
 
kwa kuwa waarabu wamepewa bandari nina uhakika kuna machinery inayoitwa guantry craneau ship to shore crane ,bongo waliosomea ni wachache sana hata 50 hawafiki na wengi ni wazee , ni course ya miezi mitatu tu , ila ukiipata hio post utanishkuru sana , mshahara kando ndo nitoe lorry pale bandari haraka wengitunawapa wale jamaa za macho, nenda kaiulizie nahisi inasomeshwa pale bandari college temeke hapa dar
da we jamaa umegusa mule mule mi nataka nisomee lile la kuhamisha container yale ya bandari kavu unanishauri vipi chuo nimepata( Ihet) kipo mwenge ..
 
Ndo maana nilisisitiza kuhusu kada nyingi kukosa soko.

Kuhusu psychology lazima iwe na soko due to the rise of depression, anxiety and mental issues because of life struggles. Sijui mengi kuhusu kazi zenu, ila najua world wide kuna ongezeko la matatizo ya kisaikolojia.

Sikubahatika kupenda masomo hayo, ila baada ya kupitia mengi nime kuja kudive sana kwenye such things. Najua umuhimu wake hasa kwenye ustawi wa afya na maendeleo yangu. Mental health is a priority


Unajua mkuu haya mambo ni kuwa positive tu.

Ukiwa wewe economist je hauwezi kuanza kujihusisha na maswala ya consultant?
 
Nenda chuo kapate exposure Acha ushamba wa ajita
Ajira ngumu,

Kupoteza muda,

Kupoteza pesa ambayo kiuhalisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara.

Kuingia madeni yasio ya lazima, (mikopo)

Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na kisayansi.

Walio na vyeti mtaani hawahesabiki.

High school is a necessity, but collage is a choice.~Kanye West
 
Tatizo mnaangalia results na sio source ya tatizo , nchi isiyokuwa na sekta binafsi inayokua na kuzalisha ajira + kupunguza umasikini kwa wananchi ,ni tatizo .
Hata usomee nini ni kazi bure tu , uende veta ,uende technical college au University ,haita make difference .
Unakuwa na oversupply ya graduates na poor demand ,net result ndio hiyo mass unemployment .
Hata ukisema wajiajiri , net result ni the same ,hizo startups business zitakufa nyingi ,sababu uchumi wa kimaskini ,hamna purchasing power ya kununua bidhaa na huduma zinazozalishwa na hao graduates kwenye hizo startups business zao .
Hili ni tatizo ambalo wengi hawaliangalii
Nchi maskini kama hii ni tatizo kubwa kwa vijana hasa wanaojitafuta
Au mnafikiri wanaokimbilia ughaibuni ni wajinga ?
Mismanagement ya uchumi na mifumo ya uongozi ndio kiini cha tatizo , sera za kishenzi zisizo chochea ukuaji wa private sector
 
Mimi nachojua elimu haijawahi kumtupa mtu sababu huku mtaani pia kunahitaji elimu ya mtaa huwezi toka ulikotoka ukazani unakuja kupata pesa kirahisi

Jambo la msingi ni kuendelea kutatafuta maarifa kila siku Kuna IT wengi wanamaliza vyuoni bila ujuzi wowote ila Kuna Dunia ya sasa Kuna kozi zipo online unaweza kuendelea kujifunza zaidi
 
Mimi naendelea kusoma bana , n Bora kua na cheti ndan huwaga kinatia motisha one day yes if no siwazi naendelea na hio elimu Yako unayotaka utuambie
 
Kaka kaka wewe kama mimi tuuu...
Naona muda unakwenda alafu nachokipata ni tofauti ..

Una soma computer ila unatoka hapa kichwani hamna kitu wewe unajua defin tuu ila practical hamna kitu kabisa.

Hao wanaosema degree itakulipa inategemea na Degree ya nini..

Kuna. Sisi ambao tusha left huko vyuo mapema kabisa.. kazi ni kwenda ku sign hiyo 700k na kupita hvi.

Kiufupi tulienda kutafuta capital ya kufanya mambo mengine basi...
Kinachofelisha Elimu ya bongo kukariri kwingi , hakuna kupata maarifa sahihi yenye manufaa.
 
We somea mambo magum mfano kilimo mifugo uvuvi ili hata usipo ajiriwa unajiajiri fresh tu ss ww sijui unasoma ma arts usipo ajiriwa ndo unakuja kutema shudu humu tangu ln elimu isiwe na umuhim we ndo huna umuhim mana kuna watu kupitia iyo elim wana maisha safi ss ivi na elim zao ss ww unasema haina umuhim ww ndo fala
 
Cha kwanza dogo usifuate nyayo za Kanye West uliyemquote utapotea, pili chagua elimu ya vitendo kwa dunia ya sasa hivi, elimu ni nguzo muhimu ambayo kwa vitendo itakusaidia dunia hii, nilipokuwa ulipo nikitoka high school niliwaza kama wewe ila mbeleni nilifunguka akili , nilisoma kwa mateso sana chuo cha sheria UDOM ila leo matunda yake nnayaona , walio kataa kuendelea na masomo hamna anayenifikia hata kwa upeo wa mbali .

Usiangalie jobless wenzio kila mtu na nyota na safari yake , pambania kikombe chako papo hapo katktk ya wenzio.

mwisho cheki course isiyojulikana au kuwa watu wengi , nenda bandari , benki , industry uliza waliopo kule fanya research yako kisha chukua hatua , tahadhari usijaribu kufanya uhasibu or business courses .... all the best
MKuu kwanini umemwambia asichukue uhasibu?
 
Nenda chuo wakati upo chuo endelea kufanya harakati zako mpk una maliza uko mbali na elimu umepata connection umepata za watu
 
Hili ni tatizo ambalo wengi hawaliangalii
Nchi maskini kama hii ni tatizo kubwa kwa vijana hasa wanaojitafuta
Au mnafikiri wanaokimbilia ughaibuni ni wajinga ?
Mismanagement ya uchumi na mifumo ya uongozi ndio kiini cha tatizo , sera za kishenzi zisizo chochea ukuaji wa private sector
Hakika mkuu umegusa mlemle. 💯💯📌
Pia nakazia kwenye private sector, wanazibana for a reason ili tuendelee kuwa dependant.
 
Ajira ngumu,

Kupoteza muda,

Kupoteza pesa ambayo kiuhalisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara.

Kuingia madeni yasio ya lazima, (mikopo)

Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na kisayansi.

Walio na vyeti mtaani hawahesabiki.

High school is a necessity, but collage is a choice.~Kanye West
Uko sahihi kabisa na ninakuunga mkono, kwani hata college tu imekushinda kuandika, umeandika collage.
 
Mimi nachojua elimu haijawahi kumtupa mtu sababu huku mtaani pia kunahitaji elimu ya mtaa huwezi toka ulikotoka ukazani unakuja kupata pesa kirahisi

Jambo la msingi ni kuendelea kutatafuta maarifa kila siku Kuna IT wengi wanamaliza vyuoni bila ujuzi wowote ila Kuna Dunia ya sasa Kuna kozi zipo online unaweza kuendelea kujifunza zaidi
Hapo umenena mkuu, kuna mda tunapaswa kuangalia uhalisia wa mambo. Ila kuna watu wanamaliza vyuo wanasubiri ajira bila kuangalia ushindani. Ndo ivo unemployment gap inazidi kuwa kubwa.
 
Back
Top Bottom