Bandar Abbas
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 468
- 1,219
No course iliyosomewa na wengi , too much competitionMKuu kwanini umemwambia asichukue uhasibu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No course iliyosomewa na wengi , too much competitionMKuu kwanini umemwambia asichukue uhasibu?
Hyo course upo sawa , ukitoka tu chuo nenda kajitolee pale bandarini , kila siku watakupa za macho haipungui elfu 15 ila wakiandikana wana tabia ya kuwachukua wale wa kujitolea kwanza always , kikuu wale ke pale human resource kuwa karibu nao sana .da we jamaa umegusa mule mule mi nataka nisomee lile la kuhamisha container yale ya bandari kavu unanishauri vipi chuo nimepata( Ihet) kipo mwenge ..
Lengo sio upfront ni appear as an academic , in real life I'm pretty chilled bila mengi though with a darth of knowledge in the legal arena , chakwangu ni huyo dogo aelewe kuwa education is very important in any aspect of society.Umeongea kisomi kweli mkii
Angeliweka kwa namna ya kuomba ushauri ingependeza sasa yeye ameandika kama kwamba kutokwenda kwake chuo anatukomesha sisiNi janga ambalo wengi wanapitia
Mkuu mawazo yako haya apply kwa wote, na majority wamechukua path ya chuo na kuja kuregret baadae. Sikatai elimu ni muhimu ila path ya chuo, sio applicable kwa wengi, hasa nyakati hiziLengo sio upfront ni appear as an academic , in real life I'm pretty chilled bila mengi though with a darth of knowledge in the legal arena , chakwangu ni huyo dogo aelewe kuwa education is very important in any aspect of society.
sawa elimu bado unaihitaji ili uweze kwenda kwenye settings za keyboard yako , kisha dictionary alafu udelete maneno ambayo umeifundisha keyboard yako . Tafadhali rudi shuleni bwana de guKingine device yangu inatunza maneno niliyotype zamani so inayaweka automatically hata kama nikilipatia neno inaleta la zamani. Device language ni English.
Nalijua hilo mkuu, ndo maana nilikwisha eleza kwenye thread, halafu. Usilinganishe elimu na vitu vidogo kama typing errors.sawa elimu bado unaihitaji ili uweze kwenda kwenye settings za keyboard yako , kisha dictionary alafu udelete maneno ambayo umeifundisha keyboard yako . Tafadhali rudi shuleni bwana de gu
Some of Drivers kwenye public service wana helaNina mshkaji wangu yupo tasisi flan ya serikali ni driver tu ila hao wenye degree kutwa kumpiga mizinga kupanga ni kuchagua
Ndio ni kweli kuna waliofanikiwa nje ya elimu sikatai ndipo nlisema mbeleni kuwa kila mtu na nyote yake na safari yakeMkuu mawazo yako haya apply kwa wote, na majority wamechukua path ya chuo na kuja kuregret baadae. Sikatai elimu ni muhimu ila path ya chuo, sio applicable kwa wengi, hasa nyakati hizi
Elimu ya chuo ingekusaidia kujua kua hiyo divice unaweza kui_set ikaacha kufanya autocorrect, kwa kifupi unapwaya sana nenda chuo kafute ujinga huko kichwaniShida ni device nayotumia mkuu! Ina automation ya mistakes zilizofanywa mwanzo.
Siyo lazima wote tupate degreeKuna watu wameenda chuo na bado wajinga.
Sikusema elimu si kitu, nilisema sioni haja ya kwenda chuo.
Kabisa kila mtu na nyota yake na bahati katika kupata ridhiki.Ndio ni kweli kuna waliofanikiwa nje ya elimu sikatai ndipo nlisema mbeleni kuwa kila mtu na nyote yake na safari yake