Sioni haja ya kwenda chuo

Sioni haja ya kwenda chuo

Lengo lako ni nini?? Waulize ambao walikua na maoni km yako wakayatimiza kisha waulize walioendelea kusoma,
Hakikisha umewauliza usiwaone tu ukajiongeza .
Lengo langu ni kuwataarifu vijana ambao wanamatarajio na elimu ya chuo.

Mm nimesoma chuo kada mbili tofauti, ila naona mrejesho wa nilichokisoma haukidhi maendeleo ya kasi katika ulimwengu wa science and technology. Nataka vijana waliangalie sawa hili mara mbili kabla ya kuchukua hatua..
 
elimu ni muhimu sana ila shida ni mentality zetu.

Watanzania asilimia kubwa tunasoma kama njia ya kufanikiwa kimaisha (kupata ajira) na si kujikomboa kifikra na kuifanya elimu iwe part ya maisha yetu the result ni kumaliza kusoma na kutafuta ajira, kwa hapa elimu haiwezi kuwa na faida sana na ni kupoteza muda na ndo maana asilimia kubwa ya wahitimu hawajui kazi wanazotakiwa kufanya baada ya kumaliza vyuo.
Kati ya watu waliongea point ni wewe mkuu...

Watanzania na waafrika kwa ujumla hawajui dhana kuu ya elimu wanafuata mikumbo kupata vyeti na title tu. Watu wenye uelewa kama wako tupo wachache na asilimia nyingine kubwa ndo bado wameng'ang'ania dhana potofu ya elimu. Wenzetu wazungu walijua mapema kuhusu haya yote ndo maana wana impose na kufacilitate mavyuo mengi huku Africa. Wanajua elimu kiasi kikubwa haitamkomboa badala yake atabaki kuwa mtumwa tu. Thanks for being real mkuu 👏
 
Ajira ngumu,

Kupoteza muda,

Kupoteza pesa ambayo kiuhalisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara.

Kuingia madeni yasio ya lazima, (mikopo)

Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na kisayansi.

Walio na vyeti mtaani hawahesabiki.

High school is a necessity, but collage is a choice.~Kanye West
Mimi nilienda chuo. Sikuwahi kubahatika kuajiriwa ila sijutii kwenda chuo. Kuna kitu nilikipata ambacho kimeniwezesha kumudu maisha.
 
Mimi nilienda chuo. Sikuwahi kubahatika kuajiriwa ila sijutii kwenda chuo. Kuna kitu nilikipata ambacho kimeniwezesha kumudu maisha.
Exactly, nakuelewa.
Umuhimu wake upo sawa ila manufaa ni machache especially kwa dunia ya leo. Huwezi mshauri kijana aishie tabaka la chini akasomee kitu kwa miak 4 alfu aje apambane na unemployment.
 
Elimu ya Tanzania imevurugika Sana nadhani Sababu kuwa ni ufundishwaji wa nadharia zilizopitwa na wakati.

Hapa Tanzania degree holder hana utofauti na form four kiufahamu.

Niseme inaumiza sana ,

Elimu ya maisha ingefundishwa chuo ingesaidia Sana kuliko ilivyo hivi sasa.


Kama upo chuo usiache chuo Ila jitahidi uwe msomaji wa vitabu itakusaidia kujipata
 
Elimu ya Tanzania imevurugika Sana nadhani Sababu kuwa ni ufundishwaji wa nadharia zilizopitwa na wakati.

Hapa Tanzania degree holder hana utofauti na form four kiufahamu.

Niseme inaumiza sana ,

Elimu ya maisha ingefundishwa chuo ingesaidia Sana kuliko ilivyo hivi sasa.


Kama upo chuo usiache chuo Ila jitahidi uwe msomaji wa vitabu itakusaidia kujipata
Nimemaliza chuo almost miaka 2 ilopita so nimevuka tayari.

Nakazia swala la degree holder kuwa worthless unless ana ajira.

Inaniumiza pia kama kijana ninaependa maendeleo kuona vijana kurudia path nilochukua. Ila ndo hivyo watu vichwa vigumu. Nimefungua nyuzi nyingi humu lakin naona opposition ni kubwa kuliko muitikio.

Very true lifeskills is rarely taught in schools.
 
Hapana mkuu, kusoma chuo nimeshasoma nilosoma engineering inikahamia economics. And now najutia kupoteza mda
Tatizo elimu zetu zinatufundisha kukariri notes, na si kutenda, ndio maana tunaona ajira zinakuwa ngumu, kwa sababu ni elimu tuliyopata haitusaidii kutengeneza kitu na kuuza.
 
Back
Top Bottom