Sioni mchezaji wa Yanga SC anayeweza kupata namba Simba SC

Sioni mchezaji wa Yanga SC anayeweza kupata namba Simba SC

Nipo hapa kwenye kibanda umiza na jamaa wawili watatu tunatazama mpira wa Yanga na Lipuli. Kwa kweli Yanga ni tia maji tia maji. Mpaka sasa dakika ya 65 wana goli 1 tu.

Mpira umepoa sana,mtangazaji anajitahidi kupamba lakini wapi mpira mwingi hauonekana. Nimejikuta natafakari hivi kati ya hawa vijana wa Yanga wanaorukaruka humu kuna hata mmoja anayeweza kupata nafasi Club kubwa Simba SC?

Binafsi sioni iwe ni hawa wa ndani,benchi au hata jukwaani. Simba imejaa vipaji na wapambanaji. Hawa Yanga sijui wanachezaje hakuna mishe kabisa. Wapo vijana wawili watatu kama Yondani na Fei Toto wanajitahidi lakini bado sioni kama mtu wa kumweka benchi Simba.
Piga domo mkuu,lkn table ndio iko hivyo
IMG-20181030-WA0015.jpeg
 
Maneno ya wakosaji. Kumbuka niko juu yako kipoint. Nina uwezo wa kukukojolea hapa nilipo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]natania tu mjomba
Juzi tulikukojolea lakini saivi mikojo imekauka ushasahau?
 
Tatizo la Simba ni kutamani kuiua Yanga tu. Yaani hawajui kama kuna timu nyingine Tz bali Yanga tu. Watatoa kila dau wawanunue hao wachezaji wa Yanga ili iwe dhaifu tu. Wanaenda kila penye mganga ili kuiloga Yanga.
Mna nini nyiye?? Mpira wa kulogana leo karne hii?? Chezeni mpira acha kutamba ati wamefungwaaa. Ona wenzenu mnaoona hawana wachezaji. Wanajikusanyia mapoints sasa hadi wanajionea fahari. Wewe uliyewanunua wachezaji wake mbona unashika mkia?? Only in Tz watu wanaona fahari kupiga chenga zisizo na faida. Mliwafunga wengine sijui goli 5 lakini mjue mlitoka tu na points 3. Yanga wamefunga goli moja wakatoka na points 3. Nnani zaidi??
Mkuu simba anashika mkia kwenye ligi gani hiyo nataka nijue?

Only in Tz watu wanaona fahari kupiga chenga zisizo na faida. Mliwafunga wengine sijui goli 5 lakini mjue mlitoka tu na points 3. Yanga wamefunga goli moja wakatoka na points 3. Nnani zaidi??

Kwaiyo mpaka leo hii bado hujapata kujua thamani ya magoli katika mechi?

Hujajua kwamba ushindi wa simba wa mwaka jana ulichangiwa na magoli mengi?

hujajua kwamba hata kama yanga akitikea kua sawa point na simba ila kama simba anamagoli mengi simba anapewa nafasi ya juu juliko yanga?, je ulikua unalijua hilo?
 
Inaelekea Simba wanachukizwa sana na ushindi wa Yanga...Pele aliwahi kusema 'mpira ni magoli siyo nakshi'...Sasa Yanga wanashinda hata kama ni kagoli kamoja ...Nimeangalia clip magoli ya mchezaji mmoja anaitwa, nimeshangaa mno...yaani wapo wachezaji wa timu mbili au tatu hivi ni kama wameambiwa wasiwe wanamkaba...he is just left alone...No one is covering him..kwa baadhi yetu ambao tumecheza mpira na hata kuongoza ni wazi the whole thing is fishy...there is something going on...anyway tusubiri tuone baada ya mechi 15 hivi hali itakuwaje...
Hahaaa et no one is covering him

Why don't you say they failed to covering him

Nilicho kigundua watu wa yanga hawaamini ni kivipi simba ishinde tano bila wakati wao goli moja wanalipata kwa mbinde mpaka msaada wa refa

Umeenda mbali sana nadhani umefikilia kua simba kanunua mechi hahahaaa mbona hata wewe tulishawahi kukupiga tano kwani tulinunua?
 
Mkuu huku 'kwetu' hawa Yanga tunawahesabia mechi kadhaa tu, wanakata pumzi.

Na hapo ndipo litakapokua anguko lao kuu kwa wachezaji kutolipwa mishahara, mashabiki kushinikiza uchaguzi, viongozi kung'ang'ania madaraka n.k
Kumbe mnaombea tufeli kwa hivyo sio kwamba nyie mcheze vizuri?
Amini nawaambia wana simba, kama sio anguko la kiuchumi na uongozi la yanga msingenusa ubingwa ule wa mwaka jana,
Na kama msimu huu hakutakua na mgogoro au kukosa ela ya kuendesha club ubingwa unarudi jangwani
 
Tatizo la Simba ni kutamani kuiua Yanga tu. Yaani hawajui kama kuna timu nyingine Tz bali Yanga tu. Watatoa kila dau wawanunue hao wachezaji wa Yanga ili iwe dhaifu tu. Wanaenda kila penye mganga ili kuiloga Yanga.
Mna nini nyiye?? Mpira wa kulogana leo karne hii?? Chezeni mpira acha kutamba ati wamefungwaaa. Ona wenzenu mnaoona hawana wachezaji. Wanajikusanyia mapoints sasa hadi wanajionea fahari. Wewe uliyewanunua wachezaji wake mbona unashika mkia?? Only in Tz watu wanaona fahari kupiga chenga zisizo na faida. Mliwafunga wengine sijui goli 5 lakini mjue mlitoka tu na points 3. Yanga wamefunga goli moja wakatoka na points 3. Nnani zaidi??
Hawa niwale wanafunzi wanaandika sana ila hakuna hoja zaidi ya zogo
 
Kumbe mnaombea tufeli kwa hivyo sio kwamba nyie mcheze vizuri?
Amini nawaambia wana simba, kama sio anguko la kiuchumi na uongozi la yanga msingenusa ubingwa ule wa mwaka jana,
Na kama msimu huu hakutakua na mgogoro au kukosa ela ya kuendesha club ubingwa unarudi jangwani
Mkuu.. Migogoro katika kilabu chenu ishaisha kwani? Alafu, unataka kuniambia ile omba omba yenu, mmeisitisha?
 
Ila kwangu mimi naona hakuna mchezaji hata mmoja anaweza pata namba pale yanga, nasema hivii hayupooo, ukiuliza kwa nini majibu ni kwamba

Mechi 9 pointi 25,
Haijafungwa na timu yoyote,
Mechi 6 mfululizo bila kuruhusu bao,
Ktk mechi zote tisa ni moja tu wametoka bila goli,

Sasa kwa record hiyo ambayo simba yenu haina watamuweka nje nani kwa ubora huo?
 
Tatizo la Simba ni kutamani kuiua Yanga tu. Yaani hawajui kama kuna timu nyingine Tz bali Yanga tu. Watatoa kila dau wawanunue hao wachezaji wa Yanga ili iwe dhaifu tu. Wanaenda kila penye mganga ili kuiloga Yanga.
Mna nini nyiye?? Mpira wa kulogana leo karne hii?? Chezeni mpira acha kutamba ati wamefungwaaa. Ona wenzenu mnaoona hawana wachezaji. Wanajikusanyia mapoints sasa hadi wanajionea fahari. Wewe uliyewanunua wachezaji wake mbona unashika mkia?? Only in Tz watu wanaona fahari kupiga chenga zisizo na faida. Mliwafunga wengine sijui goli 5 lakini mjue mlitoka tu na points 3. Yanga wamefunga goli moja wakatoka na points 3. Nnani zaidi??
Mwisho wa ligi, utaona nani zaidi.
 
Ila kwangu mimi naona hakuna mchezaji hata mmoja anaweza pata namba pale yanga, nasema hivii hayupooo, ukiuliza kwa nini majibu ni kwamba

Mechi 9 pointi 25,
Haijafungwa na timu yoyote,
Mechi 6 mfululizo bila kuruhusu bao,
Ktk mechi zote tisa ni moja tu wametoka bila goli,

Sasa kwa record hiyo ambayo simba yenu haina watamuweka nje nani kwa ubora huo?

Dah.. Mashabiki wa Yanga mna akili sana.. Kiukweli kwa uchambuzi wako uliomakini sana.. Hakuna mchezaji wa Simba anayeweza kukaa katika kikosi cha kwanza cha Yanga.
 
Dah.. Mashabiki wa Yanga mna akili sana.. Kiukweli kwa uchambuzi wako uliomakini sana.. Hakuna mchezaji wa Simba anayeweza kukaa katika kikosi cha kwanza cha Yanga.
Asante kwa kukubali ukweli mkuu....
 
Mimi mwana simba ila yanga wapo wachezaji simba wanaweza kupata nafasi ila sizani kama itakuwa ya moja kwa moja wa Kwanza ni kipa Kakolanya,Gadiel michael,Toto kiungo mahiri na Yondani hao kwa nafasi zao wanaweza pata dakika za kucheza ila bado wanakazi ya ziada.
 
Ila kwangu mimi naona hakuna mchezaji hata mmoja anaweza pata namba pale yanga, nasema hivii hayupooo, ukiuliza kwa nini majibu ni kwamba

Mechi 9 pointi 25,
Haijafungwa na timu yoyote,
Mechi 6 mfululizo bila kuruhusu bao,
Ktk mechi zote tisa ni moja tu wametoka bila goli,

Sasa kwa record hiyo ambayo simba yenu haina watamuweka nje nani kwa ubora huo?
Hata simba tungecheza taifa mechi 9 tusingepoteza hata moja ona Tangu tumetoka mkoani tumevuna points ngpi?shida ya hizi timu zetu ni nje ya Dar mkuu sasa ww kwahyo style yko sijui HIFADHI MANENO YANGU
U

Kama we we siyo shabiki mandazi uliishawahi kujiuliza kwa nini Dan Serunkuma aliyesajiliwa na Simba kipindi hicho alishindwa kuwika hapa wakati akiwa huko Kenya alikuwa hakanatiki? Ukijibu swali hill kwa usahihi utajuwa na kuelewa ninachomaanisha, otherwise bora nikae tu kimya. Kifupi hats Hugo Kagere kwa Yanga anaweza onekana si lolote, hats Okwi alisajiliwa kwa Waharabu na Yanga pia tulimsajili kipindi Fulani hila hakaonekana hana msaada kwa timu husika, ila kwa Simba kwa sababu ya falsafa anafit in moja kwa moja. Nadhani umenielewa mkuu.
 
Mimi mwana simba ila yanga wapo wachezaji simba wanaweza kupata nafasi ila sizani kama itakuwa ya moja kwa moja wa Kwanza ni kipa Kakolanya,Gadiel michael,Toto kiungo mahiri na Yondani hao kwa nafasi zao wanaweza pata dakika za kucheza ila bado wanakazi ya ziada.
Yanga wanamfunga USM Algiers..mnaongelea Alliance na Ruvu shooting...Mikia day walikuja wale Asante Kotoko B jasho liliwatoka mpaka coach wao akawaambia wasiharibu sikukuu yenu...
 
Kocha Zahera alimwambia Tabwe sikupangi mpaka uwe kama Kagere. Kocha analinganisha wachezaji wake na walio superior .Umesikia Patrick Aussems akiongelea mchezaji wa timu pinzani?
Mechi zipo nyingi wenye kupiga kelele sasa baada ya mechi 10 na bado kuna mechi 28 ni wapuuzi.
Chezeni hata mechi tano za away halafu anzeni kuzungumza.
 
Back
Top Bottom