Sioni sababu ya kufia kifuani pa mwanamke

Sioni sababu ya kufia kifuani pa mwanamke

Nanoli

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2015
Posts
3,735
Reaction score
5,974
Poleni kwa Kazi wakuu, najua kila mtu anayo kazi yake ilimradi mwenyewe ukiwa umeikubali na inakufanya uwe busy. Nimekua nikijiuliza, hivi ni kitu gani mwanamke anakihitaji hasa kwa mwanaume ili aweze kutulia asihangaike kwa wengine na mwanaume ajiamini kuwa na mke.

Wanaume wamejazana huko gym wanatafuta six pack, ili kufanya mtoto wa kike avutike nae atulie, lakini hiyo haitoshi, utaambiwa pesa na mizinga mizito.
Wanaume sasa wamekua walaji wa limau, utakuta wamejaza maji ya moto kwenye kichupa na kukatia limau kila waendako kama vile mabek 3 wananyonyesha mtoto, kisa tu kupunguza mwili na kitambi ili kuwavutia wanawake lakini wapi, utaambiwa pesa na mizinga mizito.

Wanaume sasa wanajaa kwenye vijiwe vya kahawa na pweza, wakiamini wanaenda kuboost charger zao ili wakajenge heshima kunako 6/6, lakini jitihada zao zote huko uwanjani, hata umkojoze kwa kiasi gani, utaambiwa pesa na mizinga mizito. Sasa ukijitokeza na pesa zako umfanyie gharama zote hizo na umpe kila atakacho na umjaze na PESA kibao, amini hizo Pesa, atazichukua na kumpelekea anayeweza kumkojoza vizuri, looh! Ajabu sana.

Hivi kweli, akina miss wa leo, hata ujikunje vipi, usimamie vidole, ukung'ute wote wa kwenye kikopo, unafikiri kwa uhodari wako utapewa mbunye ila pesa? Hatujakwepa kutoa pesa wala kumgharamia mwanamke, lakini mambo yawe yana balance, kama una furaha kukojozwa, basi kuwepo na unafuu wa gharama kwa mlaji kwakua, nawe unafurahia mambo haya, lakini ubaya, unapigwa mizinga mpaka unajuta kujuana.

Na ni wangapi waliokamilika wawe na pesa na awe na nguvu za Goliath?
Wanaume tupambane na hali yetu, hawa wanawake watatutafunisha mizizi ambayo isiyofaa kutafunwa, kwakua hawaeleweki kitu gani wanachokitaka.

Hamna sababu ya kutafuta ushujaa pasipo na tuzo.
 
Hawaleweki hawa viumbe. Lakini yote kwa yote amini nakwmbia ukimpata mcha mungu, anaye ongozwa na kanuni za kiroho hutopata tabu zote hizo. Ila na wewe uwe tu mcha mungu.
Wengi tunapata tabu kwa kuwa tunakuwa na watu wanaoongozwa na kanuni za kidunia.
 
Hawaleweki hawa viumbe. Lakini yote kwa yote amini nakwmbia ukimpata mcha mungu, anaye ongozwa na kanuni za kiroho hutopata tabu zote hizo. Ila na wewe uwe tu mcha mungu.
Wengi tunapata tabu kwa kuwa tunakuwa na watu wanaoongozwa na kanuni za kidunia.
Ni ngumu kumuelewa mwanamke aisee!
 
Mimi ndio yule mhenga niliyesema Jogoo la shamba haliwiki mjini. Bora urudi Kolomije boss wangu, hwwa wa mjini sisi ndio tunajua wanahitaji nini.
Sawa mkuu, endelea kuwajulia..
 
Hawaleweki hawa viumbe. Lakini yote kwa yote amini nakwmbia ukimpata mcha mungu, anaye ongozwa na kanuni za kiroho hutopata tabu zote hizo. Ila na wewe uwe tu mcha mungu.
Wengi tunapata tabu kwa kuwa tunakuwa na watu wanaoongozwa na kanuni za kidunia.
Wachache sanaa watakuelewa,,,,, wengi watakuja na hoja ya misambwanda hapa

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
Inatakiwa tujitambue

Mzungu alitengeneza gari akafata matair ili yasaport gar but hakutengeneza gar iliya-suport matair

Vivyo hivyo M/mungu kamtoa mwanamke ubavun kwa mwanaume ili aje kumsaidia mwanaume

So msihangaike guys hawa wameletwa kwa ajili yetu so usihangaike kutoa gharama kubwa

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nazani awa wanawake wote wangepelekwa katika sayari yao na kutafuta uzao mwingine unajielewa na kujitambua!lakini awa wa sayari ya dunia ni pasua kichwa!
 
Mimi nazani awa wanawake wote wangepelekwa katika sayari yao na kutafuta uzao mwingine unajielewa na kujitambua!lakini awa wa sayari ya dunia ni pasua kichwa!
Unahitaji uwe vipi sijui ili uende nao sawa!
 
Back
Top Bottom