Sioni sababu ya kufia kifuani pa mwanamke

Sioni sababu ya kufia kifuani pa mwanamke

demi mdogo wangu hujambo? i hope uko poa nataka kukushauri kitu hapa and i hope it's allright for you to let me do so..mdogo wangu tambua kwamba pesa isingekuwepo maisha haya kama kusingekua na AKILI,kwa maana kwamba bila akili PESA IS NOTHING!,pesa imeundwa na binadamu kwa kutumia akili hivyo PESA SIO KILA KITU kwa sababu sio kila kitu unaweza kukipata kwa kutumia pesa ila AKILI NDIO KILA KITU KWA SABABU UNAWEZA KUPATA KILA KITU UNACHOTAKA KWA KUTUMIA AKILI! mdogo wangu tafuta akili,pata akili,tumia akili vizuri,komaa na akili pesa zitajileta zenyewe tu tena kwa kiwango kikubwa sana bila kutarajia,sisemi kwamba msiwaombe wapenzi wenu pesa au kuwapiga mizinga hapana ila style mnayotumia SIO! na kwa ATTITUDE hiyo ndiyo maana ME wengi siku hizi wanakuja humu kila siku kulalamika kwa sababu wanaona hilo ni tatizo kubwa sana kwao! hali hiyo inapelekea kuwa wagumu sana kukidhi mahitaji yenu hasa ya kipesa na mgegedo! so you see kutokana na hilo hupati unachostahili au unachotaka na kukitarajia.Ninakuhakikishia kwamba kama utakua na matumizi smart ya akili utajikuta unawashangaa wanawake wenzio wanaolalamikia wanaume kutowaridhisha kipesa kwa sababu kwa upande wako pesa zitakua zinajileta zenyewe,kumbuka mwanaume kwa mwanamke ni kama nyama kwa simba au mfupa kwa fisi au chuma kwa sumaku,samahani mdogo wangu kwa kukuchosha kwa ujumbe huu mrefu lakini naamini utakusaidia sana kama utaamua kuutilia maanani,wasalimie sana marafiki zako,kama una swali karibu sana.
Nakupa mfano tu..kuna watu hapa wanalalamika kila siku mara dem anavaa chupi imetoboka..sijui ananuka jasho. Mwingine alisema dem wake anavaa hivyo hovyo.
.
.
Hebu niambie..we umemtongoza dem hujui hata maisha yake yapoje kuichumi..unategemea aje kwako anavutia kapigilia pamba ufurahi? Kwanini usijiongeze umpe hela akabadilishe muonekano ili muendane sawa? Lkn mtaishia kuponda tuuu.
Kazi ya mwanaume ni kumfanya mpenzi wake au mke wake apendeze. Na hapa nazungumzia serious relationships sio yale manungaembe mnayoyafukuzia huko mtaani. Ukimpenda mtu seriously be responsible la sivyo atashawishika kwingine. Na pia muwe na ujasiri wa kuwapa live wapenzi wenu. Kama kazidisha mizinga na hana la maana analofanya mchane live aache hiyo tabia.
 
Kweli umenichosha ndugu yangu. Ujumbe wako mrefu sana nimeusoma kiubishibishi tu kwasababu umeniquote. Sitetei mizinga ya kijingajinga na natambua wapo wanawake wanaomba omba sana na ni kero kwa mwanaume yoyote yule.
Point yangu ni kuwa wanaume muache kulia lia kuwa mnapigwa mizinga. Si lazima kutoa. Na tatizo la wengi wanavyotongoza wanajibust bust tu kuwa mambo safi kumbe hakuna kitu. Na wanaume wengi wanataka papuchi tu hlf wanasepa thats y wasichana nao wamebase sana kwenye pesa.
.
.
Naamini kabisa ukiwa na mpenzi wako na kama anauhitaji wa pesa utamsaidia kadri ya mfuko wako unavyoruhusu na utamsaidia kwa mambo ya msingi tu. Na pia kama anakupenda hata kupiga mizinga kila siku.
Siku hizi ni kama vile hakuna mapenzi, mwanaume anawaza kumla mwanamke na mwanamke anawaza kumchuna mwanaume. Hii ipo kwa vijana wengi sasa hivi.
Watu tuna wapenzi wetu hatuwasumbui kihivyo na tunasaidiana ikibidi, hata mimi naweza kumsaidia mwanaume kama tumeshibana sana si tatizo.
Pia angalieni pia na wasichana wa kudate nao..tatizo mnachukua wasichana machokoraa hata kwa muonekano tu unadhani ana mapenzi ya kweli? bora mchunwe tu maana hakuna namna.
.
.
Mimi naamini mtu akinipenda atasaidia au kunihudumia ikibidi, silazimishi mtu anipe na nikuomba nisipopewa sina tatizo, kama nampenda bado nitaendelea kuwa nae.
.
.
Ila nikwambie tu ndugu. Raha ya mpenzi akuhudumie, akusaidie, akuspoil kwa vitu vidogo vidogo, wanawake tumeumbwa hivyo.
So ni wewe tu kutambua je haya mahusiano ni ya kweli au ni kugonga na kusepa?
.
.
SIO LAZIMA UTOE. MWAMBIE KABISA SINA HELA AU SIWEZI KUKUPA. Kwani mnashindwa nini kusema moja moja mpka mje kulialia hapa?
Hii barua ndefu kweli kweli sijui umenielewa mdogo wangu?
ewaaa! ujumbe murua kabisa nimekuelewa sana mdogo wangu na nashukuru kwa kunipa feedback nakuhakikishia ujumbe wako nitaufanyia kazi tena nimeamua kujipanga kufanya ziara rasmi ya kuwafikishia huu ujumbe wanaume wenzangu na kuwaelimisha ili waache kulialia hapa jf badala yake tutafute chanzo cha tatizo ili kupata suluhisho kesho jioni nitakua kolomije then baada ya siku mbili nitakua chattle baada ya hapo nitajua nielekee wapi usisahau kunijulisha zawadi ya kukuletea maana naamini ujumbe wako utafurahiwa sana na zawadi zitakua nyingi.
 
Nakupa mfano tu..kuna watu hapa wanalalamika kila siku mara dem anavaa chupi imetoboka..sijui ananuka jasho. Mwingine alisema dem wake anavaa hivyo hovyo.
.
.
Hebu niambie..we umemtongoza dem hujui hata maisha yake yapoje kuichumi..unategemea aje kwako anavutia kapigilia pamba ufurahi? Kwanini usijiongeze umpe hela akabadilishe muonekano ili muendane sawa? Lkn mtaishia kuponda tuuu.
Kazi ya mwanaume ni kumfanya mpenzi wake au mke wake apendeze. Na hapa nazungumzia serious relationships sio yale manungaembe mnayoyafukuzia huko mtaani. Ukimpenda mtu seriously be responsible la sivyo atashawishika kwingine. Na pia muwe na ujasiri wa kuwapa live wapenzi wenu. Kama kazidisha mizinga na hana la maana analofanya mchane live aache hiyo tabia.
this is food for thought! umeeleweka mdogo wangu,i'll be back..
 
ewaaa! ujumbe murua kabisa nimekuelewa sana mdogo wangu na nashukuru kwa kunipa feedback nakuhakikishia ujumbe wako nitaufanyia kazi tena nimeamua kujipanga kufanya ziara rasmi ya kuwafikishia huu ujumbe wanaume wenzangu na kuwaelimisha ili waache kulialia hapa jf badala yake tutafute chanzo cha tatizo ili kupata suluhisho kesho jioni nitakua kolomije then baada ya siku mbili nitakua chattle baada ya hapo nitajua nielekee wapi usisahau kunijulisha zawadi ya kukuletea maana naamini ujumbe wako utafurahiwa sana na zawadi zitakua nyingi.
Zawadi ya kuniletea ni pesa tu kwa kweli..teh teh
 
Huo ni Utumwa wa fikra za mapenzi.
Wa kukupenda atakupenda tu, hata kama hujaenda gym. Mnajiongezea majukumu yasiyo na msingi.
Watu, wanahangaika kutafuta visivyotafutika maishani.
Amini, nawaambia; hawa wanawake tumeletewa sisi wanaume. Hata ungekuwa Shapeless utapata mke mzuri tu.
Tuwe na mioyo ya kuridhika na kutosheka tu.
Hongereni wanaokwenda kimazoezi zaidi

Sent from my Infinix HOT 3 using JamiiForums mobile app
 
demi mdogo wangu hujambo? i hope uko poa nataka kukushauri kitu hapa and i hope it's allright for you to let me do so..mdogo wangu tambua kwamba pesa isingekuwepo maisha haya kama kusingekua na AKILI,kwa maana kwamba bila akili PESA IS NOTHING!,pesa imeundwa na binadamu kwa kutumia akili hivyo PESA SIO KILA KITU kwa sababu sio kila kitu unaweza kukipata kwa kutumia pesa ila AKILI NDIO KILA KITU KWA SABABU UNAWEZA KUPATA KILA KITU UNACHOTAKA KWA KUTUMIA AKILI! mdogo wangu tafuta akili,pata akili,tumia akili vizuri,komaa na akili pesa zitajileta zenyewe tu tena kwa kiwango kikubwa sana bila kutarajia,sisemi kwamba msiwaombe wapenzi wenu pesa au kuwapiga mizinga hapana ila style mnayotumia SIO! na kwa ATTITUDE hiyo ndiyo maana ME wengi siku hizi wanakuja humu kila siku kulalamika kwa sababu wanaona hilo ni tatizo kubwa sana kwao! hali hiyo inapelekea kuwa wagumu sana kukidhi mahitaji yenu hasa ya kipesa na mgegedo! so you see kutokana na hilo hupati unachostahili au unachotaka na kukitarajia.Ninakuhakikishia kwamba kama utakua na matumizi smart ya akili utajikuta unawashangaa wanawake wenzio wanaolalamikia wanaume kutowaridhisha kipesa kwa sababu kwa upande wako pesa zitakua zinajileta zenyewe,kumbuka mwanaume kwa mwanamke ni kama nyama kwa simba au mfupa kwa fisi au chuma kwa sumaku,samahani mdogo wangu kwa kukuchosha kwa ujumbe huu mrefu lakini naamini utakusaidia sana kama utaamua kuutilia maanani,wasalimie sana marafiki zako,kama una swali karibu sana.
Sijui kama atakuelewa,.. Ila umemsaidia
 
Kweli umenichosha ndugu yangu. Ujumbe wako mrefu sana nimeusoma kiubishibishi tu kwasababu umeniquote. Sitetei mizinga ya kijingajinga na natambua wapo wanawake wanaomba omba sana na ni kero kwa mwanaume yoyote yule.
Point yangu ni kuwa wanaume muache kulia lia kuwa mnapigwa mizinga. Si lazima kutoa. Na tatizo la wengi wanavyotongoza wanajibust bust tu kuwa mambo safi kumbe hakuna kitu. Na wanaume wengi wanataka papuchi tu hlf wanasepa thats y wasichana nao wamebase sana kwenye pesa.
.
.
Naamini kabisa ukiwa na mpenzi wako na kama anauhitaji wa pesa utamsaidia kadri ya mfuko wako unavyoruhusu na utamsaidia kwa mambo ya msingi tu. Na pia kama anakupenda hata kupiga mizinga kila siku.
Siku hizi ni kama vile hakuna mapenzi, mwanaume anawaza kumla mwanamke na mwanamke anawaza kumchuna mwanaume. Hii ipo kwa vijana wengi sasa hivi.
Watu tuna wapenzi wetu hatuwasumbui kihivyo na tunasaidiana ikibidi, hata mimi naweza kumsaidia mwanaume kama tumeshibana sana si tatizo.
Pia angalieni pia na wasichana wa kudate nao..tatizo mnachukua wasichana machokoraa hata kwa muonekano tu unadhani ana mapenzi ya kweli? bora mchunwe tu maana hakuna namna.
.
.
Mimi naamini mtu akinipenda atasaidia au kunihudumia ikibidi, silazimishi mtu anipe na nikuomba nisipopewa sina tatizo, kama nampenda bado nitaendelea kuwa nae.
.
.
Ila nikwambie tu ndugu. Raha ya mpenzi akuhudumie, akusaidie, akuspoil kwa vitu vidogo vidogo, wanawake tumeumbwa hivyo.
So ni wewe tu kutambua je haya mahusiano ni ya kweli au ni kugonga na kusepa?
.
.
SIO LAZIMA UTOE. MWAMBIE KABISA SINA HELA AU SIWEZI KUKUPA. Kwani mnashindwa nini kusema moja moja mpka mje kulialia hapa?
Hii barua ndefu kweli kweli sijui umenielewa mdogo wangu?
Mizinga haifanani na penzi linalotolewa,.. Halafu uongo na visingizio vingi linapokuja hitaji la Mwanaume kwa mwanamke.... Hakuna anayekataa majukumu penye penzi la kweli,.. Issue nyie mmekua wanahewa,.. Mnataka wanaume wengi lakini huduma haibalance....
 
Pambana na hali yako

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ndio yule mhenga niliyesema Jogoo la shamba haliwiki mjini. Bora urudi Kolomije boss wangu, hwwa wa mjini sisi ndio tunajua wanahitaji nini.
chunguza vizuri unaweza jikuta unashangaa kugundua kua hayo hayo majogoo ya shamba from kolomije ndio yanayomtafuna wife/dem wako na pesa unazompa yanapewa hayo majamaa dizaini hiyo.
 
Mimi nazani awa wanawake wote wangepelekwa katika sayari yao na kutafuta uzao mwingine unajielewa na kujitambua!lakini awa wa sayari ya dunia ni pasua kichwa!
hapo unamkosoa aliyeweta dunia hii,ukichunguza vizuri unaweza kugundua kwa asilimia kubwa mimi au wewe na wengine dizaini yako ndio tunaosababisha hawa viumbe wawe hivi.
 
Mwanamke anataka mwanaume mrefu, maji ya kunde! Awe na pesa, awe mcha Mungu, asiwe na wanawake wengine huko nje! Amjali, amheshimu, amhudumie, awajali nyumbani kwao.
Kwa ujumla mahitaji ya mwanamke ni mengi lakini engine ya mahitaji yao ni PESA tu.
maisha haya ukiwa mtu wa kukariri utaumia sana kijana.
 
Back
Top Bottom