Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli, naomba tuyajenge kwa dhati kabisaaaa... Najua sitompata mwingine, this is my opportunity... Niwekee namba huko PMMi jamani sidanganyi kwa mtu ninaempenda namuonea huruma yaani hata kumuombaomba hela au kumkwaza naumia mimi eti
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Poleni kwa Kazi wakuu, najua kila mtu anayo kazi yake ilimradi mwenyewe ukiwa umeikubali na inakufanya uwe busy. Nimekua nikijiuliza, hivi ni kitu gani mwanamke anakihitaji hasa kwa mwanaume ili aweze kutulia asihangaike kwa wengine na mwanaume ajiamini kuwa na mke.
Wanaume wamejazana huko gym wanatafuta six pack, ili kufanya mtoto wa kike avutike nae atulie, lakini hiyo haitoshi, utaambiwa pesa na mizinga mizito.
Wanaume sasa wamekua walaji wa limau, utakuta wamejaza maji ya moto kwenye kichupa na kukatia limau kila waendako kama vile mabek 3 wananyonyesha mtoto, kisa tu kupunguza mwili na kitambi ili kuwavutia wanawake lakini wapi, utaambiwa pesa na mizinga mizito.
Wanaume sasa wanajaa kwenye vijiwe vya kahawa na pweza, wakiamini wanaenda kuboost charger zao ili wakajenge heshima kunako 6/6, lakini jitihada zao zote huko uwanjani, hata umkojoze kwa kiasi gani, utaambiwa pesa na mizinga mizito. Sasa ukijitokeza na pesa zako umfanyie gharama zote hizo na umpe kila atakacho na umjaze na PESA kibao, amini hizo Pesa, atazichukua na kumpelekea anayeweza kumkojoza vizuri, looh! Ajabu sana.
Hivi kweli, akina miss wa leo, hata ujikunje vipi, usimamie vidole, ukung'ute wote wa kwenye kikopo, unafikiri kwa uhodari wako utapewa mbunye ila pesa? Hatujakwepa kutoa pesa wala kumgharamia mwanamke, lakini mambo yawe yana balance, kama una furaha kukojozwa, basi kuwepo na unafuu wa gharama kwa mlaji kwakua, nawe unafurahia mambo haya, lakini ubaya, unapigwa mizinga mpaka unajuta kujuana.
Na ni wangapi waliokamilika wawe na pesa na awe na nguvu za Goliath?
Wanaume tupambane na hali yetu, hawa wanawake watatutafunisha mizizi ambayo isiyofaa kutafunwa, kwakua hawaeleweki kitu gani wanachokitaka.
Hamna sababu ya kutafuta ushujaa pasipo na tuzo.
Acha hizo shemWanaitwa Undefined Living Creatures..
ULC
[emoji3][emoji3][emoji3].
Hahaha [emoji3][emoji3][emoji3]Woyo woyooo[emoji125]
Nimeacha shem..Acha hizo shem
Sasa mbona mnapewa pesa na bado mnakuwa na wanaume wengiAsipotulia ni tabia yake tu. Pesa ni nature yetu kama vile nyie wanaume nature yenu ilivyo ya kutotosheka na mwanamke mmoja. Tuvumiliane tu ndugu!
Kama umechukua malaya ni juu yako!Sasa mbona mnapewa pesa na bado mnakuwa na wanaume wengi
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Sawa nimeelewa tangazo lako ntalifanyia kaziKama umechukua malaya ni juu yako!
Haaaa haya bhana umetishaKama ni kweli, naomba tuyajenge kwa dhati kabisaaaa... Najua sitompata mwingine, this is my opportunity... Niwekee namba huko PM
demi mdogo wangu hujambo? i hope uko poa nataka kukushauri kitu hapa and i hope it's allright for you to let me do so..mdogo wangu tambua kwamba pesa isingekuwepo maisha haya kama kusingekua na AKILI,kwa maana kwamba bila akili PESA IS NOTHING!,pesa imeundwa na binadamu kwa kutumia akili hivyo PESA SIO KILA KITU kwa sababu sio kila kitu unaweza kukipata kwa kutumia pesa ila AKILI NDIO KILA KITU KWA SABABU UNAWEZA KUPATA KILA KITU UNACHOTAKA KWA KUTUMIA AKILI! mdogo wangu tafuta akili,pata akili,tumia akili vizuri,komaa na akili pesa zitajileta zenyewe tu tena kwa kiwango kikubwa sana bila kutarajia,sisemi kwamba msiwaombe wapenzi wenu pesa au kuwapiga mizinga hapana ila style mnayotumia SIO! na kwa ATTITUDE hiyo ndiyo maana ME wengi siku hizi wanakuja humu kila siku kulalamika kwa sababu wanaona hilo ni tatizo kubwa sana kwao! hali hiyo inapelekea kuwa wagumu sana kukidhi mahitaji yenu hasa ya kipesa na mgegedo! so you see kutokana na hilo hupati unachostahili au unachotaka na kukitarajia.Ninakuhakikishia kwamba kama utakua na matumizi smart ya akili utajikuta unawashangaa wanawake wenzio wanaolalamikia wanaume kutowaridhisha kipesa kwa sababu kwa upande wako pesa zitakua zinajileta zenyewe,kumbuka mwanaume kwa mwanamke ni kama nyama kwa simba au mfupa kwa fisi au chuma kwa sumaku,samahani mdogo wangu kwa kukuchosha kwa ujumbe huu mrefu lakini naamini utakusaidia sana kama utaamua kuutilia maanani,wasalimie sana marafiki zako,kama una swali karibu sana.Kutuelewa mnatuelewa ila mnajifanya viburi. Tunataka PESA. vibamia na vitambi tutavumiliana.
Wapambane tu na hali zao maana hamna namna.Mmeanza ku bargain mpaka papuchi???
Aaaghaa. Wanaume mmenishinda tabia.
Pambana tu na hali yako
Unaonekana mwenye busara aisee... natamani nipate hata contact zakodemi mdogo wangu hujambo? i hope uko poa nataka kukushauri kitu hapa and i hope it's allright for you to let me do so..mdogo wangu tambua kwamba pesa isingekuwepo maisha haya kama kusingekua na AKILI,kwa maana kwamba bila akili PESA IS NOTHING!,pesa imeundwa na binadamu kwa kutumia akili hivyo PESA SIO KILA KITU kwa sababu sio kila kitu unaweza kukipata kwa kutumia pesa ila AKILI NDIO KILA KITU KWA SABABU UNAWEZA KUPATA KILA KITU UNACHOTAKA KWA KUTUMIA AKILI! mdogo wangu tafuta akili,pata akili,tumia akili vizuri,komaa na akili pesa zitajileta zenyewe tu tena kwa kiwango kikubwa sana bila kutarajia,sisemi kwamba msiwaombe wapenzi wenu pesa au kuwapiga mizinga hapana ila style mnayotumia SIO! na kwa ATTITUDE hiyo ndiyo maana ME wengi siku hizi wanakuja humu kila siku kulalamika kwa sababu wanaona hilo ni tatizo kubwa sana kwao! hali hiyo inapelekea kuwa wagumu sana kukidhi mahitaji yenu hasa ya kipesa na mgegedo! so you see kutokana na hilo hupati unachostahili au unachotaka na kukitarajia.Ninakuhakikishia kwamba kama utakua na matumizi smart ya akili utajikuta unawashangaa wanawake wenzio wanaolalamikia wanaume kutowaridhisha kipesa kwa sababu kwa upande wako pesa zitakua zinajileta zenyewe,kumbuka mwanaume kwa mwanamke ni kama nyama kwa simba au mfupa kwa fisi au chuma kwa sumaku,samahani mdogo wangu kwa kukuchosha kwa ujumbe huu mrefu lakini naamini utakusaidia sana kama utaamua kuutilia maanani,wasalimie sana marafiki zako,kama una swali karibu sana.
Kweli umenichosha ndugu yangu. Ujumbe wako mrefu sana nimeusoma kiubishibishi tu kwasababu umeniquote. Sitetei mizinga ya kijingajinga na natambua wapo wanawake wanaomba omba sana na ni kero kwa mwanaume yoyote yule.demi mdogo wangu hujambo? i hope uko poa nataka kukushauri kitu hapa and i hope it's allright for you to let me do so..mdogo wangu tambua kwamba pesa isingekuwepo maisha haya kama kusingekua na AKILI,kwa maana kwamba bila akili PESA IS NOTHING!,pesa imeundwa na binadamu kwa kutumia akili hivyo PESA SIO KILA KITU kwa sababu sio kila kitu unaweza kukipata kwa kutumia pesa ila AKILI NDIO KILA KITU KWA SABABU UNAWEZA KUPATA KILA KITU UNACHOTAKA KWA KUTUMIA AKILI! mdogo wangu tafuta akili,pata akili,tumia akili vizuri,komaa na akili pesa zitajileta zenyewe tu tena kwa kiwango kikubwa sana bila kutarajia,sisemi kwamba msiwaombe wapenzi wenu pesa au kuwapiga mizinga hapana ila style mnayotumia SIO! na kwa ATTITUDE hiyo ndiyo maana ME wengi siku hizi wanakuja humu kila siku kulalamika kwa sababu wanaona hilo ni tatizo kubwa sana kwao! hali hiyo inapelekea kuwa wagumu sana kukidhi mahitaji yenu hasa ya kipesa na mgegedo! so you see kutokana na hilo hupati unachostahili au unachotaka na kukitarajia.Ninakuhakikishia kwamba kama utakua na matumizi smart ya akili utajikuta unawashangaa wanawake wenzio wanaolalamikia wanaume kutowaridhisha kipesa kwa sababu kwa upande wako pesa zitakua zinajileta zenyewe,kumbuka mwanaume kwa mwanamke ni kama nyama kwa simba au mfupa kwa fisi au chuma kwa sumaku,samahani mdogo wangu kwa kukuchosha kwa ujumbe huu mrefu lakini naamini utakusaidia sana kama utaamua kuutilia maanani,wasalimie sana marafiki zako,kama una swali karibu sana.