Sioni sababu ya kufia kifuani pa mwanamke

ukipata mwanamke mwenye hofu ya MUNGU mambo haya yatakuwa hadith kwako
kumbuka mara nyingi tabia yako na mazingira na mwenendo wa maisha yako ndio unaokukutanisha na wanawake wa hulka flani japo unaweza kuwa mwema na bado ukakosa mwema ni majaribu tu ya dunia
pia tukumbuke mambo tunayoyalalamikia sisi wanaume kwa wake na wachumba zetu yanafanywa kwa ushirikiano mzuri kabisa kati yetu na wao
kama mwanamke anatembea na mtu mwingine means anayetembea nae ni mwanaume na si ajabu ni mume wa mtu
kwahiyo tunapolalamika tuwape nini wake zetu ili watulie na sisi tujiulize tupewe nini ili tutulie maana wapo wanaume wasiolizika tena wakutosha tu
 
Dawa ya wanawake ni kua nao wengi, yani mmoja akizngua mwengne anakubembeleza ivo yani.
Uko sawa...hapa nimezinguana na mmoja juzi kisa mizinga ya kipuuzi, hivi ishakula kwake maana nshashift kwa mwingine..
Ukijifanya mwaminifu sijui una demu mmoja inatafuna kwako!
 
Uko sawa...hapa nimezinguana na mmoja juzi kisa mizinga ya kipuuzi, hivi ishakula kwake maana nshashift kwa mwingine..
Ukijifanya mwaminifu sijui una demu mmoja inatafuna kwako!
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Wewe unataka ufie wapi Mkuu!!??

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Tatizo unajifanya mtumwa kwenye papuchino.
Vitu vyote vinahitaji kiasi mean that, Uwe na pesa, piga mashine na afya nzuri jiupeshe na vitambi vya ovyo hovyo.
 
Mi jamani sidanganyi kwa mtu ninaempenda namuonea huruma yaani hata kumuombaomba hela au kumkwaza naumia mimi eti

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Nilishawahi Pata Girl wa Type yko Aisee mnakuwaga Na True Love[emoji7] [emoji813] [emoji813] [emoji813] [emoji772] [emoji772] [emoji772]

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Same same na wife duh.......yaani siku nkimwambia shimo limetema ntapewa papuchi mpaka niombe poo

Post sent using JamiiForums mobile app
 
My Best Movie Moses by Steven Kanumba Ime Nipa Point za Kuishi Na Hawa Viumbe.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Neno zuri sana

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…