Sioni sababu ya kuufungia wimbo wa Mwanza

Af leo et wanaona hiyo ngoma inazingua kumbe haya ndo mavibaraka yenyewe shenz kabisaaa
Wewe si hua unasapoti ushoga na usagaji humu jf,leo ndio umeona watato wataharibikiwa sio teh.
 
Mkiona shida kwani lazima msikilize hizo nyimbo za wcb jamani.... Hayo matoto yenu yenyewe yanakua na smartphone ila kazi yake ukiijua ndo utakoma hata sio music ndio inaharib jamii yenu sema mengine hata matendo yenu yanachangia bhna wakuu
Kumbuka sio mtu anapanga kusikiliza wimbo flan ila media ndio zinatusikilizisha, mfano upo kwenye usafiri wa uma redio flan imepiga huo wimbo utawaambia wamiliki wa usafiri wautoe? hapo ndio watoto husikiliza na kuanza kuimba matusi.
 
Inamana mtoto wako hajui neno nyege wala hajui matusi mkuu au hii nyimbo ndo imeleta matusi bongi
Kumbuka sio mtu anapanga kusikiliza wimbo flan ila media ndio zinatusikilizisha, mfano upo kwenye usafiri wa uma redio flan imepiga huo wimbo utawaambia wamiliki wa usafiri wautoe? hapo ndio watoto husikiliza na kuanza kuimba matusi.
 
Lakini nyimbo zinazoimba 'nyege' ndio mbaya kuliko hao wanaofirana na kusagana,teh teh.
Wanaofirana na kusagana wanafanya hadharani? ndio maana nikasema faragha zao... lkn hawa mabwana wanaimba hadharani na nyimbo zao zinasikilizwa na watu wa kila rika.
 
Inamana mtoto wako hajui neno nyege wala hajui matusi mkuu au hii nyimbo ndo imeleta matusi bongi
Ngoja nikuweke katika kundi la mapunguani,
unauliza kama MTOTO hajui neno NYEGE!!??
Indeed your pathetic.
 
Kama kuna matusi sidhani kama wamekosea ifungia
 
Umeona akili zao wanaojifanya kupinga nyege ya mond[emoji17] ndo ujue maviii juu ya miojo
Hahaha hatuzipingi 'Nyege za Diamond' sababu sio sisi tunaemshusha.... tunapinga kitendo cha kututangazia kua ana Nyege... nadhani hapo ndio palipoanzia.
 
UTAWASIKIA WANASEMA "TUNATUNZA UTAMADUNI WA KITANZANIA" .

UNAZUNGUMZA KUHUSU UTAMADUNI WA KITANZANIA KWENYE DUNIA YA LEO YENYE MIINGILIANO KATIKA KILA NYANJA??

MWALIMU NYERERE ALIWAHARIBU SANA HAWA WAZEE KWA FALSAFA ZAKE ZA KIJIMA.
 
BAADA YA MUDA HATA MIPAKA YA NCHI ITAFUTIKA KWENYE USO WA DUNIA MAANA WATU WANAINGILIANA KILA SEKTA.

KWENYE UTALII, BIASHARA, USAFIRI, UHAMIAJI, MAKAZI, ELIMU, AJIRA.. NA KILA MAENEO.

ETI UTAMADUNI WA KITANZANIA? UTAMADUNI UPI HUO?
 
hivi uko nyegenzi kuna uhusiano gani na sengerema

ila poa tutakuwa tunausikia klabu
 
Shida hawajaweka mahali ambapo MTU anaweza kukata rufaa kutokna na maamuzi ya Basata
Hivyo mm nawashauri wanaweza kwenda mahaman kupinga wimbo wao kufungiwa
 
Mzigo tushaupata watulize mshono si tunaucheki youtube tu na kwenye simu tunao
 
Wanabwabwaja kujipa raha tu km nawaona vijana wa kko wanavyopiga kwa misaut hilo goma kubwaa
Mzigo tushaupata watulize mshono si tunaucheki youtube tu na kwenye simu tunao
 
Nyege nyege kwetu mwanza nyegezii nishushe mwanza nyegez ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…