Hakuna kitu kinachojikera kama matuta kwenye hizi barabara zetu hasa freeways ni utopolo wa hali ya juu,T1 imejaa matuta hadi porini why?tuwekeni speed camera 📷 na tujenge road tolls,hizi zitakusanya Maputo na kudhibiti mwendo, uchafu wote pale Mikumi National Park ondoa, pls my minister, wewe umetembea na umeona wenzetu wanafanya nini,hapo Botswana kutoka Nata hadi Kasane ni mbuga ya wild animals (wakiishi pamoja na binadam)ni zaidi ya 300kms na hakuna hata tuta moja.Na lile tuta kama mlima pale lugalo... aisee siku atakufa waziri pale nishangilie. Highway unawekwa mlima kama ule??
Umeongea point sana mkuuSio lazima fungu likitengwa litumike!! Ni fedha kama hizi ndizo serikali inatakiwa kuzifanyia reallocation na kuzipeleka kwenye emergency fund ya kudhiniti mfumuko wa bei! Ukifanya hivyo nchi nzima utapata fedha za kutosha!
Eneo la kati litakuwa na kazi gani?Kabisa mara nlisikia eti upande mmoja zitapita mwendo kasi upande mwingine gari za kawaida. Sasa si kurudisha foleni. Yanj mipango yetu hatuwazi mbali. Kila siku tunarudia kutengeneza vitu vile vile ndio maa mji haujapangwa. Iwapo dodoma itakua ikawa kama dar aisee kwa ile miundombinu wataanza bomoa bomoa
Tz hakuna highway na ile si high wayNa lile tuta kama mlima pale lugalo... aisee siku atakufa waziri pale nishangilie. Highway unawekwa mlima kama ule??
lakini haipaswi barabara ile ya bagamoyo kuwa na matuta. Kwa level yetu ile ni barabara kuu.Tz hakuna highway na ile si high way
Mkuu unahisi linatusha kwa magari mawili kupishana yani kwenda na kurudi na kuweka vituo? By the way lazima barabara za kati mji ziwe na kaeneo kama hako kakuweka miti. Na sidhani kama waliiacha kwa ajili ya kazi hiyo ya kuja kutumika kwa mwendo kasi. Planers wetu wanaangalia changamoto inayokuwepo, hawawazi miaka 30, 50 mbele. Hii ni kawaida kwa afrika lakini mkuu ndio maana China wana plan ya Afrika kwa miaka 30, sisi hatuna plan yetu wenyewe.Eneo la kati litakuwa na kazi gani?
Wakifumua kipande kimoja wanawezaambiwa ishieni hapo hapo hivyo wanafumua kote kwanza."kwa vile mmeshaanza basi malizieni"Hawana Mpangilio Kabisa,haiwezekani unafumua barabara Tegeta Kibaoni haurekebishi unaendaa Tegeta kwa Ndevu haurekebishi, unaenda kufumua Mbezi Africana hurekebishi,unaenda kufumua Mbezi Shule huerekebishi na unageuka upande wa pili kufumua kwanini usingemaliza kiraka kimoja unaenda kingine.?
Pia barabara hiyo haijakuwa mbayaa sanaa kuliko barabara nyingine za vumbi.!
HakikaHawana Mpangilio Kabisa,haiwezekani unafumua barabara Tegeta Kibaoni haurekebishi unaendaa Tegeta kwa Ndevu haurekebishi, unaenda kufumua Mbezi Africana hurekebishi,unaenda kufumua Mbezi Shule huerekebishi na unageuka upande wa pili kufumua kwanini usingemaliza kiraka kimoja unaenda kingine.?
Pia barabara hiyo haijakuwa mbayaa sanaa kuliko barabara nyingine za vumbi.!
Wakimaliza mwakani unafumua tena kuanza ujenzi wa mwendokasiMkuu unahisi linatusha kwa magari mawili kupishana yani kwenda na kurudi na kuweka vituo? By the way lazima barabara za kati mji ziwe na kaeneo kama hako kakuweka miti. Na sidhani kama waliiacha kwa ajili ya kazi hiyo ya kuja kutumika kwa mwendo kasi. Planers wetu wanaangalia changamoto inayokuwepo, hawawazi miaka 30, 50 mbele. Hii ni kawaida kwa afrika lakini mkuu ndio maana China wana plan ya Afrika kwa miaka 30, sisi hatuna plan yetu wenyewe.
Umeongea jambo la msingi huenda ikawa ni kweliWakifumua kipande kimoja wanawezaambiwa ishieni hapo hapo hivyo wanafumua kote kwanza."kwa vile mmeshaanza basi malizieni"
Aysee nmepita juzi sikujua kama kuna ule mlima,nilijua ni kama yale matuta kadhaa yakufukia tu ambayo hayana madhara,doh almanusura niibwage chumaNa lile tuta kama mlima pale lugalo... aisee siku atakufa waziri pale nishangilie. Highway unawekwa mlima kama ule??
Ubinafsi wa viongoziNchi hii hainaga mkakati endelevu
Sisi tupo tupo tu
Ova
lete pichaSioni tija yoyote ya matengenezo yanayoendelea barabara ya bagamoyo (Mbezi hadi Tegeta) kufanyika sasa.
Kinachofanyika sasa nakifananisha na uharibifu au fursa ya upigaji!
Kwanza hakuna mpango kazi mzuri kwasababu wanakwangua barabara na kuiacha barabara katika hali mbaya zaidi kwa mda mrefu pasipo kufanya matengenezo.
Pili matengenezo kama hayo ya kukwangua barabara kama yanazidi 1km ni bora wangefumua barabara nzima kuliko kujaza vilaka ambavyo havina msaada!
Nilitegemea katika kipindi hiki cha mpito ambacho nchi inakumbwa na majanga mbalimbali tungejikita kufanya miradi mhimu ya kimkakati kuliko kuja kumwaga pesa sehemu kama ile ambayo hata ingeweza kusubiri kwanza majanga yapungue na pesa tukazielekeza sehemu za lazima.
Bajeti ya kubadilisha lami iliyokuwepo ili kuweka lami mpya si tu ni matumizi mabaya ya rasilimali Bali pia ni matumizi mabaya ya taaluma ya uhandisi!
Tatizo la lami kuwa na mabonde huwezi kulimaliza kwa kubadilisha lami juu juu nakuacha kushughulikia msingi mzima wa barabara kuanzia chini (road base)
Ikumbukwe sehemu ya juu ya lami huwa haibebi mzigo Bali hurahisisha mseleleko, hivyo kama lami mpya itawekwa mahala ambako chini kuna unyevu au hapakushindiliwa vizuri inamaana hata ukiweka mpya itabonyea vilevile!
Kwahiyo kuweka lami au overlaying yoyote kwenye barabara hiyo ni bora zaidi kuiacha ilivyokuwa na pesa zake zikaelekezwa sehemu nyingine korofi zenye mahitaji ya lazima!
Kama kulikuwa na ulazima sana kutumika katika barabara hiyo ni Mara mia wangetanua barabara za pembeni (service road) pale mbuyuni na tegeta
Lakini kwa hiki kinachoendelea kwenye hii barabara kuanzia mbezi hadi tegeta hakina tija kufanyika kwa sasa hususani kipindi ambacho kunatarajiwa kutafanyika tena jenzi/upanuzi wa barabara ya magari ya mwendo kasi katika awamu ijayo!
Kuna haja kubwa sana Tanroad wakajitafakari kwenye barabara hii!
Sawalete picha
Wanaendelea kusumbua tuNchi hii hainaga mkakati endelevu
Sisi tupo tupo tu
Ova
Wakimaliza mwakani unafumua tena kuanza ujenzi wa mwendokasi
Ni mbinu ya upigaji tuu.. sio poaSioni tija yoyote ya matengenezo yanayoendelea barabara ya bagamoyo (Mbezi hadi Tegeta) kufanyika sasa.
Kinachofanyika sasa nakifananisha na uharibifu au fursa ya upigaji!
Kwanza hakuna mpango kazi mzuri kwasababu wanakwangua barabara na kuiacha barabara katika hali mbaya zaidi kwa mda mrefu pasipo kufanya matengenezo.
Pili matengenezo kama hayo ya kukwangua barabara kama yanazidi 1km ni bora wangefumua barabara nzima kuliko kujaza vilaka ambavyo havina msaada!
Nilitegemea katika kipindi hiki cha mpito ambacho nchi inakumbwa na majanga mbalimbali tungejikita kufanya miradi mhimu ya kimkakati kuliko kuja kumwaga pesa sehemu kama ile ambayo hata ingeweza kusubiri kwanza majanga yapungue na pesa tukazielekeza sehemu za lazima.
Bajeti ya kubadilisha lami iliyokuwepo ili kuweka lami mpya si tu ni matumizi mabaya ya rasilimali Bali pia ni matumizi mabaya ya taaluma ya uhandisi!
Tatizo la lami kuwa na mabonde huwezi kulimaliza kwa kubadilisha lami juu juu nakuacha kushughulikia msingi mzima wa barabara kuanzia chini (road base)
Ikumbukwe sehemu ya juu ya lami huwa haibebi mzigo Bali hurahisisha mseleleko, hivyo kama lami mpya itawekwa mahala ambako chini kuna unyevu au hapakushindiliwa vizuri inamaana hata ukiweka mpya itabonyea vilevile!
Kwahiyo kuweka lami au overlaying yoyote kwenye barabara hiyo ni bora zaidi kuiacha ilivyokuwa na pesa zake zikaelekezwa sehemu nyingine korofi zenye mahitaji ya lazima!
Kama kulikuwa na ulazima sana kutumika katika barabara hiyo ni Mara mia wangetanua barabara za pembeni (service road) pale mbuyuni na tegeta
Lakini kwa hiki kinachoendelea kwenye hii barabara kuanzia mbezi hadi tegeta hakina tija kufanyika kwa sasa hususani kipindi ambacho kunatarajiwa kutafanyika tena jenzi/upanuzi wa barabara ya magari ya mwendo kasi katika awamu ijayo!
Kuna haja kubwa sana Tanroad wakajitafakari kwenye barabara hii!
Kwa kweli pale ukiwa speed unaibwaga kabisa chuma mtaroni kuleAysee nmepita juzi sikujua kama kuna ule mlima,nilijua ni kama yale matuta kadhaa yakufukia tu ambayo hayana madhara,doh almanusura niibwage chuma